Mc Pilipili: Vijana wezangu tutafute wanawake wasio na tamaa!

Mc Pilipili: Vijana wezangu tutafute wanawake wasio na tamaa!

Tatzo lilianzia hapa hivi wewe mwanamke Atongoze CPA kitaifa tena Udsm.?? Hapo kuna usalama kweli nakumbuka alipewa zawadi 10M na akasifiwa sana navojua mafisi lazima maboss yalitikisa kibiriti kwa demu wa mwamba, huwezi jua hyo CPA labda alitoa

kibumbu
Nafikiri tatzo mgema akisifiwa sana tembo hulitia maji
Hawa ndio wale mademu ukifanikiwa kutomba sepa, dogo akataka kujidai muhuni kumbe brazameni na bongo fleva hailipi. Alitikiswa sana
 
Hawa ndio wale mademu ukifanikiwa kutomba sepa, dogo akataka kujidai muhuni kumbe brazameni na bongo fleva hailipi. Alitikiswa sana
Sema mzee kuna kunogewa Sema nilichojifunza kwanini mtu kama MO huwa hamuaniki mke wake Yani ni nadra sana kuona mwamba Ana brag sisi kama wadogo zao tujifunze, kutofautisha kazi na maisha personal mimi yan marafiki zangu sitaki Ata wakanyage home kwangu mwisho ni viwanja na kazi kazi
 
Sasa Tatzo huwez kupita peku peku kama mpoto kwa mademu wa buku saba Ata kunyweshana saliva ni tz unakuta 😅unawaza labda demu kapigishwa Bj na muhuni huko
😅😅 buku saba akiwa road anajiuza, mtaani hutojua kama wa buku saba. Utapiga kavu na chumvini anaweza kukushawishi ukazama na mate ukamla.. dunia imeharibika sana. Hao wanao jiuza ndio tupo nao kitaa
 
😅😅 buku saba akiwa road anajiuza, mtaani hutojua kama wa buku saba. Utapiga kavu na chumvini anaweza kukushawishi ukazama na mate ukamla.. dunia imeharibika sana. Hao wanao jiuza ndio tupo nao kitaa
Baba ntamjua Nina uzoefu wa miaka ming huko
 
Baba ntamjua Nina uzoefu wa miaka ming huko
Wanakuwa na alama eeh! Wanajiuza ila in direct..
IMG-20250109-WA0014.jpg
 
Huyu dogo na mkewe siku ya harusi tu, jamaa anaambiwa na mchungaji fuatisha ninayosema:

Ikifika mahala kwenye mazuri, mabaya, magonjwa sijui tuwe pamoja yeye Mc na utoto wake maneno kama mabaya, magonjwa hayataji anabadirisha anatunga maneno yake.

Bkudfuken basi tu mfungishaji ndoa alikua na subira
Ukishakuwa mtumishi wa Mungu unapaswa kuwa mtu usiyechukulia hasira kwa wepesi. Yamkini mchungaji hakufurahishwa lakini akaamua kumuacha kijana afanye anachotaka.
 
Sema mzee kuna kunogewa Sema nilichojifunza kwanini mtu kama MO huwa hamuaniki mke wake Yani ni nadra sana kuona mwamba Ana brag sisi kama wadogo zao tujifunze, kutofautisha kazi na maisha personal mimi yan marafiki zangu sitaki Ata wakanyage home kwangu mwisho ni viwanja na kazi kazi
Uko sahihi mwamba. Kwavile wife mzuri ndio mapicha hayaishi mtandaoni?! lazima uchapiwe tu. Maisha yako binafsi kuyaanika mtandaoni ni upimbi mwingine.
 
Back
Top Bottom