bonjov
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,100
- 2,491
Aliinunua pilipili, kaikata na inamuwasha yeye alijua green belly pepper kumbe ile kichaa 😂😂Mc pilipili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliinunua pilipili, kaikata na inamuwasha yeye alijua green belly pepper kumbe ile kichaa 😂😂Mc pilipili
😂😂🤓🤓🤓🤓 nilicheka sana siku ile na aibu juu aiseeMakosa yalikua kama 5 au 6
Utamadunii wa kupiga goti,
Michozi ya kike live live🤣
kushindwa kujikaza,
mpka mwanamke akamuinua, kisha Akambembeleza kifuani.
Akalia kwa kwikwi.
This is not the only principle to apply in marriage. Unaweza kuwa mbabe, jeuri na fedha zako na bado mwanamke akakuacha kwa 7bu anazozijua yeye. No matter how smart you are, that's not the key factor to controll marriage or relationship. Ndoa nyingi na mahusiano mengi kwa sasa yanavunjika kwa 7bu rahisi sana na zisizotarajiwa japo kwa %ge kubwa suala la kipato/fedha linachukua sehemu kubwa.Nilisha sema na nna rudia. Mwanamke anataka mwanaume Super Power (turbo) hata siku moja mwanaume usije dhani ukitia huruma mwanamke ndo atakupenda 😅😅
Anatakiwa asilie bali achekee then akung'ute vumbi akimbie kama KipChiriri 🤣😂, akisimama tu atalia tena 😀MC akisoma huu Uzi anaweza Lia Hadi asubuhi
Mtapeana ushauri sana kwa ulimbukeni wenu, tena ashukuru yeye ameweza hadi kusema ukweli. Wenzie wanalia kimyakimya, wanaona haya.Mc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!
View attachment 3196832
Noma sanaMwaka 2018 -2020 tulisumbuliwa sana na washamba watatu kutuonesha mademu zao.
Mc Pilipili, Pastor Msanii na DC.
Wote walipigwa na chuma kizito.
Sema umaarufu na hela sometimes sio gundi ya kuwanasa mademu.
Me naamini kuishi low-key ndio kila kitu
Jahahahaah hapana shida ni kamdomo kamdoNta furahi sana sijui ndo roho mbaya na chuki zimeanza kunipata
NEVER!Na wewe usije ukamuacha kaka😂😂😂😂😂😂
Nifah mbona unatupalia mkaa tena, Mc Pilipili hakujua yajayo yatakuwajee kama alijua basi kosa lake or alitumia nguvu to keep her (money) hiyo ndo outcome or else binadamu hatabirikiMtapeana ushauri sana kwa ulimbukeni wenu, tena ashukuru yeye ameweza hadi kusema ukweli. Wenzie wanalia kimyakimya, wanaona haya.
Yupo humu JF kama hujuiMC akisoma huu Uzi anaweza Lia Hadi asubuhi
😄😄😄😄😄😄😄Duh hurumaaaaaaa
Mgogo alianza kwa kulia na anaendelea kulia
kwa uchungu sana imembidi afunguke
🤣DizastaaaaAliinunua pilipili, kaikata na inamuwasha yeye alijua green belly pepper kumbe ile kichaa 😂😂
Mwaka 2018 -2020 tulisumbuliwa sana na washamba watatu kutuonesha mademu zao.
Mc Pilipili, Pastor Msanii na DC.
Wote walipigwa na chuma kizito.
Sema umaarufu na hela sometimes sio gundi ya kuwanasa mademu.
Me naamini kuishi low-key ndio kila kitu