Mc Pilipili: Vijana wezangu tutafute wanawake wasio na tamaa!

Mc Pilipili: Vijana wezangu tutafute wanawake wasio na tamaa!

Ahahahahah we fala nimecheka kisenge, mwamba aliingia sehemu sio. Iyo manzi ni level zingine aseee. Inaitaji mtu mwenye msuli haswa ,,kwa kazi yake ile ya ukomedi kwa sasa amechuja kuna vijana wapya kwenye industry, manzi lazima alete mapicha picha
Nakumbuka yule demu aliwahi kusema mwanzoni Pilipili sikumpenda sikuchumkulia siriazi baadae ndo ni kaanza kumwelewa. Kwa uzoefu demu akisema hivo mbele yako jua anakumudu sana
 
Ahahahahah we fala nimecheka kisenge, mwamba aliingia sehemu sio. Iyo manzi ni level zingine aseee. Inaitaji mtu mwenye msuli haswa ,,kwa kazi yake ile ya ukomedi kwa sasa amechuja kuna vijana wapya kwenye industry, manzi lazima alete mapicha picha
Mapicha picha alianza leta mwazoni kabisa siku ya msiba wa mama mkwe wake mumewe yupo bise kujirekodi kutuonesha insta kinacho endelea msibani mke nae anao sawa baada ya kumpokonya simu na kumriwadha yeye huo muda hana mwanamke alikuwa bise kushukuru watu wanao mpa hongera kwa harusi
 
Mapicha picha alianza leta mwazoni kabisa siku ya msiba wa mama mkwe wake mumewe yupo bise kujirekodi kutuonesha insta kinacho endelea msibani mke nae anao sawa baada ya kumpokonya simu na kumriwadha yeye huo muda hana mwanamke alikuwa bise kushukuru watu wanao mpa hongera kwa harusi
Alafu kitu kingine mwanamke yuko dodoma mwanaume yuko dsm? Hvi jamaa anawajua madon wadodoma vZuri wale wanatomba kimya kimya s kama wa dsm wanabrag
 
Nakumbuka mama yangu alinambia ukishaoa usimwonyeshe mwanamke kuwa pesa zako ndo nguvu........ Kuna siku ata nguvu ya kubwa ya pesa kutoka mahala pengine na utakosa mke......

Ishi katika uanaume wako, usimnyanyase binti wa watu, mtunze , mvishe, mlishe, muwekee limits kwa kila anachokitaka.....

Akasisitiza kuwa kiuhalisia hakuna mwanamke anayetaka kuwa na mtu asiye na kitu, so work hard Ila

Usioe makalio, sjui hips sura utalia...... Nawasilisha
Ushauri wa kuoa pokea kwa baba mama amshauri Binti yake
 
Ni vizuri kujutia makosa ulofanya kwenye maisha yako, lakini haya mambo ya mahusiano sioni sababu kwa mwanaume kuyaweka wazi mitandaoni tena ukimlaumu mwanamke wako eti ana tamaa...akikuzingua we malizana nae kimya kimya mwache aendelee na maisha yake na wewe endelea na maisha yako, piga kimya kiume. Sasa huyu pilipili anaanza mipasho ambayo mwanamke ndo alitakiwa kuongea, sasa hapo mwanamke ni nani kati yao?! Implication yake ni kwamba jamaa ndo loser kwenye hiyo battle ndo maana anaongea ongea mitandaoni ovyo mambo ya ndani na mke wake.
 
Back
Top Bottom