Kama ndivyo.. Mungu ametenda kazi yake poleni sana Watanganyika..
Mungu yupi fungua macho uone dunia ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ndivyo.. Mungu ametenda kazi yake poleni sana Watanganyika..
Uchunguzi wa nini hasa? Kwani mazingira ya hiyo ajali si ya kawaida kutokea?Kisichokuwa cha kawaida kwenye hiyo ajali ni nini mpaka uchunguzi ufanyike?
Poleni sana familia ya mchungaji mtikila!
Chinembe ni Mungu yupi huyo????? Mungu ni wa rehema na hataki hata mmoja apotee.
Kama huyo Mungu wa Lowasa anaua kila atakayemsema basi atauwa watu wengi sana. Lile kusudi la kazi ya msalaba litakuwa limefitinika.
Bwana wetu Yesu Kristo alifanyiwa kila namna ya uovu akasema Baba wasamehe hawajui wafanyalo. Huyo Mungu wa kulipiza papo kwa papo !!!!!!! Mh!!!!! Wapi kazi ya MSALABA???
Damu zilizomwagika hata sasa kama ni mapenzi ya Mungu zitaenda kwa AMANI. Kama ni umafya na ushirikina basi tegemeeni KISASI cha Bwana.
Queen Esther
Kuumwa sio dhambi hata kidogo,na nafikiri historia ni mwalimu mzuri tu,naamini ulikuwepo au ulishuhudia uchaguzi wa mwaka 2005 yale yaliyotokea kwa nyakati mbalimbali za kampeni ya Mh Rais wetu Jakaya Kikwete,sitaki kuyasimulia hapa kwa sababu ya heshima ya Rais wetu,ninachotaka kuelezea hapa hakuna anaejua kesho yake wala mustakabali wa afya yake,mbona Rais wetu bado yupo na anafanya kazi vizuri tu?
Tujenge hoja nzuri kwa kumuuza Mh Magufuli na sio kukashifu afya ya mtu.
hapa napata picha fulani hiviiii, mwafulani ulipokuwa kule upande wapili mara watekwe, wauawe, wanyang'anywe laptop, wategeshewe ajali.
sasa umeenda kule umewageuka . eeeh kumbe weww ndo ulikuwa bingwa wa mizengwe yakufanyizia wenzio anayekugusa tu ananasa kama kagusa waya wa line kubwa ( joke)
Kwanza unapaswa kujua Mungu hadhihakiwi,pili kumbuka unapomchimbia mtu aliye hai kaburi,unaweza kutumbukia mwenyewe,tatu watu wa Mungu wako kwenye maombi maalum kuliombea taifa lipone,na mwisho Mungu pekee ndiye mwamuzi wa hatma yangu mimi na wewe,mapenzi yake yatimizweSerikali ifanye uchunguzi mkubwa ili kubaini chanzo cha ajali iliyopoteza maisha ya Mwenyekiti wa chama cha dp mch Christopher mtikila hasa katika kipindi hiki kigumu cha uchaguzi. R.I.P MTIKILA
mungu ampunzishe mahala pema,ila kwa sisi tuliobaki kifo cha mtikilamungu hapendi mzaha kwani yeye ndiye humpa mja wake afya na maradhi kwa hiyo basi kifo chake ni fundisho kwa wengine km akina mwigulu et el.
Vipi Celina combani na kauli yake? Vipi kuhusu Komba na kauli yake juu ya mzee warioba? Ni watu wangapi wamepata ajali kipindi hichi? Kwani mtikila Kupata ajali ni miujiza? Au ajali ni kwajili ya kundi fulani la watu? Wabunge wa chadema wawili wamepata ajali kipindi hichi cha uchaguzi, je nao tuseme kua Kuna watu wanahusika? Hembu tujaribu kua na fikra zenye mantiki kidogo..asmeandika contradiction tupu. Siamini kama Mungu karuhusu kifo cha Mtikila kwa ajili ya dhambi za Mtikila dhidi ya utakatifu wa lowasa na wafuasi wake. Nikionacho ni roho ya visasi na uuwaji ya kutaka kila anayekukosoa afe. "Heri Kijana maskini, kuliko mfalme mzee tajiri, asiyepokea maonyo." Ukimukosoa lazima ufee.
Ukweli utaendelea kusemwa tu no matter wasemaji wataendelea kufa maana hakuna kitu muhimu kama kusema na kusimamia unachokiamini.
Heri kufa kwa kusema na kusimamia unachokiamini kuliko kuishi kinafiki,I believe wapo watakao okota silaha alizoanguka nazo Mtikila na mapambano yataendelea.
You played your part man!!
R.I.P Mtikila.
Vipi kaacha kesi ngapi zinazoendelea mahakamani?