TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Dah ccm ni wagumu kuelewa hata watu wa ukawa wakianza kuwaita watu wa ccmmaiti wanaotembea mungu anaweza kuwapa somo na fundisho. Kwa kifupi rufanye siasa za sera na policy. Mambo ya nani mgonjwa atafia ikulu au bungeni. Hiyo kazi tumuachie mungu

''sera na policy''??!!! anyway uccm imekujaje ktk hili? au ukisikia ukawa lazima ulete uccm? mimi nimezungumzia kazi ya mungu wa ukawa we unaleta habari ya uccm. mimi siko hapa kuzungumzia u-ccm wala u-chadema wala u-cuf n.k, my point is, kazi ya 'MUNGU' sio kuua hovyo kama unavyoamini mkuu, kama ni hivyo kila atakayemsema ENL atakufa? hebu tuone kuwa, wengine siku zao zilikuwa zimefika. ila kama unaendelea kuamini kuwa kazi ya 'mungu' wa ukawa ni kuua nakubaliana na wewe.
 
mtikila hakumdhihaki lowassa bali januari makamba huyo ameadhibiwa kwa mizaha yake hakuwa siriaz
 
Kasome kwanza what is parkinsonism na ukasome alichougua mgombea wa 2005 kisha ufanye ulinganisho ndiyo sasa uje uniletee majibu
Mimi sina haja ya kusoma,maana naamini kuna watu wanaumwa magonjwa mabaya hata kuyasema yanaogopesha,na wamefanya kazi kwenye serikali yetu hii ya Mh JK Mrisho,tusikufuru,sera zipo,Mh Magufuli anauzika vizuri tu tuache hoja nyepesi na kujifanya sisi ni wazima saaana wakati tumeoza kila sehemu.
 
Na inasemekana alikuwa amepanga wiki ijayo kwenda mahakamani kumpinga mgombea mmoja wa urais ambaye ni fisadi.

itakuwa lazima yule mgombea aliyeuza nyumba kwa bei za kutupwa na kuwagawia nyumba bure nyumba ndogo zake...
 
pole sana kwa wafiwa, Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi, Bwana ametoa Bwana ametwaa, jina lake linimidiwe.

NB:
Kifo cha mch. mtikila ni ujumbe mzito kwa akina NAPE, MWIGULU, LUSINDE, MAKONGORO NYERERE, BULEMBO, MSUKUMA na wengine mnaojiona mna mandate ya kukadiria uhai wa mtu wakati hiyo ni kazi ya Mungu na ni SIRI yake peke yake. Kumbuka marehemu Celina Kombani pia alikashifu afya ya Lowassa alipohamia CDM. akisema bora amehama angetufia bure acha akifie huko chadema…kama mna akili na utashi ACHENI KUKASHIFU UHAI WA WATU fanyeni kampeni za kukinadi chama chetu


nadhani umemsahau na JANUARY MAKAMBA!
 
Inasikitisha kiongozi wa dini aliyejichanganya na siasa anamuaibisha mungu! Anataka kila mtu aone is okay kushika mbili..kila mtumishi aamue moja kumtumikia mungu ah kaisari..tuliobaki tujifunze!
 
Ni kweli amefariki, ni taarifa sahihi hakuna uzushi na baadhi ya picha za ajali ziko ktk mitandao.
 
MUNGU YU MWEMA CNA.kifo hakina formula kuwa atakufa mzee au mgonjwa.tujiangalie
 
Mapepo ya Gwajima, Mapepo ya Mwingira. Poleni wahanga, r.i.p mchungaji.
Ila najua Dr Magufuli hawamuwezi! Maana ulinzi alionao ni wa yule Mungu mkuu na ndiye anayetakiwa kuwa rais wa taifa. Hakuna cha mapepo ya hao wachungaji wala nini, lazima awe rais na awashikishe adabu, maana kama mwingira ni mnafiki anajifanya ndumila kuwili kumpalilia mlutheri mwenzake na fisadi mwenzake wa ardhi, na lazima ardhi anyang'anywe!
 
Kama kawaida yao chadema walivyomuua chacha wangwe hatimaye mtikila naamini kwa tabia yao hii tutegemee kumwona yesu akirudi kwa Mara ya pili na sio chadema kwa mauaji yao kwenda lkulu lnasikitisha sana ni asiyejua kwamba lowassa ni Fisadi?
 
IT PAIN

Mzee wangu alikua dereva wa tikila tangu 1999 mpaka 2004 ambapo aliacha kumwendesha baada ya upepo wa kisiasa kwenda kombo!!!!!!!

Ntamkumbuka daima kwan niliwah sali kwake na kuvaa sare za DP enz hizo tupo wadogo mnoo tukielekea kwenye kampen!!!!!!

Alimpenda sana mzee wetu na familia yetu!!!!!!Mke wake (JAJI) ni mkarim sana sana!!!!!Mungu amjalie wepes mama yule!!!!!Mungu ampe stahiki yake siku ile ya hukum sawa sawa na matendo yake AMINA
 
Mapepo ya Gwajima, Mapepo ya Mwingira. Poleni wahanga, r.i.p mchungaji.
Ila najua Dr Magufuli hawamuwezi! Maana ulinzi alionao ni wa yule Mungu mkuu na ndiye anayetakiwa kuwa rais wa taifa. Hakuna cha mapepo ya hao wachungaji wala nini, lazima awe rais na awashikishe adabu, maana kama mwingira ni mnafiki anajifanya ndumila kuwili kumpalilia mlutheri mwenzake na fisadi mwenzake wa ardhi, na lazima ardhi anyang'anywe!
Shut the f@#$ up
 
Nadhani watu mmesahau kwamba captain Komba amewahi kutoa kauli za aina hii dhidi ya mzee Warioba. Kwa hiyo na warioba nae alihusika na kifo chake??
 
Back
Top Bottom