Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupeni hako kapicha akilia.Huyu ndio alilia kwa kwikwi, Akawa hajiwezi wakati anaengage? 🤣🤣
Pale ndio alihamisha ufalme.
Sikutaka kuongea hili Ila hata mimi binadamu nawajua haswa wanaoitwa marafiki,
Kiuhalisia ni nadra kupata rafiki ambaye atapenda upige hatua kuliko yeye kimaisha na hii ni kwa sababu ya wivu. Kibaya zaidi wachache watapambana zaidi ili kukufikia Ila wengi watakuchukia kimya kimya na wachache huwa wanaenda extra miles kukuharibia
Pia kutambia watu sio tabia nzuri kwa sababu huwa ni show off, inawafanya watu wajihisi vibaya kuliko vizuri. Kama unamkubali rafiki yako na unataka afanikiwe, mpe channels lakini kuwa makini, lazma ujiaminishe kuhusu tabia zake lakini pia usitoe msaada au ushauri kama hujaombwa. Balance shobo zako ba ujifunze kutunza siri zako, itakisaidia sana mkuu 🙏🏽🙏🏽
Duh....na watu wanampa kazi ya u-MC?Mshamba sana uyu
View attachment 3196848
Sifa ya mwanaume ni kutokulia lia, kutaka huruma ya walimwengu.Yakikukuta usije tena hapa
Uchagani unyama sanaa, hawatojutia yaani 😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Eti eeh, waongopee
Kwa hizi spana anapigwa itabidi achukua mapumzikoYupo humu JF kama hujui
Kataa ndoa na point 3!Mc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!
View attachment 3196832
Anatumia Jina ganiYupo humu JF kama hujui
Sasa wewe ndo unajichanganya huyo mke wa pili pili ana uzuri au matako yepi.Asitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.
Anaweza kulia ila maghetoni. Sio public, alie mahala ambapo yupo mwenyewe au Wana wake wa damu kabisa, Hadi uchungu uishe 😅😅. Ila hiyo public anazinguaSifa ya mwanaume ni kutokulia lia, kutaka huruma ya walimwengu.
Color Ile anajua kuji branda. Ila hana uzuri wowote wa kawaida sana . Sema mapenzi ni moyoo .. unakuta moyo umeenda na majiSasa wewe ndo unajichanganya huyo mke wa pili pili ana uzuri au matako yepi.
Mbona ana mtotoYule binti hakumpenda alifata jina, na ukute alifanya makusudi kutoshika mimba
Duh,Sema mwamba ana umama wa kulia lia mbele ya mademuView attachment 3196936
Anaweza kulia ila maghetoni. Sio public, alie mahala ambapo yupo mwenyewe au Wana wake wa damu kabisa, Hadi uchungu uishe 😅😅. Ila hiyo public anazingua
Eboo!Huyu ndio alilia kwa kwikwi, Akawa hajiwezi wakati anaengage? 🤣🤣
Pale ndio alihamisha ufalme.
Ila pisi imesimama hiyo aisee angalau kwa wakati wake amekojolea pazuriSema mwamba ana umama wa kulia lia mbele ya mademuView attachment 3196936
Hawapy ya kawaida tu manIla pisi imesimama hiyo aisee angalau kwa wakati wake amekojolea pazuri
Wakuweka ndani ndio wakoje jamani na sie tuoeKuna mwanamke wa kuweka ndani na mwanamke wa kuchapa na kusepa
Hapo ndipo ulipokosea fomula
Haswaa..Samaki wa mapambo haliwi 🤣🤣🤣🤣
Aisee kwa hiyo hawa ni samaki wa mapambo...mwendo wakuwagegeda na kusepa