TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Lowassa Chaguo LA mungu. ukimtukana tu Gharika linakupitia 😆😆
 
RIP mchungaji. But allow me to touch a different field. To most of the political figures, it is a fashion nowadays to be flanged by a good number of (fake?) bodyguards. That is well and good, but our security concern ends there. I am talking of stuff like control over drivers (limit to working hours including the time you are a co driver), seat belts, back seat for VIPs and vehicles with passive safety options like curtain air bags etc. DoS limits NOT more than 2 hours of driving after work, meaning even after clerical work you are limited to 2 hours of official driving. Also, seat belts are mandatory whenever seated in official vehicle. Yes, it's rather bumpy in the back seat of Land Rover in rural road but very comfortable in a saloon back seat. Let us learn from other's mistakes (how painful they are) and observe basic security measures to cut the number of such bad news. I stand accused.....
 
Upo Sawa aka Usemacho ni Kweli Kamanda aka Mkuu,
MUNGU Kwanza, Watu wanabeza na kudharau,
Ila Mungu yupo na anafanya kazi apendavyo yeye Mungu.

Kifo cha Mchungaji Mtikila kinazidi kunifundisha na kutufundisha na kutukumbusha:
1. Binadamu tunatembea na KIFO.
2. Tenda Wema, nenda zako.
3. Mungu Kwanza.
4. Ulimi ni Kiungo Kidogo sana, Ila Madhara yake ni Makubwa sana.
5. Hakuna ajuaye ya Kesho au Ya Mbele au Ya Sekunde ijayo.

RIP Mchungaji Mtikila, Tangulia Baba, Sisi Tutakufuata.

katika Vitabu vitakatifu Mungu amekuwa akitoa ishara nyingi nyingi sana. Na hii leo anasema na Watanzania kwa namna tofauti kabisa ya kuondokewa na mwanasiasa mwenye chachu kabisa katika Siasa za Vyama vingi. Hebu kaa dakika moja mkumbuke Mch.Mtikila, Kumbuka siasa za Mtanganyika, Kumbuka siasa za --------- na mengine mengi.

Mungu anasema kwa ishara mabalimbali kipindi hiki cha uchaguzi, matukio mengi sana yametokea hapa Tanzania na duniani yakitukumbusha sisi ni mavumbi tu. Nikipindi ambacho Tunakumbushwa kurudi Miskitini na makanisani kusiliza sauti ya Mungu na kuzitambua ishara hizi kwa unyeyekevu mkubwa. Mungu anatukumbusha kujali maskini,Watu wenye njaa, na wagonjwa mbalimbali. Mungu anatukumbusha si kwa akili zetu tumepata dhamana kuliongoza taifa hili bali yeye mwenyewe ndio kafanya yote haya.

Mungu anatukumbusha Gas Mafuta na madini ni mali yake na vitumie kwa utukufu wake kwa kuhudumia watu wenye mahitaji zaidi. Mungu anatukumbusha Mikataba ya madini/Gas iwekwe wazi ili iwafikie walengwa wake. Mungu anatukumbushaTuache rushwa na ufisadi,Tutubu zambi zetu na Tujenge taifa kwa kizazi kijacho.

Mungu ameota ishara hizi ila kila mwanadamu apate kumjua yeye ndie Mungu Muumba wa Taifa hli.
1.Lowassa Kuhama CCM
2.Magufuri kuwa Mgombea Urais
3.Lipumba Kuacha siasa
4.Dr Slaa kuacha Siasa
5.Halima mdee na Mbatia kwenye Jukwaa moja.
6.Tanzania kuwa giza wakati wa uchaguzi
7.Vyama vinne kusimamisha mgombea
8.Rais kupiga campaign
9.Hotuba za Nyerere kutamba katika jukwaa la upinzani.
10.Kwa mara ya kwanza Watanzania hawajui nani atashinda uchaguzi.
11.Campaign bila kept.Komba.
ukiangalia kwa mbali utaona ni vitu vidogo sana lakini ukirudi utakuta mabadiliko makubwa sana katika radha ya siasa za Tanzania. kwa ujumla kifo cha mtikila ni pigo zito sana katika radha ya siasa ya vyama vingi. R.I.P
 
Duh! ............... MAADUI WALIKUWA WANAMFUATILIA KWA NYUMA.......... ALIPOJISHTUKIA AKAONGEZA SPIDI.............. NAO WAKAFURAHI NA KUZIDI KUMFUKUZA! ................... WALIPOFIKA SEHEMU HATARISHI, YENYE KONA NYINGI NYINGI, WALIMUOVATEKI KWA SPIDI KALI NA KUMTWANGA 'LASER BEAM' YA MACHONI ................!
pirate-skull-crossbones-pink-hi.png

Sasa mchezo huu umeandaliwa na nani? na kwa sababu ipi?
 
Mwaka huu nimejifunza mambo mengi sana,ni marufuku kuingilia kazi ya Mungu tumuachie yeye ndio anajua nani Wa lini na SAA ngapi
 
Hapa ndio tunakumbushwa kuwa ni Mungu pekee ndie anayejua kesho,na usimuhukumu mwenzako eti kesho atakufa kwa tu yu mgonjwa na wewe u mzima.
Ni kosa kudhihaki au kuhukumu, kwa kutoa lugha za kashfa lakini si kosa ku criticise afya ya mkombea kwa nafasi ya urais..Taifa letu linaitaji rais mwenye afya njema physically and mentally ili aweze kutimiza majukumu yake vizuri. Hilo si kosa na its a constructive criticism, hayo mengine yakuitana marehemu, jeneza sasa hapo ni kuvuka mipaka. Maoni yangu ni kwamba Lowassa is not physically fit to be a president. Hata mikutano kuhutubia mfano umoja wa mataifa amesimama kwa saa moja au bunge ataweza? hiyo ni kasoro nani bora angepumzika kuangalia afya yake na aishi maisha ya amani na furaha.
 
Tusiwe wepesi kukebehi afya za wenzetu. Hakuna ajuaye kesho yake
 
Kwa hiyo Mungu kaanzisha chama cha siasa? Acheni ulofa wenu ninyi. Ujuaji wa Kuchanganya Dini Na Siasa ni ulofa uliopitiliza. Alivyofariki marehemu Mtoi (may his soul rest in peace) Mungu alikuwa wapi? Muache kuleta siasa kwenye imani za watu.

Umefichika....
 
Jamani ajali ni ajali. Tumuombee Mchungaji Mtikila apumzike kwa amani. Kuhusu usemi wake kuhusu afya ya Lowassa kwani inahusiana nini na hili? Lets not be superstitious!! Ninadhani Katiba ya nchi inacho kipengele kuhusu afya ya raisi, kwani asipokuwa na uwezo wa kiafya (kimwili na kiakili majukumu atapewa mwingine). Na tusubiri tuone, lakini mwenye macho haambiwi tazama.
 
Had he been wearing his seat belt he would prob have been alive today. Or perhaps Ramji, Mahesh, Govinder et al stole his car seat belts or maybe even made him not want to buckle up?
 
Mtu akiambiwa mgonjwa hafai kushika madaraka haina maana atakufa Bali hoja ni kwamba akiwa kiongozi mwenye maradhi atashindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo!

Mtikila hakusema Lowassa atakufa, Bali alisema si busara kumpa dhamana ya watu m58 kiongozi mgonjwa!

Si haramu kumzuia MTU kufanya kazi Fulani kutokana na ugonjwa flani

Tuache UPOTOSHAJI
 
Huyu Mungu anayesimama na Mkiti wa waganga wa kienyeji kumnadi mgombea fulani linaleta,utata.

Queen Esther

Soma Majira Na Nyakati Mdogo wangu, usikurupuke Kwa kuaminishwa ujinga na watawala, rudi kwenye vitabu vya Mungu usome neno Majira. Ikifika imefika majira ya Upinzani Kuchukua Nchi Yameshafika. Au Mlidhani Kakobe Alipo mwandikia Mh Rais Waraka Mlindani ni utani? ndiyo mpate Akili Kwamba Tanzania ni Ya Mungu na sio ya ccm.
 
Back
Top Bottom