Mch. Msigwa: Nikihamia CCM, wananchi chomeni moto nyumba na magari yangu

Mch. Msigwa: Nikihamia CCM, wananchi chomeni moto nyumba na magari yangu

Vipi tukisikia umemuunga mkono lowasa tukakupime akili au?? Kubwa jinga hili
 
Mh.Peter Msigwa mbunge wa Iringa mjini(CHADEMA) amesema kuna watu wanampigiapigia simu na kutaka kumshawishi ahamie chama cha mapinduzi (CCM).

Amesema watu hao wanampigia simu na kumtishia kuwa ni bora achukue hela aweze kujianga na CCM maana 2020 yeye, halima, sugu, mnyika, na Lema hata wafanyeje wataondoka tu.

Amesema kuwa kwanza wanaompigia simu wakome kabisa hana bei na hawezi kuuza heshima aliyopewa na wananchi wa Iringa na wakirudia tena atawarecord ili aweze kusamabaza mitandaoni.

CCM ni kama mti wa mchrismas wanajaribu kupamba matunda yanaonekana yanang'aa kumbe ni artificial yanayopambwa na watu wachache waliokosa dira.

Uhalisia kama kweli CCM inafanya kazi au rais Magufuli anafanya kazi Aruhusu democracy ichukue mkondo wake, Aruhusu kukosolewa, Aruhusu haki za binadamu,Aruhusu utawala bora siyo hizi debe anazopigiwa na watu waliokosa dira na kutotambua nini maana ya democracy na utawala bora.

Wakuu,
Mie nadhani kamaanisha kutoa idea kwa raia kulipiza kisasi kwa yeyote atakaetufanyia usaliti huu atiwe adabu kama hivo alivyosema. Kwa kweli watu tumelala sana. Hawa wabinafsi wanaotenda matendo kama haya wanaoamua kutusaliti baada ya hatua tuliofikia wanastahili hayo aliyoyasema Msigwa! Na akitiwa adabu mmoja tu itakuwa funzo kwa wengine. Vyenginevyo tutalia lia bila ya msaada wowote na siku zote sisi tutakuwa watu wa kunyanyaswa na CCM na ma-opportunists wenzao!!
 
Mh.Peter Msigwa mbunge wa Iringa mjini(CHADEMA) amesema kuna watu wanampigiapigia simu na kutaka kumshawishi ahamie chama cha mapinduzi (CCM).

Amesema watu hao wanampigia simu na kumtishia kuwa ni bora achukue hela aweze kujianga na CCM maana 2020 yeye, halima, sugu, mnyika, na Lema hata wafanyeje wataondoka tu.

Amesema kuwa kwanza wanaompigia simu wakome kabisa hana bei na hawezi kuuza heshima aliyopewa na wananchi wa Iringa na wakirudia tena atawarecord ili aweze kusamabaza mitandaoni.

CCM ni kama mti wa mchrismas wanajaribu kupamba matunda yanaonekana yanang'aa kumbe ni artificial yanayopambwa na watu wachache waliokosa dira.

Uhalisia kama kweli CCM inafanya kazi au rais Magufuli anafanya kazi Aruhusu democracy ichukue mkondo wake, Aruhusu kukosolewa, Aruhusu haki za binadamu,Aruhusu utawala bora siyo hizi debe anazopigiwa na watu waliokosa dira na kutotambua nini maana ya democracy na utawala bora.
Alete ushahidi wa hao wanaompigia simu kama hana huku ndio tunaita kujitongozesha,sawa na mwananmke anayemtaka mwanaume fulani lakini huyo mwanaume asiwe na time nae utasikia huyo mwanamke akijinasibu kuwa ah yule mwanaume ananitaka lakini mimi simtaki wakati hata hajawahi hata kutakiwa.Msigwa hana umaarufu wowote wa kupigiwa simu na watu wa CCM kama simu basi anapigiwa na Nyalandu,lakini siku hizi waziri ni Kingangwala.
 
Wakuu,
Mie nadhani kamaanisha kutoa idea kwa raia kulipiza kisasi kwa yeyote atakaetufanyia usaliti huu atiwe adabu kama hivo alivyosema. Kwa kweli watu tumelala sana. Hawa wabinafsi wanaotenda matendo kama haya wanaoamua kutusaliti baada ya hatua tuliofikia wanastahili hayo aliyoyasema Msigwa! Na akitiwa adabu mmoja tu itakuwa funzo kwa wengine. Vyenginevyo tutalia lia bila ya msaada wowote na siku zote sisi tutakuwa watu wa kunyanyaswa na CCM na ma-opportunists wenzao!!
Nani Nyalandu?
 
Nani amekwambia CCM inachukuwa kila kilaza? Wewe hata ukilazimisha huwezi kuchukuliwa CCM, IQ yako haitoshi!
Kumbe inachukuaga kilaza ingawa si kila kilaza anachukuliwa na CCM.
 
Mh.Peter Msigwa mbunge wa Iringa mjini(CHADEMA) amesema kuna watu wanampigiapigia simu na kutaka kumshawishi ahamie chama cha mapinduzi (CCM).

Amesema watu hao wanampigia simu na kumtishia kuwa ni bora achukue hela aweze kujianga na CCM maana 2020 yeye, halima, sugu, mnyika, na Lema hata wafanyeje wataondoka tu.

Amesema kuwa kwanza wanaompigia simu wakome kabisa hana bei na hawezi kuuza heshima aliyopewa na wananchi wa Iringa na wakirudia tena atawarecord ili aweze kusamabaza mitandaoni.

CCM ni kama mti wa mchrismas wanajaribu kupamba matunda yanaonekana yanang'aa kumbe ni artificial yanayopambwa na watu wachache waliokosa dira.

Uhalisia kama kweli CCM inafanya kazi au rais Magufuli anafanya kazi Aruhusu democracy ichukue mkondo wake, Aruhusu kukosolewa, Aruhusu haki za binadamu,Aruhusu utawala bora siyo hizi debe anazopigiwa na watu waliokosa dira na kutotambua nini maana ya democracy na utawala bora.
Jamaa ni kigeugeu sana na ana siasa za kinafiki.
Si ndo huyu alikuwa anajiapiza kuhusu Lowassa kuwa wanaomsapoti kugombea urais ni machizi wapimwe akili???
Je si ndo huyu huyu aligeuka kauli yake mchana peupe kabla hata mwaka haujaisha??
Hawa ndo wanaoifuja chadema na kuwaona 'makamanda' mazuzu.
tapatalk_1469821199593.jpeg
 
Kauli za kijinga kabisa za wanasiasa sijui wametuona wananchi wapumbavu kama wao, unaanzaje kwenda kuchoma mali za mtu eti kisa kahamia ccm, ukiwekwa chini ya vyombo vya vya ulinzi na usalama utasema eti aliweka agano?
Kwani alizaliwa na bendera ya chadema? Alisomeshwa na Chadema tangu primary??
Aache ujinga afanye wajibu wake, mwisho wa siku mara paaap ndani ya ccm, unaanza kutafuta uongo kutetea ukweli. Mmeongea maneno kibao kuhusu Lowassa leo mmekuwa kama vitoto vya ndege.
 
Ahamie CCM Mara ngapi? Alipokuwa anachukua rushwa kwa Nyalandu alipokuwa waziri wa maliasili na utalii alishshamia CCM, alifanywa matakwa ya CCM, alikula Mali ya CCM na walimpa fedha za kumuwezesha kushinda ubunge.

Labda aseme kukihama CCM atafute kazi nyingine ya kufanya maaña CCM imebadili maajenti, Msigwa, Zitto na Mbowe wamepigwa chini
 
Huyo mwongo. Nimegundua wanasiasa wetu wote ni wachumia tumbo. Huyu Msigwa aliwahi kusema watanzania wapimwe akili kwa kumkubali Lowasa. Baadae kahamia Chadema na kaendelea kumsifu tu na kumnadi.
 
Msigwa wa Lazaro Nyalandu ama ni msigwa tofauti?
 
Msigwa,just piece of advice,

usitoe statement kama hizi..........

watu huwa wanafanyaga kwelii....

watu wa kawaida watachoma vitu vyako,udhanie ni adui zako kisiasa,

kuna watu mapsycho,huwa wanaafutaga tu reason ya kufanya jambo baya
nadhani kuna muda huwa anatania tu, unakumbuka kauli zake zile za kipindi kile?
 
Nani amekwambia CCM inachukuwa kila kilaza? Wewe hata ukilazimisha huwezi kuchukuliwa CCM, IQ yako haitoshi!
Hapana usiwe muongo na usiwatukane watanzania msingwa yuko smart sana kichwan tena nadhan humfikii hata kwa theluthi siasa zisikufanye upotoshe kila kitu tuwe wakweli tusilemazwe na siasa ikatijenga katika misingi ya uongo, ungesema tu ccm haina mpango wa kumnunua msigwa inghetosha kumuita msigwa kilaza hata wana ccm wenzio watakushangaa.
 
Back
Top Bottom