Mc Pilipili: Vijana wezangu tutafute wanawake wasio na tamaa!

Mc Pilipili: Vijana wezangu tutafute wanawake wasio na tamaa!

Kidogo nafatilia celeb.... sasa Kuna siku pilipili akiwa na huyo mke wake sikumbuki kituo alichokuwa anahojiwa akaulizwa...... Kuhusu mahusiano akaanza kulia kama kawaida yake,

Mkewe na uso wa ki.. innocent akawa anambembeleza mumewe hapo Ila nikasema hapa kaaazii kweli kweli

Ndugu zangu katika Khabar Nifah Mwachiluwi
Mc pilipili ni Simp😄 na hio tabia ndio imemcost. He aint got balls
 
Mwaka 2018 -2020 tulisumbuliwa sana na washamba watatu kutuonesha mademu zao.

Mc Pilipili, Pastor Msanii na DC.

Wote walipigwa na chuma kizito.

Sema umaarufu na hela sometimes sio gundi ya kuwanasa mademu.

Me naamini kuishi low-key ndio kila kitu
Kitakachomfanya mwanamke adumu na mwanaume ni kuwa character ya kiume
 
Ukiachilia mbwembwe zake zile za "forever and for always" Kipindi cha ndoa,

Yaliyomkuta ndio yanayoendelea mtaani na sio story, tofauti tu yeye ni maarufu na wengine hawajulikani. Na ninajua hapa kila mmoja atageuka kungwi hata kama alichokiacha nyumbani au kitandani anakijua kinavyomnyima usingizi.

Kwa hiyo Hakuna fundi wa ndoa au malezi bali ni kudra za Mungu tu
Kikubwa oa mke unayemmudu
 

Attachments

  • Screenshot_20250109_222651.jpg
    Screenshot_20250109_222651.jpg
    153.5 KB · Views: 2
He
Mc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!

View attachment 3196832
Huwa sina azoea ya kuwasema wana katika haya ambo....ila huyu fala alituaibisha sana
 
This is not the only principle to apply in marriage. Unaweza kuwa mbabe, jeuri na fedha zako na bado mwanamke akakuacha kwa 7bu anazozijua yeye. No matter how smart you are, that's not the key factor to controll marriage or relationship. Ndoa nyingi na mahusiano mengi kwa sasa yanavunjika kwa 7bu rahisi sana na zisizotarajiwa japo kwa %ge kubwa suala la kipato/fedha linachukua sehemu kubwa.
Ukienda huko swahilini wako watu wanakipato kidogo sana na bado ndoa zinadumu

Na kuna wana fedha ila hawadumu kwenye mahusiano na ndoa
Fedha ni muhimu sana kwenye mahusiano hasa mwanzoni ili mahusiano yadumu mda mrefu yanahitaji kitu kikubwa sana zaidi ya fedha ambayo ni chemistry/bond

Chemistry ikiwa hamna mahusiano ni ngumu sana kudumu-chemistry ikiwepo hata mkiachana mnajikuta mmerudiana tena
 
Ukienda huko swahilini wako watu wanakipato kidogo sana na bado ndoa zinadumu

Na kuna wana fedha ila hawadumu kwenye mahusiano na ndoa
Fedha ni muhimu sana kwenye mahusiano hasa mwanzoni ili mahusiano yadumu mda mrefu yanahitaji kitu kikubwa sana zaidi ya fedha ambayo ni chemistry/bond

Chemistry ikiwa hamna mahusiano ni ngumu sana kudumu-chemistry ikiwepo hata mkiachana mnajikuta mmerudiana tena
Umemaliza mjadala ufungwe na mimi na kuongeza ni kwamba mkiwa na ile bond huwa kuna mahali inafikia mnaanza kufanana Ata kisura
 
Back
Top Bottom