TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Chipsi yaipembeni

Senior Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
128
Reaction score
92
Wakuu,

Kuna taarifa kwamba Mchungaji Christopher Mtikila amepata ajali ya gari mkoani Pwani alfajiri ya leo, taarifa zaidi tunasubiria kutoka kwa Kamanda wa Polisi mkoani humo.

=====
UPDATES:

JamiiForums imeongea na Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Jafari Mohamed na amethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Asema kuwa "Taarifa za mwanzo" zinasema Rev.Mtikila amefariki saa 12 kasorobo asubuhi katika kijiji cha Msolwa, Chalinze.


Amesema gari lililokuwa limempakia lilikuwa linatokea Morogoro na kwamba walikuwa watu wanne ambapo wengine watatu wamejeruhiwa vibaya.

Majeruhi wamekimbizwa katika Hospitali ya Tumbi.


Gari lililopata ajali likiwa limembeba Mchungaji Mtikila.



Mada mbalimbali zinazomhusu Mchungaji Mtikila


Mijadala mingine:

Mtikila: Shujaa wa Demokrasia, Mwanamapinduzi halisi na Shujaa wangu...
Man of the moment: Reverend Christopher Mtikila
Mchungaji Mtikila kufungua kesi mahakamani kudai Tanganyika Huru
Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa mahakamani
Uso kwa Uso na Mtikila- Akataa Hongo ya Millioni 100!
Kitendo Cha Rev. Mtikila Kugomea Arrest!, Kinastahili Pongezi!. Watanzania Sasa Tugomee...!

Mtikila: Dr. Slaa na Prof. Lipumba ni wazalendo, Lowassa hatoshi Urais
Mtikila kumshitaki Lowassa Mahakamani, adai Afya haimruhusu kuwa Rais wa JMT
Mtikila kumshitaki Lowassa kwa kukwepa kodi
Mch. Mtikila kuzuia uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015 Mahakamani, 2015
Mtikila azuia Muswada wa Mahakama ya Kadhi Kujadiliwa
Waraka wa Mchungaji Mtikila kwa Edward Lowassa
Mahojiano ya Mchungaji Mtikila (Kiingereza)
Rev. Mtikila Confirms Hosting FDLR Commanders in Dar es Salaam
Mchungaji Mtikila: CCM ni Manyani - Epidomea
Mchungaji Mtikila anusurika kuuawa
Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania
Rev. Mtikila ashida kesi ya kuruhusu mgombea binafsi mahakama ya Africa
Mtikila aibua mapya tume ya katiba
Mtikila amfungulia Mch. Getrude Rwakare kesi 69/2011 high court
Mchungaji Mtikila kwenda Mahakamani kupinga mchakato wa Katiba Mpya!
Mtikila: Slaa alishinda kwa 71%
Mchungaji Mtikila atoa Kali
Mtikila atishia kumshtaki AG
Hukumu ya mgombea binafsi hii hapa (AG vs Mtikila)
Serikali yaamriwa kuanzisha mchakato wa mgombea binafsi, ni baada ya Mtikila kushida kesi
Mtikila atangaza kugombea Urais kama mgombea binafsi
Mtikila ashinda tena kesi ya mgombea huru; Afungua upya Mahakama ya Afrika Mashariki
Mtikila: Nitaenda mahakama ya kimataifa kwa ajili ya kufungua kesi kuhusu Rasimu ya Katiba


 
Last edited by a moderator:
Kama ndivyo.. Mungu ametenda kazi yake poleni sana Watanganyika..
 
Ngoja niiweke hii nafasi kwanza!!
 
Mhh alikuwa anaenda sasa hivi au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…