Mch. Msigwa: Nikihamia CCM, wananchi chomeni moto nyumba na magari yangu

Mch. Msigwa: Nikihamia CCM, wananchi chomeni moto nyumba na magari yangu

Nani amekwambia CCM inachukuwa kila kilaza? Wewe hata ukilazimisha huwezi kuchukuliwa CCM, IQ yako haitoshi!
Kwa akili yako kati ya Msigwa na yule aliyejirekodi anachezea nyeti za giggy money na kuzirusha mitandaoni nani kilaza? Kama mmempokea mchezea nyeti hadharani na kumwalika kwenye mkutano mkuu ahutubie itakuwaje Msigwa akihamia? Kaeni na huyo Msando ndo wewe umeona ana akili kuzidi Msigwa pumbafff wewe.
 
Mbunge wa Iringa Mjini aliwahi kusema mtu yeyote anayemshabikia Lowassa akapimwe akili. Leo tena anasema aklihama Chadema achomewe Nyumba na Gari.
Kabla hatujamchomea Mali zake atuambie alishapima akili?
 
Mbunge wa Iringa Mjini aliwahi kusema mtu yeyote anayemshabikia Lowassa akapimwe akili. Leo tena anasema aklihama Chadema achomewe Nyumba na Gari.
Kabla hatujamchomea Mali zake atuambie alishapima akili?

Amakweli lowasa anapendwa sana hapa Tanzania kila siku lazima atajwe tu, mbona mafisadi wako wengi ila lowasa ndio yupo kwenye vinywa vya watu kila siku utadhani ufisadi wake ulifanya Tanzania ikose chakula
 
Atimize kwanza lile la kupimwa akili kwa wale wanaomuunga mkono lowasa
 
Mh.Peter Msigwa mbunge wa Iringa mjini(CHADEMA) amesema kuna watu wanampigiapigia simu na kutaka kumshawishi ahamie chama cha mapinduzi (CCM).

Amesema watu hao wanampigia simu na kumtishia kuwa ni bora achukue hela aweze kujianga na CCM maana 2020 yeye, halima, sugu, mnyika, na Lema hata wafanyeje wataondoka tu.

Amesema kuwa kwanza wanaompigia simu wakome kabisa hana bei na hawezi kuuza heshima aliyopewa na wananchi wa Iringa na wakirudia tena atawarecord ili aweze kusamabaza mitandaoni.

CCM ni kama mti wa mchrismas wanajaribu kupamba matunda yanaonekana yanang'aa kumbe ni artificial yanayopambwa na watu wachache waliokosa dira.

Uhalisia kama kweli CCM inafanya kazi au rais Magufuli anafanya kazi Aruhusu democracy ichukue mkondo wake, Aruhusu kukosolewa, Aruhusu haki za binadamu,Aruhusu utawala bora siyo hizi debe anazopigiwa na watu waliokosa dira na kutotambua nini maana ya democracy na utawala bora.
Bora wamchome yeye, magari na nyumba wazichome moto kwani ndiyo zimemtuma
 
Bora huyu Kasuku kasema akihamia Ccm akiwa na maana anaweza anzisha Chama chake akizinguliwa Chadema.


Mwambieni yule aliyeaapa akihama Chadema wachome nyumba zake aombe Mungu awe pamoja naye.
 
Kwa akili yako kati ya Msigwa na yule aliyejirekodi anachezea nyeti za giggy money na kuzirusha mitandaoni nani kilaza? Kama mmempokea mchezea nyeti hadharani na kumwalika kwenye mkutano mkuu ahutubie itakuwaje Msigwa akihamia? Kaeni na huyo Msando ndo wewe umeona ana akili kuzidi Msigwa pumbafff wewe.


Mkuu wenye Chama wanakucheka tu.

Gizani inafahamika Msando ni Chadema.

Muda utaongea mission ikiwa clear ila ajihadhari mtaka vyote.??
 
Back
Top Bottom