Mc pilipili ni Simp😄 na hio tabia ndio imemcost. He aint got ballsKidogo nafatilia celeb.... sasa Kuna siku pilipili akiwa na huyo mke wake sikumbuki kituo alichokuwa anahojiwa akaulizwa...... Kuhusu mahusiano akaanza kulia kama kawaida yake,
Mkewe na uso wa ki.. innocent akawa anambembeleza mumewe hapo Ila nikasema hapa kaaazii kweli kweli
Ndugu zangu katika Khabar Nifah Mwachiluwi
Kitakachomfanya mwanamke adumu na mwanaume ni kuwa character ya kiumeMwaka 2018 -2020 tulisumbuliwa sana na washamba watatu kutuonesha mademu zao.
Mc Pilipili, Pastor Msanii na DC.
Wote walipigwa na chuma kizito.
Sema umaarufu na hela sometimes sio gundi ya kuwanasa mademu.
Me naamini kuishi low-key ndio kila kitu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Eti eeh, waongopeeMwanamke wa kuoa ni wa kichaga tu, wanajua maisha Wana focus, hawana ujinga ujinga, labda alie aliemuoa aanze ujinga.. hapo ndio ataona baraa.. Nawashauri vijana wenzagu twendeni uchagani tukaoe
Hhhhhhh kaka so poa kabisaMc pilipili ni Simp😄 na hio tabia ndio imemcost. He aint got balls
Kwo nick wa pili ni Ana pigo za kidemu sio??Kitakachomfanya mwanamke adumu na mwanaume ni kuwa character ya kiume
Kikubwa oa mke unayemmuduUkiachilia mbwembwe zake zile za "forever and for always" Kipindi cha ndoa,
Yaliyomkuta ndio yanayoendelea mtaani na sio story, tofauti tu yeye ni maarufu na wengine hawajulikani. Na ninajua hapa kila mmoja atageuka kungwi hata kama alichokiacha nyumbani au kitandani anakijua kinavyomnyima usingizi.
Kwa hiyo Hakuna fundi wa ndoa au malezi bali ni kudra za Mungu tu
Amini mzee jamaa akaanza kuliaHahaha dah
Huyu jamaa anguko lake lilionekana mapema kabisa.Huyu ndio alilia kwa kwikwi, Akawa hajiwezi wakati anaengage? 🤣🤣
Pale ndio alihamisha ufalme.
Huyu jamaa anguko lake lilionekana mapema kabisa.
Hongera wewe ambaye ni binadamu... Hata kenge ni kiumbe...Basi ungetuambia baba alivyosema kwamba umepaniki au hujapaniki mi sijali ila wakati mwingine achana na mifano ya "mama aliniambia"it makes you weak
Mwanaume anaambiwa na baba yake kenge we!
Acha wamlie maana alijitapa sana utadhani aliolea mitandao.Dah 😅unakuta sahv kuna mvaa kaunda suti yuko Yanamfanya hv Mrs pilipili
Huwa sina azoea ya kuwasema wana katika haya ambo....ila huyu fala alituaibisha sanaMc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!
View attachment 3196832
Inshort sio kwenye hiyo angle tu ngoma ivumayo kwa kasi hupasukaAcha wamlie maana alijitapa sana utadhani aliolea mitandao.
Walimwengu usiwatambie watafanya kila wawezalo wapate kilicho chako.
Pale unapochagua mke kwa kigezo cha kalio.
Ukienda huko swahilini wako watu wanakipato kidogo sana na bado ndoa zinadumuThis is not the only principle to apply in marriage. Unaweza kuwa mbabe, jeuri na fedha zako na bado mwanamke akakuacha kwa 7bu anazozijua yeye. No matter how smart you are, that's not the key factor to controll marriage or relationship. Ndoa nyingi na mahusiano mengi kwa sasa yanavunjika kwa 7bu rahisi sana na zisizotarajiwa japo kwa %ge kubwa suala la kipato/fedha linachukua sehemu kubwa.
Samaki wa mapambo haliwi 🤣🤣🤣🤣Samaki wa mapambo haliwi broo.
Kwa Pisi kali ni mwendo wa Hit & Run
Umemaliza mjadala ufungwe na mimi na kuongeza ni kwamba mkiwa na ile bond huwa kuna mahali inafikia mnaanza kufanana Ata kisuraUkienda huko swahilini wako watu wanakipato kidogo sana na bado ndoa zinadumu
Na kuna wana fedha ila hawadumu kwenye mahusiano na ndoa
Fedha ni muhimu sana kwenye mahusiano hasa mwanzoni ili mahusiano yadumu mda mrefu yanahitaji kitu kikubwa sana zaidi ya fedha ambayo ni chemistry/bond
Chemistry ikiwa hamna mahusiano ni ngumu sana kudumu-chemistry ikiwepo hata mkiachana mnajikuta mmerudiana tena
Nimeipenda hii expertAsitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.