Nchi hii ina siasa za kitoto sana is like kifo cha chacha wangwe, dereva alimtafuta mwenyewe tena rafiki yake speed ikamshinda akagonga mti lakini wakasema chadema wameua try tobe mature.
Mbona hakutoa pole kwa kifo kile cha jamaa wa lushoto
Kamwambie amurudishe dunia pepo mkubwa
Inamaanisha mamlaka za Nchi zimeshindwa kulinda Raia wake walio wema? Ungana nasi tuziondoe tuweke mamlaka nyingine zenye nguvu zaidi!Hii nchi ukianza kupinga mafisadi tu upo hatarini pole mtikila.
Unafiki huu,yani amuue mzee wa watu then ajifanye kutoa pole?
bado unaendelea kumjaribu MunguAisee utakuwa unajua yanayoendelea zaidi ya ajuavyo Makengeza. Tupe mpya huyu uliyesema bado yeye nae ajali kichaka gani? Au kuna njia mpya mnakuja nayo?
hivi ile sheria ya mitandao ilipita kwa maigizo au ni serious!!! haya maneno sio mazuri hasa kwa wakati huu
Mbona hakutoa pole kwa kifo kile cha jamaa wa lushoto
Mkuu mchawi utajua tu anazani watanzania watamuona kwema,hata kama ni mashart kuwa awe wa kwanza kutoa salamu,haisaidi mungu yupo, nae hataishi milele,
Hicho kipande ni hatari sana!! Kinatisha hasa kama driver sio mwenyeji!!
Hivi huwa hakuna hela za kurepair barababra kubwa na muhimu? Strange??
Hii ajali imetokea Mungu ailaze mahali pema roho ya mpiganaji, du bado siamini
Kiburi cha uzima ndicho kinakusumbua. Kikiondoka utanywea tu
Lowasa mbona mtikila amekuwa mpizani tena wa miaka mungu na amekuwa anawasema serikali lakini alikuwa salama tu,amekusema wewe chali?, Du haya bwana,
Watch out bwana mdogo... #TCRA are watching don't be a chambo
Alimkashifu lowasa kuhusu ugonjwa,mpaka akatishia kumshitaki mahakamani kwamba kwa nini anagombea wakati ni mgonjwa
gari imepata ajali yenyewe hakugongana na gari njingine Lowassa anaingiawapi hapa? nguvu ya mtikila ya kumzuia Lowassa kuingia ikulu ilikuwa wapi?kam Lowassa angekuwa na nguvu hizo basi Maadui zake wa siku nyingi kama nepi wangekuwa walikufa siku nyingi.Wewe kaa kimia gwajima yuko kazini kusaidia,lkn ikulu si ya miujiza,mungu atajiziilisha siku ya mwisho,pepo linalotaka ikulu kwa kuwamaliza wapinzani wake,