TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Nchi hii ina siasa za kitoto sana is like kifo cha chacha wangwe, dereva alimtafuta mwenyewe tena rafiki yake speed ikamshinda akagonga mti lakini wakasema chadema wameua try tobe mature.

Wewe kaa kimia gwajima yuko kazini kusaidia,lkn ikulu si ya miujiza,mungu atajiziilisha siku ya mwisho,pepo linalotaka ikulu kwa kuwamaliza wapinzani wake,
 
Mbona hakutoa pole kwa kifo kile cha jamaa wa lushoto

Mkuu mchawi utajua tu anazani watanzania watamuona kwema,hata kama ni mashart kuwa awe wa kwanza kutoa salamu,haisaidi mungu yupo, nae hataishi milele,
 
Binti magufuli atafutwe na vyombo husika atueleze haya anayoyasema, tunataka report tujue kwani hii ni tuhuma ambazo lazima azitolee maelezo, polisi, waandishi Wa habari tusaidie kwa hili
 
Lowasa mbona mtikila amekuwa mpizani tena wa miaka mungu na amekuwa anawasema serikali lakini alikuwa salama tu,amekusema wewe chali?, Du haya bwana,
 
Mtikila alkuwa mwanaharakati-kumbukeni kesi alzowahi kushindana na serikali na akashinda(jambo nadra sana).Shida ya Mtikila ilianza pale alipofungua mdomo na kutoa uchafu wake juu ya Lowassa,alijifanya anajua calendar ya uhai wa Lowassa,ALIKOSEA.
Mtikila na Mwigulu walinikera sana coz nilkuwa nawakubal,achana na akina NEPI na yule msukuma mana wanajulkana njia yao.
Anyway,Mungu akupumzshe Mtikila
 
Hicho kipande ni hatari sana!! Kinatisha hasa kama driver sio mwenyeji!!
Hivi huwa hakuna hela za kurepair barababra kubwa na muhimu? Strange??
Hii ajali imetokea Mungu ailaze mahali pema roho ya mpiganaji, du bado siamini

Viongozi wanapita hapo kila siku kama hawakioni, hicho kipande kinatakiwa kishughulikiwe.
 
Lowasa mbona mtikila amekuwa mpizani tena wa miaka mungu na amekuwa anawasema serikali lakini alikuwa salama tu,amekusema wewe chali?, Du haya bwana,

Lowasa alikua dereva wa gari alilopanda mtikila au? .
 
Alimkashifu lowasa kuhusu ugonjwa,mpaka akatishia kumshitaki mahakamani kwamba kwa nini anagombea wakati ni mgonjwa



God is watching us....!!!!

Mungu mwacheni aitwe Mungu...!!!
 
Wewe kaa kimia gwajima yuko kazini kusaidia,lkn ikulu si ya miujiza,mungu atajiziilisha siku ya mwisho,pepo linalotaka ikulu kwa kuwamaliza wapinzani wake,
gari imepata ajali yenyewe hakugongana na gari njingine Lowassa anaingiawapi hapa? nguvu ya mtikila ya kumzuia Lowassa kuingia ikulu ilikuwa wapi?kam Lowassa angekuwa na nguvu hizo basi Maadui zake wa siku nyingi kama nepi wangekuwa walikufa siku nyingi.
 
Kati ya watu walioongoza hili wimbi la mfumo wa vyama vingi ,tokea kitambo sanaa na ni mtu aliyejenga upinzani katika Serikali ya CCM, na matunda yake ndio tunayaona leo Vyama vya Upinzani vimekuwa Imara sana,inasikitisha sana na kutia udhuni taifa kwa kuondokewa na Mwanamageuzi Mchungaji Christopher Mtikila..na hii naamini kifo chako ndio Ushindi kwa Vyama vya Upinzani hapo 25October na kiroho utashihudia Raisi kutoka Chama cha Upinzani Akiapishwa .ulale kwa amani usingizi wa milele Mchungaji.na Mungu akuweke mahali pema peponi.Amein
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…