MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,267
teh teh teh...R.I.P mtikila umekwenda kiume na tai shingoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
teh teh teh...R.I.P mtikila umekwenda kiume na tai shingoni
tuwe na utamaduni wa kujifunza kutokan na makosa ya watu WengnKumfananisha Lowassa na Mungu ni ushetani na ukafiri wa hali ya juu.
Lowassa ni mgonjwa, muulize Msukuma alifanya nini Chato. Mungu huwa anafaya hayo?
ni wapi alipotamka kwamba anamuombea Mtikila ili Mungu Amlaze Pema Peponi?Huyu ndie Rais sasa...!!!
Lowassa hakika umejaliwa HEKIMA, UVUMILIVU NA BUSARA KUBWA SANA... wengi Mungu katunyima...!! Mungu kakupa wewe vitu vingi ambavyo wengi tumekosa...!!
Hongera Rais wetu mtarajiwa...!!!
You touched our souls, hearts and daily lifes ni POSITIVE WAYS... na kujifunza mengi kutoka kwako Baba Lowassa...!!!
Mtikila, Mungu amlaz
Mtikila alikutukana sana, Ila bado umemuombea kwa Mungu amlaze pepa peponi...
Wewe ni zaidi ya Rais...!!!
Mungu akupe yote utakayo Baba Lowassa...!!!
Mtauwa wengi wapinga mafisadi lakini ukweli daima hautaachwa kusemwa uweni sana kwani nyie hamtakufa na hilo fisadi lenu.
so bavicha saa hizi mnatishia watu na kifo,,,,mstatumaliza wajameni...
bado unaendelea kumjaribu Mungu
Mapepo ya Gwajima, Mapepo ya Mwingira. Poleni wahanga, r.i.p mchungaji.
Ila najua Dr Magufuli hawamuwezi! Maana ulinzi alionao ni wa yule Mungu mkuu na ndiye anayetakiwa kuwa rais wa taifa. Hakuna cha mapepo ya hao wachungaji wala nini, lazima awe rais na awashikishe adabu, maana kama mwingira ni mnafiki anajifanya ndumila kuwili kumpalilia mlutheri mwenzake na fisadi mwenzake wa ardhi, na lazima ardhi anyang'anywe!
inawezekana.....hata hivyo unapaswa kujua kuwa afya ni karama kutoka kwa Mungu. anaweza akakunyang'anya wewe unayejifanya mzima kuliko mwingine na yule unayemdhihaki kwa kuitisha press confderence akaachwa.
Kweli Mkuu, kifo cha Mtikila hakijanisikitisha kabisa, ili kimenifunza kuchunga ulimi! NITAUCHUNGA!
Kweli Mkuu, kifo cha Mtikila hakijanisikitisha kabisa, ili kimenifunza kuchunga ulimi! NITAUCHUNGA!
Acha kupotosha, Sijazungumzia ufisadi hapa! Ufisadi ni huko CCM.Hakuna mungu wa kusema kitu ni fisadi wakati ni fisadi na dunia inajua eti unakufa,hiyo hatakuwa mungu ninayemuomba usiku na nchana,fanyeni kazi yenu wamalizeni wapinzani wenu lakini siku IPO hataishi milele?
Kwann tusikitike wakati huyo mtikila alikuwa anamsema rais Mtarajiwa vibaya. ..NASIKITIKA SANA WANA-UKAWA WANASHABIKIA KWA HISIA YA KUFURAHIA KIFO CHA MCH. MTIKILA UTADHANI YEYE NDIYE ALIKUWA KIKWAZO KWA MGOMBEA WA UKAWA KUINGIA IKULU. TUKUMBUKE KUA SOTE HATUKUUMBWA KWA NAMNA MOJA. Mtikila hayupo tena. haina maana wakusema hawatasema tena. kipimdi cha kampeni hua ni kipindi cha mpito. unachotaka kusema ruksa, tukana, kejeli, foka, yote ruksa. UTAVUMILIWA TU. lakini kumbuka mwisho wa matusi OKTOBA 25. Baada ya hapo ukitukana utakamatwa.haidhuru nani kashinda utakabiliana na mkono wa sheria. iwe Magufuli iwe Lowassa au Mghwira, hakuna wa kukutetea. hakuna aliekutuma uvunje sheria za nchi. chunga sana.