Huko wanakuelekea chama Chato kitapotea kabisa.Alimaanisha kupiga kampeni ila ulimi ukateleza.
Kama kawaida Bavicha mtakomaa na mada za kijinga kama hivi weeee! Hadi ikifima tarehe 01/10/2025 ndio mnaanza kuulizia mambo ya tume huru.
Tuletee wewe tafsiri ya neno "kupiga kura"!Level ya unafiki ya watanganyika ni ya juu sana kuipima kwa SI units hizi za kawaida! Labda Richter scale!
Yaani watu wanajua kabisa hapakuwa na haki lakini wanaongea na kusifiana as if hamna kibaya kilichotokea!
Very well said kiongozi [emoji120] [emoji120] Gwajima ni tapeli tuu, a self proclaimed prophet, a conman....No, it's you who is " OUT OF CONTEXT"..
Ukitaka kuelewa kuwa uko nje ya muktadha, sikiliza hotuba zote kuanzia Rais wako Pombe, spika wako Ndugai na huyu mchungaji utagundua iko shida.
Mathalani, Gwajima anawafanyia "mockery" wazanzibari zaidi 90% walio kwenye msiba mkuu wa demokrasia ta nchi yao...
Anasema Dr Mwinyi Rais wa Zanzibar kuwa ni gwiji kwelikweli wa siasa kwa sababu amefanikiwa "...kuwageuza kichwa chini, miguu juu wapinzani wake."
Kama wewe ni msikilizaji mzuri na unayeweza kumsoma na kumwelewa mzungumzaji, tazama "body language" ya Mwinyi mara baada ya kauli ile ya Gwajima.
Dr Mwinyi hakuifurahia na ana sababu ya kutofurahia.
Ni kwa sababu mpaka sasa na pengine mpaka kesho, Dr Mwinyi anafanya kila juhudi kuwaunganisha na kuleta mwafaka miongoni mwa Wazanzibari baada ya majeraha ya uchaguzi wa wiki juzi.
Sasa anapotokea mtu "mjinga" tena ndani ya platform ya bunge na mbele yake Rais anatoa matamshi kama yale, bila shaka yanakuwa yanarudisha nyuma jitihada hizo na kutonesha majeraha ya Wazanzubari.
Kwa hiyo, kila kitu kiko inside the context. Wewe ndiye uliye nje ya muktadha. Rudi ndani tafadhali.!
Sina. Na kwa kweli kwenye uzi huu sijazungumzia chochote kuhusu tafsiri ya maneno 'kupiga kura'.Tuletee wewe tafsiri ya neno "kupiga kura"!
Check. Ume- quote comment sahihi?Tuletee wewe tafsiri ya neno "kupiga kura"!
Huyu mimi nilivyomwelewa, alikuwa anaongelea wakati wa Kampeni na si siku ya kupiga kura.Hata hatujafika mbali sana, tayari wanaanza kusema waziwazi wenyewe mbinu haramu na za wizi wa kura walizotumia kushinda uchaguzi huu.
Katika video hii inayomwonesha mbunge mpya wa CCM - Jimbo la Kawe - DSM, Mch. Josephat Gwajima kuanzia dakika ya 8:50 ukitazama na kumsikiliza bila kujua ana kwa kujua asemacho, anaeleza jinsi jina la Rais John P. Magufuli lilivyotumika kuwapatia kura bila kutegemea watu (voters) kupiga kura.
Na hiki ndicho kinacholakamikiwa na vyama shindani vilivyopambana na CCM ya Magufuli katika uchaguzi ulioisha wiki juzi...
Wanasema kuwa huu haukuwa uchaguzi bali maigizo tu ya uchaguzi kwa sababu washindi walikuwa tayari wameshaandaliwa akiwemo Gwajima mwenyewe ambaye kwa kinywa chake anathibitisha hili.
Hakika kumbe ni kweli kabisa kuwa, MDOMO ULIPONZA KICHWA...!!
Hii maana yake ni kusema kuwa, kwa kuwatumia watu wao, walienda kwa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi wa halmashauri za wilaya/miji/manispaa/majiji ambao ni wateule wa Rais Magufuli na kutoa amri kuwa.
"...umeteuliwa na Rais John Pombe Magufuli, amekupa mshahara mzuri na gari nzuri. Sasa anasema Mch. Josephat Gwajima ni lazima umtangaze kuwa mshindi ubunge jimbo la Kawe..."
Hivi ndivyo jina la Rais John Pombe Magufuli lilivyotumika kuleta ushindi. Je, unahitaji wapiga kura hapa kukupigia kura?
Kinachonipa shida na taabu mimi zaidi ni ushiriki wa Mchungaji huyu, mtumishi wa Mungu kwenye uharamia na unyang'anyi huu wa haki za wananchi mchana kweupe bila yeye kuukemea na kuukataa.
Je, mchungaji huyu anaweza kusimama madhabahuni na kuukuemea uovu na unyang'anyaji wowote iwapo yeye mwenyewe akiwa mshiriki mshiriki na sehemu ya unyang'anyi huo?
I am afraid to say this, that he might have a bad ending like his counterpart the late Rev. Getrude Lwakatare...!!
1. Yes, kisheria hadi usomapo comment hii Gwajima ni mbunge halali unless otherwise..Nimesoma nimegundua mambo mawili:
1. Unamtambua Askofu Gwajima kuwa Mbunge halali wa Jimbo la Kawe & JPM kama Rais halali wa JMT
2. Maelezo yako yanapingana kabisa na kilichosemwa, na kila mtu anajua kuwa inajulikana kwamba wewe unajua vizuri kuwa umejua ulichoandika sicho tunachojua unajua; na sasa unajua vyema kama nani anajua kuwa nani mwongo kati yako na Askofu Gwijama.
Huyu mimi nilivyomwelewa, alikuwa anaongelea wakati wa Kampeni na si siku ya kupiga kura.
"Hatukuhitaji kuomba kura ila kutaja jina lako tu".
By the way, wakati wa Kampeni kuna watu walikuwa wanapiga kura?
Mkubwa achana na huyo mtu, kwa haraka tu naiona level yako ya ufahamu ni kubwa mara kumi ya huyo unae ague nae,kwa binadamu wa kawaida ukimuona anashangilia uovu tambua wazi hana ufahamu wa kutosha na ufahamu kwa binadamu huweza kuondolewa na vitu viwili tu ugonjwa yaani ukichaa au Mungu, upo ushahidi wa mungu kuwaondolea ufahamu watu ili waanguke. hasa wanapozidisha uonevu,kutotenda haki na uasi.No, it's you who is " OUT OF CONTEXT"..
Ukitaka kuelewa kuwa uko nje ya muktadha, sikiliza hotuba zote kuanzia Rais wako Pombe, spika wako Ndugai na huyu mchungaji utagundua iko shida.
Mathalani, Gwajima anawafanyia "mockery" wazanzibari zaidi 90% walio kwenye msiba mkuu wa demokrasia ta nchi yao...
Anasema Dr Mwinyi Rais wa Zanzibar kuwa ni gwiji kwelikweli wa siasa kwa sababu amefanikiwa "...kuwageuza kichwa chini, miguu juu wapinzani wake."
Kama wewe ni msikilizaji mzuri na unayeweza kumsoma na kumwelewa mzungumzaji, tazama "body language" ya Mwinyi mara baada ya kauli ile ya Gwajima.
Dr Mwinyi hakuifurahia na ana sababu ya kutofurahia.
Ni kwa sababu mpaka sasa na pengine mpaka kesho, Dr Mwinyi anafanya kila juhudi kuwaunganisha na kuleta mwafaka miongoni mwa Wazanzibari baada ya majeraha ya uchaguzi wa wiki juzi.
Sasa anapotokea mtu "mjinga" tena ndani ya platform ya bunge na mbele yake Rais anatoa matamshi kama yale, bila shaka yanakuwa yanarudisha nyuma jitihada hizo na kutonesha majeraha ya Wazanzubari.
Kwa hiyo, kila kitu kiko inside the context. Wewe ndiye uliye nje ya muktadha. Rudi ndani tafadhali.!
Mi pia niliwaambia hivyo hivyo ikifika uchaguzi 2025 wanaanza upya.Alimaanisha kupiga kampeni ila ulimi ukateleza.
Kama kawaida Bavicha mtakomaa na mada za kijinga kama hivi weeee! Hadi ikifika tarehe 01/10/2025 ndio mnaanza kuulizia mambo ya Tume huru.
BIG LIAR. Sidhani hata endapo unajua kusoma.1. Yes, kisheria hadi usomapo comment hii Gwajima ni mbunge halali unless otherwise..
2. Kwani huyo anayeongea hapo siyo Mch. Josephat Gwajima? Hajasema hiki nilichokiripoti hapa?
Nadhani (labda), tunatofautiana uelewa na tafsiri ya kimantiki ya kilichosemwa na mbunge huyu..
If that is the case, huwezi kuniita mimi mwongo. Nafikiri ulichopaswa kukifanya wewe ni kuni - challenge mimi kwa kusema;
"...Nadhani tafsiri haiko sahihi. Gwajima kasema vile akiwa na maana 1, 2, 3 kinyume na ulivyoelewa wewe (yaani Mimi).."
Lakini kuniita mimi direct kuwa ni muongo huku tunachokijadili kikiwa wazi kwenye video hiyo ni kutonitendea haki kama watu wastaarabu na waungwana...!
Asante..
No, it's you who is " OUT OF CONTEXT"..
Ukitaka kuelewa kuwa uko nje ya muktadha, sikiliza hotuba zote kuanzia Rais wako Pombe, spika wako Ndugai na huyu mchungaji utagundua iko shida.
Mathalani, Gwajima anawafanyia "mockery" wazanzibari zaidi 90% walio kwenye msiba mkuu wa demokrasia ta nchi yao...
Anasema Dr Mwinyi Rais wa Zanzibar kuwa ni gwiji kwelikweli wa siasa kwa sababu amefanikiwa "...kuwageuza kichwa chini, miguu juu wapinzani wake."
Kama wewe ni msikilizaji mzuri na unayeweza kumsoma na kumwelewa mzungumzaji, tazama "body language" ya Mwinyi mara baada ya kauli ile ya Gwajima.
Dr Mwinyi hakuifurahia na ana sababu ya kutofurahia.
Ni kwa sababu mpaka sasa na pengine mpaka kesho, Dr Mwinyi anafanya kila juhudi kuwaunganisha na kuleta mwafaka miongoni mwa Wazanzibari baada ya majeraha ya uchaguzi wa wiki juzi.
Sasa anapotokea mtu "mjinga" tena ndani ya platform ya bunge na mbele yake Rais anatoa matamshi kama yale, bila shaka yanakuwa yanarudisha nyuma jitihada hizo na kutonesha majeraha ya Wazanzubari.
Kwa hiyo, kila kitu kiko inside the context. Wewe ndiye uliye nje ya muktadha. Rudi ndani tafadhali.!
Ahaaa kumbe Keissy na Ghasia walijichanganya wakamtamka TLLugha nyepesi imetumika na Askofu, Jina la Magufuli lilitosha kbs. Hii ni kutokana na utendaji thabiti wenye matokeo dhahiri yanayoonekana ambayo TL alikaza shingo kuyaita maendeleo ya VITU!
Sasa waliogombea kwa kutaja TL imekula kwao, lakini waliogombea kwa kumtaja mchapakazi Magu imelipa hivyo kampeni zilikuwa nyepesi sana.
Hivi kipi kigumu hapo kuelewa!
Usishangae Gwajima anaukwaa uwaziriNo, it's you who is " OUT OF CONTEXT"..
Ukitaka kuelewa kuwa uko nje ya muktadha, sikiliza hotuba zote kuanzia Rais wako Pombe, spika wako Ndugai na huyu mchungaji utagundua iko shida.
Mathalani, Gwajima anawafanyia "mockery" wazanzibari zaidi 90% walio kwenye msiba mkuu wa demokrasia ta nchi yao...
Anasema Dr Mwinyi Rais wa Zanzibar kuwa ni gwiji kwelikweli wa siasa kwa sababu amefanikiwa "...kuwageuza kichwa chini, miguu juu wapinzani wake."
Kama wewe ni msikilizaji mzuri na unayeweza kumsoma na kumwelewa mzungumzaji, tazama "body language" ya Mwinyi mara baada ya kauli ile ya Gwajima.
Dr Mwinyi hakuifurahia na ana sababu ya kutofurahia.
Ni kwa sababu mpaka sasa na pengine mpaka kesho, Dr Mwinyi anafanya kila juhudi kuwaunganisha na kuleta mwafaka miongoni mwa Wazanzibari baada ya majeraha ya uchaguzi wa wiki juzi.
Sasa anapotokea mtu "mjinga" tena ndani ya platform ya bunge na mbele yake Rais anatoa matamshi kama yale, bila shaka yanakuwa yanarudisha nyuma jitihada hizo na kutonesha majeraha ya Wazanzubari.
Kwa hiyo, kila kitu kiko inside the context. Wewe ndiye uliye nje ya muktadha. Rudi ndani tafadhali.