mtamaushi2
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 403
- 389
Hakuna ajuaye kesho hapa duniani hata wanasayansi wameshindwa hili ingikuwa mtu anajua kesho basi angekikimbia kifo, jaman tuchunge maneno yetu kwa wenzetu maisha haya ni mafupi tena ni nusu kijiko tu kila mtu na siku yake mungu GOD IS WATCHING US.