MasterGamaliel
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 923
- 1,001
Kama kweli alikuwa akidondosha dondosha machozi wanawake wengi hawawezi kukubali wewe mwanaume ukae kwenye nafasi yake.Kidogo nafatilia celeb.... sasa Kuna siku pilipili akiwa na huyo mke wake sikumbuki kituo alichokuwa anahojiwa akaulizwa...... Kuhusu mahusiano akaanza kulia kama kawaida yake,
Mkewe na uso wa ki.. innocent akawa anambembeleza mumewe hapo Ila nikasema hapa kaaazii kweli kweli
Ndugu zangu katika Khabar Nifah Mwachiluwi