TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

R I P Rev.Christopher Mtikila....kila nafsi hai itaonja mauti
 


Mungu huyohuyo alisema, usihukumu kabla hujahukumiwa...
 
Kweli Lowassa Mungu anamlinda sana. Wansomdhihaki kuhusu afya yake ndo wanatangulia. Mungu ni mwema!
 
hakuna aijuaye kesho yake yule aliyesema ni mgonjwa bado yu hai. hakika mungu ni wa wote.
 
lkn c alimdhihak edo?,leo yeye katangulia na wengne kama kina nepi nauye wajipange

Mkuu suala la mauti halina siasa, kwa kauli yako hiyo unarudia makosa ya unaowakemea. Kuwa kama EL, samehe na usahau.

"Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu." - Ayubu 14:1

Pole kwa wafiwa!
 

Ww Specialize ktk Mazr yake. Wengine wa specialize ktk mabaya yake. Kwani shida ipo wapi? Ww fanya utakalo na wengine wafanye watakayo!!

Ww ni nani wa kuwachagulia watu mitizamo ktk mambo flaflani??
 
Last edited by a moderator:

Utabiri umetimia R .I.P
 
Mungu amlaze pema baba mchungaji, pamoja na yote kifo ni sehem ya maisha ya mwanadamu hakuna hata mmoja atakaekwepa hii njia hata kristo mwana wa mungu alikufa sembuse mwanadamu alie asili ya uovu? Kama mtu alikua anawaza na kunena tofauti na unavyotaka wewe ndio kupelekee ufurahie kifo chake? Wapendwa haya mabadilko yanayohitajika ndugu zangu yasijepelekea kukuingizeni jehanamu jamani!
 
Mungu awape nguvu wafiwa , ndugu, jamaa na marafiki, poleni sana..mbele yako nyuma yetu, pumzika kwa Amani Mchungaji Mtikila, tutakukumbuka daima!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…