Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowassa sio mtu wa kawaida....
Lowassa ana kesi ya kujibu, yale yale ya CHACHA WANGWE.
Mkuu asante kutuletea hii taarifa na kuifanya jf iendelea kuwa chaneli ya be the first to know, lakini habari kama hizi za vifo, hazipaswi kutolewa bila verification!.Wakuu
Kwa habari nilizo zipata muda huu kutoka chanzo changu cha habari chs kuaminika nikwamba Mtikila kafariki dunia kwenye ajali alipokuwa akiwahi kwenye kipindi kwenye kituo cha television ya star tv,
kama ni hivyo watadondoka wengi maana wengi wamemtukana sana Bw Lowassa.
Tutashuhudia mengi. Mungi hadhihakiwi na ameshaanza kuthibitisha hilo...
Kwahiyo Lowasa ni mchawi au mungumtu?Alimkashifu lowasa kuhusu ugonjwa,mpaka akatishia kumshitaki mahakamani kwamba kwa nini anagombea wakati ni mgonjwa
Kazi ya bwana itukuzwe,jina lake lihimidiwe!!!