Kwani Mtikila alimuombea nini Lowasa? Acheni hizo. Mtikila alikuwa anasema kweli tupu kuhusu Lowasa. Ndo maana wameamua kumuua
Ficha ujingawako mkuu,unawezakusema ukweli kua binadamu mwenzako ni jeneza anaetembea?sasa kama alisema ukweli je yeye nini kwa wakati huu?