TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

duu! kama kweli zamu ijayo itakuwa ya nape!! kweli mungu adhihakiwi eti lowasa mgonjwa atakufa mda si mrefu sasa katangulia yeye duu!
 
Jamani, hii imenikata maini! Nimemsikia mwenyewe mchungaji Mtikila akimkashfu Lowassa kuhusu ugonjwa...tena alisema hivi, "Nimefurahishwa na tafiti za Twaweza maana Watanzania wameonyesha kuwa awalitaki jitu ligonjwa"....Leo kafa yeye!!! Lowassa shikamoo...hakika Lowassa ni mpango wa Mungu. Yani tunapatiwa majibu hapa hapa!
Mpango wa Lowassa huo.
 
ni kweli jana alikuwa njonbe kumnadi mgombea wake akamtukana sana luwasa asijue nani kaiona kesho
 
Sasa tusishindane na MUNGU,Tukaishi chini ya laana,tumchague LOWASA ni mtu ambae mtetezi wake yu hai,anachofanya ni kukaa kimya,mtetezi wake MUNGU anamtetea.Magufuri kama ana mheshimu na kumuogopa MUNGU ajiunge na lowasa kwa maslahi ya nchi hii,la kama anaona maslahi ya ccm nibora kuliko ya nchii aendelee kupiga pushap tu.
 
"Hauwezi kujiona special hata uwe mrefu vipi hauwezi kuiona kesho"...Wanaomtukana Lowassa kuhusu afya Kuna Kitu cha kujifunza hapa.

Cc: Renatus Mkinga , Makonda.
 
Huyu Mtikila aliyekuwa akisema kuwa Lowassa Mgonjwa siku ya Jumapili au mwingine!

Hii taarifa yaweza kuwa ya kubuni!

Kama kweli basi Mungu ana maajabu kweli!
Sasa naanza pata picha ya kauli ya Mengi "mafisadi wanatengeneza vifo vya watu kupitia ajali'. Hata hivyo kila nafsi itaonja mauti.
 
Duh. Kuna nini ? Mkangara alisema Lowasa ni mgonjwa Akafa yeye,Mtikila alisema Lowasa ni mgonjwa Amekufa yeye, bado wengine kama 3 wanaomsakama lowasa kwa ugonjwa na ni bahati Mtikila aliondolewa kwenye kinyang,anyilo cha Urais muda huu uchaguzi ungehairishwa hadi January 2016

Mkangara! Hebu fafanua hapa na uombe radhi upesi sana.
 
Raha ya Milele umpe ee bwana- RIP Rev. Mtikila
 
Kama humwamini MUNGU hadi sasa na basi matukio yakufundishe namna njema ya kumfuata MUNGU,ss si kitu mbele ya BABA WA MBINGUNI.Ni yeye aliyesema tutakufa ikiwa ni pamoja na mm na wewe,katika maisha tusijigeuze kujua kuliko MUUMBA MWENYEWE ni hatari kwa maisha yetu.Nawaombea wote waliokufa ktk nyakati hz MUNGU MWENYEZI awasamehe dhambi zao maana kimtokacho mtu ndicho humfanya kuwa najisi ni si kimuingiacho,Ndio maana chakula hakimfanyi mtu atukane ila roho ile ya yule mwovu shetani inapomwingia mtu.Apumzike kwa amani.
 
Chinembe ni Mungu yupi huyo????? Mungu ni wa rehema na hataki hata mmoja apotee.

Kama huyo Mungu wa Lowasa anaua kila atakayemsema basi atauwa watu wengi sana. Lile kusudi la kazi ya msalaba litakuwa limefitinika.

Bwana wetu Yesu Kristo alifanyiwa kila namna ya uovu akasema Baba wasamehe hawajui wafanyalo. Huyo Mungu wa kulipiza papo kwa papo !!!!!!! Mh!!!!! Wapi kazi ya MSALABA???

Damu zilizomwagika hata sasa kama ni mapenzi ya Mungu zitaenda kwa AMANI. Kama ni umafya na ushirikina basi tegemeeni KISASI cha Bwana.

Queen Esther

humu jamvini kuna wakristo basi waganga njaa tu wamejaa w anaodhani Lowassa akiingia ikulu basi na mambo yao yamenyooka. Mungu wa kisasi ni Mungu gani huyo? kweli watu wamefungwa ufahamu juu ya MUNGU wa kweli kwa k utegemea wanadamu.
 
Back
Top Bottom