Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
HAKIKA NI UTAPELI#KATAA NDOA
# NI UTAPELI
# KAMA SIO BIKRA USIOE, AKAOLEWE NA ALIYEMTOA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAKIKA NI UTAPELI#KATAA NDOA
# NI UTAPELI
# KAMA SIO BIKRA USIOE, AKAOLEWE NA ALIYEMTOA.
Hiyo akili mwanawane. Tit for tat no stresss
Mwanamke alimdharau papo hapoHuyu ndio alilia kwa kwikwi, Akawa hajiwezi wakati anaengage? 🤣🤣
Pale ndio alihamisha ufalme.
Hahahah huo ndio mtihani ambao wengi wanafeli. Mimi nilishawahi kushauri kumwekea mke kwenye probation period.Akijipata mkiwa katikati ya ndoa utamuacha brother,
Napata point yako Ila tu tuwe makini kwenye kuchagua, kuweka muonekano, possessions na luxury mbele kuliko kuijua tabia na moyo wa mtu lazma itugharimu
Alipinga nini?Huyu na Mkuu wa Wilaya wote lao moja. Mkuu wa Wilaya alianza hadi kupingana na maandiko matakatifu kuhusu uumbaji. Walipokua kwenye mahusioano yao walikua WEHU kabisa.
KiliumanaNimejifunza kitu Ila maana mm mwnyw napenda mademu wakali alafu pesa changamoto nilishawahi kupenda demu mmoja tukiwa Chuo alafu kuna lecture mmoja alikuwa na cheo kikubwa tu akamwelewa🤣Dah namaliza Chuo demu Ana Kazi mimi bado nipo mtaani sijakaa Sawa demu kanunua gari mm basi nipo mtaani, sijakaa Sawa nikapiga smu naulizwaw wewe nani
Alidai Mungu alianza kumuumba kwanza Mwanamke. Hiyo yote ni katika harakati za kumsifu mzazi mwenzake.Alipinga nini?
Sasa mzee mwenzangu, hivi usipojimwabafai mwanamke gani? Atakukubali? Yan kwny 100 utakuta ni wawili tena ambao hawakuvutii na unakuta ni singo maza. Turudi kwny maandiko hivi kama Shetani asije mdanganya Eva unadhani angekula tunda la katikati mzeeAkijipata mkiwa katikati ya ndoa utamuacha brother,
Napata point yako Ila tu tuwe makini kwenye kuchagua, kuweka muonekano, possessions na luxury mbele kuliko kuijua tabia na moyo wa mtu lazma itugharimu
Exactly, kaja mjini katukuta kajibebea makulubembe haya yenye gubu na body count za kutosha anajifanya anawashauri watu , unaenda kubeba janamke la kitambaa cheupe sinza unategemea nini, keshatoa mbwa na kila aina za pipe unategemea nini ?.. mwambieni jamaa daslama sio dodoma huku mademu wanaweza kukuectia ukajaa kwenye mfumo ukapigwa na kitu kizito, akae kitaalamu, alafu asiogope kuachana na mwanamke malaya na mwenye tamaa sio dhambi hata kama yuko na shindu kama nikolejoyberry.Asitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.
Ah wenzetu mbususu zao tayari mtaji mwanawane so huwezi jiringanisha na mwanamke.Nimejifunza kitu Ila maana mm mwnyw napenda mademu wakali alafu pesa changamoto nilishawahi kupenda demu mmoja tukiwa Chuo alafu kuna lecture mmoja alikuwa na cheo kikubwa tu akamwelewa🤣Dah namaliza Chuo demu Ana Kazi mimi bado nipo mtaani sijakaa Sawa demu kanunua gari mm basi nipo mtaani, sijakaa Sawa nikapiga smu naulizwaw wewe nani
Ni sawa. Ila tunachukua au tunagawa ile wastani kwa idadi. Wengi wanaoumiza vichwa wanaume ni hao waliojaaliwa sura na maumbile mazuri/kuvutia.Mkuu sura hizi unazoziongelea hapa au hayo matoka yaliyoingia ndani siyo kwamba eti ndio sign ya tabia njema. Kuna watu wanasumbuliwa na hao hao unao waelezea wewe
Mwanamke wa kwenye uchumba ni mwanamke tofauti na wa kwenye ndoa. Kama kuna tabia huzikubali na huwezi kuzivumilia mkiwa wachumba basi usioe, kwenye ndoa inaweza kuwa mbaya zaidi.Mkuu hili ni fumbo, huwa nawaza pia ikitokea mwenzi aki change ndoani itakuwaje tena kwa hizi ndoa za kikristo?
Na kwa mabinti wa sasaiv awapi.
Alidai Mungu alianza kumuumba kwanza Mwanamke. Hiyo yote ni katika harakati za kumsifu mzazi mwenzake.
Sasa Tatzo huwez kupita peku peku kama mpoto kwa mademu wa buku saba Ata kunyweshana saliva ni tz unakuta 😅unawaza labda demu kapigishwa Bj na muhuni hukoAh wenzetu mbususu zao tayari mtaji mwanawane so huwezi jiringanisha na mwanamke.
Wee tule mbusush hizi za buku 7 tuenjoy life. Maisha ye yewe ndio haya haya
Hao Wanawake wasio na tamaa katika miaka hii ya Sasa wanapatikana wapi?Mc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!
View attachment 3196832
Kitambaa cheupe, riverside, dodoma chako ni chako, mwanza ccm kirumba🤣Hao Wanawake wasio na tamaa katika miaka hii ya Sasa wanapatikana wapi?
Wakijikusanya wote wakapewa nafasi ya kumpigia kura mgombea mmojawapo wa CHADEMA lazima mgombea achukue uenyekiti maana ni wengi kinyama.List ni ndefu
Nikki wa pili
Mc pilipili
Mabeste
Ben paul
Ay
Hawa wote 👆🏻 walikutana na kitu kizito