Mc Pilipili: Vijana wezangu tutafute wanawake wasio na tamaa!

Mc Pilipili: Vijana wezangu tutafute wanawake wasio na tamaa!

Ni vizuri kujutia makosa ulofanya kwenye maisha yako, lakini haya mambo ya mahusiano sioni sababu kwa mwanaume kuyaweka wazi mitandaoni tena ukimlaumu mwanamke wako eti ana tamaa...akikuzingua we malizana nae kimya kimya mwache aendelee na maisha yake na wewe endelea na maisha yako, piga kimya kiume. Sasa huyu pilipili anaanza mipasho ambayo mwanamke ndo alitakiwa kuongea, sasa hapo mwanamke ni nani kati yao?! Implication yake ni kwamba jamaa ndo loser kwenye hiyo battle ndo maana anaongea ongea mitandaoni ovyo mambo ya ndani na mke wake.
😂😂😂😂😂😂😂
 
Eeh yaani namlisha nam alisha alafu anipe kwa ratiba....aloo!
Wala hamna shida naenda tafuta demu mwengine naenjoy yeye ataona tuu huduma ndani zinapungua. Akiuliza namwambia budget imehamia kwa mcheps.

Sasa ndio maana tunashauri mwanaume yoyote yule usijidai unajua kuoenda kizungu eti demu mmoja...ujinga huo. Mwanaume unatakiwa uwe na wanawake 3.
Wanawake watatu=UTI 3,kaswende 3,gono 3,ukimwi 3, wewe huogopi
 
Ah safi sana ndio uzuri wa hii dunia, huwezi kosa supporters . Hapa wakina Demi Joannah Labella Pridah wananiona sii lolote sii chochote kumbe uwoya ananikubali.
Huyo nampa ofa ya bodaboda lifft bure kila leo
😅😅 Uzuri hutokuwa na hasara maana amekupenda yeye.. na amekuelewa kwa moyo wake.. mtatumia Range yake.. siku akichachamaa basi kibarua chaishia hapo.. unasonga mbele
 
Mc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!

View attachment 3196832
Delilla noma daah sio poa jamaa kabla hajaoa alinawili sana sasa baada ya kuoa kanyonyoka manyoya yote delilla sio poa
 
Mimi Sina mchumba wala mpenzi huwa nanunua penz kwa gharama nafuu 7k tu bei ya juu Yan kwa wiki nadomba bitches tofauti 3 kila week
Ah wee sio mtombajiiii. Unaogopa gono eti ukimwi. Mwe!
Wee endelea na huyo mwanamke mmoja mie siwezi kuka na mwanamme mmoja minimum 3
 
Ndio ukaipasue kisawa sawa, hata siku mkiachana awe bado anaitakaaa 🤣🤣
Wee bwana mie nilishasema ni kibamia na kugegeda kwenyewe sijui. Yeye anipe mbususu nimchafue na mishahawa yangu basi. Muhimu mie nimeshusha wadhungu kama yeye hajaridhika wapo wakina Mzee wa kupambania watamfikisha kileleni
 
Hata hivyo pili pili ni mpuuzi, mwanaume huwezi kuwa bwaku bwaku hii itaathiri mpaka kazi zake. Mtu mshamwagana unamuongelea wa kazi gani kama sio ungese.
 
Mc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!

View attachment 3196832
nadhan yeye huyo mjamaa ndio haswa alikua na tamaa, na akaoa mwanamke ambae hakua wa hadhi yake kabisa 🐒
 
Ila Pilipili aliingia na gia ya umaarufu na pesa kwa huyu bidada, kingine sijui background ya bidada lakini kuna watu huwa wanataka kwa udi na uvumba kuwa waishi kwenye level fulani ya kifedha sasa ukimuonyesha kuwa una potential ya kuwa kwenye level hiyo atakuona wa maana siku ukianza kuonyesha hukumaanisha au pesa ikiyumba lazima naye lazima azingue
Jamaa alipitia msukosuko kwenye kumuoa huyo mwanamke damu ilimwagika sana kwa kujua au kwa kutokujua ila aliwapoteza watu aliowapenda sana kwa sababu ya huyo mwanamke na hio inamuumiza mpaka siku anaenda chini hicho kidonda hakiwezi kufutika
 
Sisi tunao oa wanawake wenye sifa za kuwa wake, hata wakiwa na sura za baba zao- hatujali. Wale mnaotaka sifa za kipumbavu kwa kuamua kuoa sura za kimiss na matako makubwa endeleeni. Kupanga ni kuchagua. Ila maji yakiwafika shingoni msije huku mnalialia. Endeleeni kupambana na hali zenu.
Mkuu sura hizi unazoziongelea hapa au hayo matoka yaliyoingia ndani siyo kwamba eti ndio sign ya tabia njema. Kuna watu wanasumbuliwa na hao hao unao waelezea wewe
 
Mc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!

View attachment 3196832
Huyu na Mkuu wa Wilaya wote lao moja. Mkuu wa Wilaya alianza hadi kupingana na maandiko matakatifu kuhusu uumbaji. Walipokua kwenye mahusioano yao walikua WEHU kabisa.
 
Back
Top Bottom