TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Miaka 50 Ni Miaka Ambayo Kimaandiko Uwa ni Mwaka wa Ukombozi, Yaani Jubilee Takatifu - Mwaka wa Kuachwa Huru Kwaiyo Ccm Ijiandae Kisaikolojia Maana Mungu Analirudia Taifa Lake.

Mr Ndege. Haya uliyoyasema ni Mazito Sana nakila Mtanzania Anapaswa Kuyatafakari Sana. Maana haijawai kutoke katika Taifa mambo Makubwa Kama Haya.

Yalianza Kwenye Zoezi La Katiba Mpya ccm wakachakachua, kama Kawaida Yao Hawakujua Kwamba Wanashindana Na Mungu,

ikazaliwa UKAWA Umoja Wa katiba ya Wananchi, vyama Ambavyo kwa miaka yote vimekua Maadui kisiasa kukaa pamoja, hapa napo ccm ndiyo kwanza imelala fofo isijue nini maana yake kwamba Mungu alikuwa anawawashia taa Nyekundu.

Ikaja kwenye kura za maoni. Hapa napo Mungu alisema wazi wazi na chama cha mapinduzi. Juu ya lowassa uhungwaji wake Mkono na wananchi wengi ndani ya chama na nje ya chama. Hapa napo ccm wakachakachua wakidhani wameshinda kumbe ni Mpango wa Mungu kukiangamiza chama cha mapinduzi.

Siku niliyo Ogopa Zaidi ni Siku Lowassa Alipo amia Chadema, ndipo Akili zangu zikapata Mwanga Kwamba Hapa Mungu anataka kufanya Jambo tanzania mwaka huu.

Na dalili Na isharo zote zimeshaonekana wazi wazi juu ya Mtu wa Mungu Lowassa Pamoja na Misuko suko Mingi, hila, na mipango miovu ya Adui Bado Lowassa anazidi kuungwa Mkono kila siku na Wananchi. Maskini ccm Mwaka huu ndiyo mwisho wenu. Ndio mjue Hapangacho Mungu Mwanadamu hata ufanye nini uwezi tangua, Tanzania Mpya inakuja.
 
hahaaha,mungu anakubariki maisha marefu,tutaendelea kuwapa pole Mara nyingi,japo alikutukana lakini bado unaonyesha uongozi kwa kutoa pole,hakika lowasa ana upako wa mwenyezi mungu
 
Kumbe movies zinareflect ukweli. Inasikitisha, wa upande wa Mtikila ongezeni umakini
 
Tunajua nguvu ya mafisadi inavyofanya kazi ...lakini itashindwa tu

Soma Majira Na Nyakati Mdogo wangu, usikurupuke Kwa kuaminishwa ujinga na watawala, rudi kwenye vitabu vya Mungu usome neno Majira. Ikifika imefika majira ya Upinzani Kuchukua Nchi Yameshafika. Au Mlidhani Kakobe Alipo mwandikia Mh Rais Waraka Mlindani ni utani? ndiyo mpate Akili Kwamba Tanzania ni Ya Mungu na sio ya ccm.
 
wote wanaomtukana lowasa kuwa mgonjwa hawatadumu,wote wanaotukana wengine hawatadumu,wataangamia wote mmoja baada ya mwingine,komba,kombani,mtikila sasa bado kikwete na ridhiwani.hawa nawaombea wafe mapema.

Aiseee hii umetoa wapi
 
Poleni familia,ndugu,jamaa, marafiki, waumini wa Mtikila na watanzania wote kwa kuondokea na Mch. C Mtikila. Ni majonzi makubwa, ameondoka mmoja wa wapiganaji aliyekuwa akipigana kwa ajili ya taifa lake.
Kapumzike Mch C Mtikila.

Tulobaki tutende wema, tuwakumbuke wagonjwa kwa mali na sala zetu, wajane, yatima, walemavu hivyo hivyo. Thawabu tutaipate kwake Muumba
 
Hii nchi ukianza kupinga mafisadi tu upo hatarini pole mtikila.
 
r.i.p mungu ampe rehem huko mbinguni.rkn wanasiasa wasipende kuongerea uzima au ubovu uliopo kwa mtu mungu ndie anaejua kila kitu
 
Its been a long day without you my friend, fighting for democracy was a long journey, surelly i'll tell you all about it when i see you again, chadema taking power will be a positive gain, though we've come a long way from where we began, ill tell u all about it when i see you again that lowassa(the "marehemu mtarajiwa" as u said) became a president.
R.I.P
 
Nape learn from this, You may be the next....Mungu hadhihakiwi, wala watanzania mamilioni kwa mamilioni wanaomsapoti Lowassa hawafurahishwi na matusi yenu dhidi ya mtu wanayemuona wao kuwa ni sahihi, huwa wanasali ili Mungu awabadilishe mioyo yenu iache kuwa migumu, lakini kama hamtaki kubadilika, endeleeni kututukania baba yetu, lakini Mungu atajibu...!
Mtauwa wengi wapinga mafisadi lakini ukweli daima hautaachwa kusemwa uweni sana kwani nyie hamtakufa na hilo fisadi lenu.
 
Back
Top Bottom