Kwani Mtikila alimuombea nini Lowasa? Acheni hizo. Mtikila alikuwa anasema kweli tupu kuhusu Lowasa. Ndo maana wameamua kumuua
Mapepo ya Gwajima, Mapepo ya Mwingira. Poleni wahanga, r.i.p mchungaji.
Ila najua Dr Magufuli hawamuwezi! Maana ulinzi alionao ni wa yule Mungu mkuu na ndiye anayetakiwa kuwa rais wa taifa. Hakuna cha mapepo ya hao wachungaji wala nini, lazima awe rais na awashikishe adabu, maana kama mwingira ni mnafiki anajifanya ndumila kuwili kumpalilia mlutheri mwenzake na fisadi mwenzake wa ardhi, na lazima ardhi anyang'anywe!
Kazi gani alivyofanya zaidi ya ku talk shit muda wote.....kisha habari yakeTunamshukuru Mungu huduma alizofanya Mtikila.Yeye kamaliza kazi.Tunamuomba Mungu, Magufuli awe Rais wetu.jina la Bwana libarikiwe
Nadhani sasa mmejione umafya wa LOWASSA
Duh. Kuna nini ? Mkangara alisema Lowasa ni mgonjwa Akafa yeye,Mtikila alisema Lowasa ni mgonjwa Amekufa yeye, bado wengine kama 3 wanaomsakama lowasa kwa ugonjwa na ni bahati Mtikila aliondolewa kwenye kinyang,anyilo cha Urais muda huu uchaguzi ungehairishwa hadi January 2016
We mama mpumb@v sana wee unajua kwann msukuma alimzushia El vile, we dawa yko inakujaa ngoja ublid miaka 10 mfululizo non stop ndy ukomeKumfananisha Lowassa na Mungu ni ushetani na ukafiri wa hali ya juu.
Lowassa ni mgonjwa, muulize Msukuma alifanya nini Chato. Mungu huwa anafaya hayo?
Mungu anahusikaje hapa. Lowasa kapona kabisa kwa kifo hiki.
Kwa hiyo kumbe Lowasa siyo mgonjwa? Kwa hiyo wewe unataka tumpeleke ikulu ili akapate nafuu ya kujitibia kwa fedha zetu na mfululizo wa ruhusa za mapumziko ya ugonjwa? Hivi unajua kuwa ikulu kulala ni bahati na kazi ni nyingi kuliko muda? Kama Mtikila atakuwa amekufa ujue hajafa na hoja hii. Swali liko pale pale. Ikulu siyo chaka la wagonjwa. Bora aende mtu mzima ugonjwa uanzie akiwa tayari ikulu na siyo aende nao eti tunamsindikiza sisi watanzania.
Nimeisoma naomba orodhesha makosa ya Mch Mtikila. Je Lowasa ni magonjwa au sio mgonjwa??? USICHANGANYE ushirikina na neno la Mungu.
Queen Esther
Duh...kafa kabla ya Lowassa?Mungu hadhihakiwi
Akawekwe anapostahiki.
Namsikitikia kuwa alikuwa hajajisalimisha kwa Muumba wake mpaka umauti unamfika.
Wewe Jee?