realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
SawaDuh! Embu na nyie sakeni za kwenu.
Tumechoka na hiyo mesemo yenu ya kutafuta hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaDuh! Embu na nyie sakeni za kwenu.
Tumechoka na hiyo mesemo yenu ya kutafuta hela
Ni ubwege huyo hajui usemi wa fimbo ya mbali haiui nyoka
Dah!...ila ushauri wake mzuri na wakuzingatiwaMc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!
View attachment 3196832
Sisi tunao oa wanawake wenye sifa za kuwa wake, hata wakiwa na sura za baba zao- hatujali. Wale mnaotaka sifa za kipumbavu kwa kuamua kuoa sura za kimiss na matako makubwa endeleeni. Kupanga ni kuchagua. Ila maji yakiwafika shingoni msije huku mnalialia. Endeleeni kupambana na hali zenu.Asitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.
Aseeh afu mwamba ana weakness ya kulia ha
Usioe makalio, sjui hips sura utalia...... Nawasilisha
Mbona yaleyale mkuu!Asitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.
Kumbe vilio vya engagement havikuishia siku ile, pumbavu kabisa huyu 😆😆🚮🚮
Udhaifu sio kipaji!Kulia kipaji mkuu siyo udhaifu
Ng'ombe huyo, mwanaume unalilia mbususu kweli..?🤬🤬🤬🤬
List ni ndefuMC Pilipili na homeboy Nikki wa II wana mengi ya kusimulia kwenye haya mambo. Ila nao waridhike wasiwe kama Mbowe kukaa madarakani bila kikomo. Muda wao wa kumiliki hizo mashine umepita wawaachie wengine.
Tako sura titi muhimu mwanawane.Sisi tunao oa wanawake wenye sifa za kuwa wake, hata wakiwa na sura za baba zao- hatujali. Wale mnaotaka sifa za kipumbavu kwa kuamua kuoa sura za kimiss na matako makubwa endeleeni. Kupanga ni kuchagua. Ila maji yakiwafika shingoni msije huku mnalialia. Endeleeni kupambana na hali zenu.
Baba alisema na mama akasema anaifahamu jinsia yake vyema ilivyo na shida stop kuongea bila mpangilioUshauri wa kuoa pokea kwa baba mama amshauri Binti yake
Mwache ukiona mwanaume wakat wa ndoa anapiga goti ujue hakuna kitu ukiona mwanaume ana angaika na engagement ujue anaendeshwa na mwanamke mwanaume unatakiwa uwe na sauti kinacho mkalisha dodoma ni nini? Kama hana kazi akufwate ulipo alfajir umeshikwa upwiru unatibu wapi? Na mke yupo dodomaJamaa akawaachia wavaa kaunda suti wa dodoma wale jamaa hawa cheki cheki nao tano tu anapewa M5😅 Sasa yeye anajichekesha kmmk
Jamaa alipenda to maximum, na hakuwa na plan B.. anachopitia ni Hali ya kawaida kabisa kwa mtu ambae alimaliza mwendo na kujikuta hana option.. anatapatapa.. anahisi akifanya kitu flani kinaweza okoa jambo ila imeisha enda hiyoNi vizuri kujutia makosa ulofanya kwenye maisha yako, lakini haya mambo ya mahusiano sioni sababu kwa mwanaume kuyaweka wazi mitandaoni tena ukimlaumu mwanamke wako eti ana tamaa...akikuzingua we malizana nae kimya kimya mwache aendelee na maisha yake na wewe endelea na maisha yako, piga kimya kiume. Sasa huyu pilipili anaanza mipasho ambayo mwanamke ndo alitakiwa kuongea, sasa hapo mwanamke ni nani kati yao?! Implication yake ni kwamba jamaa ndo loser kwenye hiyo battle ndo maana anaongea ongea mitandaoni ovyo mambo ya ndani na mke wake.
Hhhhhhh hiyo usiichukulie hivyo Ina maana tuu Ila hiyo ni lugha ya pichaMtu akisema hivyo simuelewi.