CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Duh... Haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli maanake unachaguzi nap so uyasogezwa mbele sasa huyu so alikuwa mgombea uraisi?
na huo ndo ukweli, anaweza kuishi mda mrefu but kwa mikikimikiki ya urais kwa ile afya ni BIG NOOO!
Ni wendawazimu kufikiri kwamba kama humuungi mkono Lowasa utakufa,kifo ni mpango wa Mungu,rest in pc Mtikila!
Lowassa anaweza kuua wapinzani wake wote, huyu mtu ni hatari sana.
Majeraha ya ndani kama vile ini kupasuka utaona kwa kuangalia? Mara nyingi ajali za gari watu hufa kwa sababu ya massive brain injury inayotokana na gari kusimama ghafla. Kama unakumbukumbu za Newton's law of motion utanipata. Ndio maana tunaambiwa tufunge mikanda lakini waswahi tunaona ni usumbufu!R. I. P mtikila, Ila hii ajali duh  mbona hana jeraha lolote duh mwili unaonekana haujaumia popote labda alikufa kwa mshituko
Chadema mnapofurahia kifo hiki itabidi uchunguzi mkali uunganishe na dots za kifo cha Chacha Wangwe, inaonyesha mlivyofurahi basi kuna kitengo cha mambo hayo hapo kwenu, haiwezekani mfurahie msiba. Na ICC iunganishe matukio haya.