Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Ameachana na CCMUmesahau na kingunge kuhama ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameachana na CCMUmesahau na kingunge kuhama ccm
Unaamini kuwa wa?kwa nini unadhani hivyo?
Wajuzi wa sheria hebu tufahamisheni kuhusu hili, baada ya kifo cha Mchungaji mtikila ambae alikuwa mgombea urais wa chama cha DP je sheria inasemaje kuhusu uchaguzi? Utaakhirishwa au inakuwaje?
Nakumbuka miaka ya nyumba alipofariki Marehemu Dr Omar Ally Juma aliekuwa mgombea mwenza wa ccm uchaguzi uliakhirishwa vipi kuhusu la mtikila?
Wajuzi wa sheria hebu tufahamisheni kuhusu hili, baada ya kifo cha Mchungaji mtikila ambae alikuwa mgombea urais wa chama cha DP je sheria inasemaje kuhusu uchaguzi? Utaakhirishwa au inakuwaje?
Nakumbuka miaka ya nyumba alipofariki Marehemu Dr Omar Ally Juma aliekuwa mgombea mwenza wa ccm uchaguzi uliakhirishwa vipi kuhusu la mtikila?
Ng'ombe wewe voda fasta!
We Gamba nin?
Wajuzi wa sheria hebu tufahamisheni kuhusu hili, baada ya kifo cha Mchungaji mtikila ambae alikuwa mgombea urais wa chama cha DP je sheria inasemaje kuhusu uchaguzi? Utaakhirishwa au inakuwaje?
Nakumbuka miaka ya nyumba alipofariki Marehemu Dr Omar Ally Juma aliekuwa mgombea mwenza wa ccm uchaguzi uliakhirishwa vipi kuhusu la mtikila?
Kweli JF siku hizi inashuka hadhi, marehemu Mtikila alikuwa mgombea kweli? Kwani kuchukua form na usirudishe unabaki kuwa mgombea? Kasome ndugundugu aibu hii umeitafuta ili kutwist situation ya Kingunge? Mmezoea akili mgando za Mwl. JK kujifanya kaota ili aendelee kujaza Watanganyika ujinga. Sio karne hii. Eti Mr. Hero. Utakuw Mr. Ebo wewe
Wajuzi wa sheria hebu tufahamisheni kuhusu hili, baada ya kifo cha Mchungaji mtikila ambae alikuwa mgombea urais wa chama cha DP je sheria inasemaje kuhusu uchaguzi? Utaakhirishwa au inakuwaje?
Nakumbuka miaka ya nyumba alipofariki Marehemu Dr Omar Ally Juma aliekuwa mgombea mwenza wa ccm uchaguzi uliakhirishwa vipi kuhusu la mtikila?
Kweli JF siku hizi inashuka hadhi, marehemu Mtikila alikuwa mgombea kweli? Kwani kuchukua form na usirudishe unabaki kuwa mgombea? Kasome ndugundugu aibu hii umeitafuta ili kutwist situation ya Kingunge? Mmezoea akili mgando za Mwl. JK kujifanya kaota ili aendelee kujaza Watanganyika ujinga. Sio karne hii. Eti Mr. Hero. Utakuw Mr. Ebo wewe
Dah. Kwanza ni Kushangae Mkuu Wangu, Yaelekea Wewe Ni Paganizim, Maana Kama Ungekuwa Na Dini Basi Ungejua Hata Handiko Lisemalo Mamlaka Zote za Dunia Utoka Kwa Mungu.
Mungu siyo Mjinga Awaachie Wanasiasa Wavurude Mambo Ya Nchi Na Watu Wake Ndugu yangu, Ndiyo Maana Sote Tunaamini Mungu. Hata Wanasiasa uwahita Watumishi Wa Mungu Wafungue Mikutano Kwa Sala.
Sasa Kama Mungu Hausiki Watumishi wa Mungu wanaitwaje Kuombea Mikutano Na Amani Ya Nchi?
Nenda Kwenye Maandiko Yote Uone Kama Mungu Hausiki Katika Tawala Za Dunia, unapo andika Kitu Ni vyema Ukatafakari Kwanza Au kama uelewi basi tafuta kuelimishwa Mkuu wangu.
Umefichika....