Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Mkuu hujui sheria za Jf ama kwahiyo nimtaje ili iwejeAnatumia Jina gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hujui sheria za Jf ama kwahiyo nimtaje ili iwejeAnatumia Jina gani
Wazee wa hovyoMc Pili pili kataa ndoa tuko paleeee!!!!
Tunakula popcorn 🍿
Kuna watumwa wandoa watakuja watasema "Sio wote, wengine wapo vizuri"
Brooooooooooo!!!! Mc PILIPILI wakati anaoa alikua na mawazo kama uliyonayo wewe saiz. Stuka broooooo!!!!
Wanaume wenzangu tusiwe ni wazito sana kustuka ndugu zangu, ukioa mwanamke ambae mmekutana kimjini mjini, mfano chuo, au mwanamke anaefanya kazi, au ambae kipato mnaendana uwezekano wa kuachana ni 70% , sasa kuliko kubetia hiyo asilimia 30 iliyobaki ni bora usioe tu.
Na uki mu expose kwenye sosha network ndio kabisaaaa!!!!
Hapa bongo kuna watu wana hela brooo, demu wako atapewa ofa ya kwenda hapo Serengeti chupi inalowa ghafra, akienda huko ni full Fimbo tu, siku akirudi nyumbani hataki hata kuguswa anakwambia amechoka kumbe alichokutana nacho huko Serengeti ni balaa, wewe kila siku unaishia kusikiliza nyimbo za side A kumbe kuna wqtu side A wanasikiliza na side B mkeo anaimba pia.
Alijichanganya mwenyewe na Genye zake...Kanyooshwa sasa AtulieMc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!
View attachment 3196832
Makosa yake yalikua ya wazi. Ikafika kipindi akaona wengine wote wenye mademu wamekosea kuchagua.Sema nini wakuu MC pili pili asilaumiwe hapa duniani Kila mmoja hufanya makosa
Makosa yake yalikua ya wazi. Ikafika kipindi akaona wengine wote wenye mademu wamekosea kuchagua.
Mwanamke wa kuoa ni wa kichaga tu, wanajua maisha Wana focus, hawana ujinga ujinga, labda alie aliemuoa aanze ujinga.. hapo ndio ataona baraa.. Nawashauri vijana wenzagu twendeni uchagani tukaoe
Ebu enlighten us, sie wengine vichwa panzi akili zatutosha kuvuka barabara salamaAisee, Kuna aliyeona chochote kwenye macho ya huyo dada kwenye picha?, hayo macho yake yanaonesha tafsiri Fulani, kama uko vizuri utajua namaanisha Nini.
Tupe infomasheni zaidi tafadhaliTuko nao mtaani mkuu tunawajua vizuri🤣🤣🤣
😅😅😅Tuko nao mtaani mkuu tunawajua vizuri🤣🤣🤣
Hawajawahi kuwa na utulivu wa miili wala rohoniTupe infomasheni zaidi tafadhali
Alikataa kusema kwenye shida na raha... yeye akasema kwenye raha tu sasa analalamika nini... kma anashida na amefilisika aishi kwenye kiapo chakeHuyu dogo na mkewe siku ya harusi tu, jamaa anaambiwa na mchungaji fuatisha ninayosema:
Ikifika mahala kwenye mazuri, mabaya, magonjwa sijui tuwe pamoja yeye Mc na utoto wake maneno kama mabaya, magonjwa hayataji anabadirisha anatunga maneno yake.
Bkudfuken basi tu mfungishaji ndoa alikua na subira
Kuanzia mwanzo niliona hii ni combination mbovu, na mwanaume ni mjinga kuliko mwanamke.Huyu ndio alilia kwa kwikwi, Akawa hajiwezi wakati anaengage? 🤣🤣
Pale ndio alihamisha ufalme.
Ongeza sauti kaka yangu watoto wa Afu mbili wakusikie..Asitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.
Alizidi ulimbukeni naye.Mc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!
View attachment 3196832