Mch. Msigwa: Nikihamia CCM, wananchi chomeni moto nyumba na magari yangu

Mch. Msigwa: Nikihamia CCM, wananchi chomeni moto nyumba na magari yangu

Attachments

  • C5436F3A-3547-4A38-BEC0-3AEF72F7E0B6.jpeg
    C5436F3A-3547-4A38-BEC0-3AEF72F7E0B6.jpeg
    146.6 KB · Views: 4
  • 554C5EC0-928F-4B17-9DAB-17DDBB13FC4F.jpeg
    554C5EC0-928F-4B17-9DAB-17DDBB13FC4F.jpeg
    60.6 KB · Views: 3
  • D6694502-57AA-4005-95A6-F122EF2DDDEA.jpeg
    D6694502-57AA-4005-95A6-F122EF2DDDEA.jpeg
    48.6 KB · Views: 4
Desemba 17, 2017


Mh. Peter Msigwa mbunge wa Iringa mjini(CHADEMA) amesema kuna watu wanampigiapigia simu na kutaka kumshawishi ahamie chama cha mapinduzi (CCM).

Amesema watu hao wanampigia simu na kumtishia kuwa ni bora achukue hela aweze kujianga na CCM maana 2020 yeye, halima, sugu, mnyika, na Lema hata wafanyeje wataondoka tu.

Amesema kuwa kwanza wanaompigia simu wakome kabisa hana bei na hawezi kuuza heshima aliyopewa na wananchi wa Iringa na wakirudia tena atawarecord ili aweze kusamabaza mitandaoni.

CCM ni kama mti wa mchrismas wanajaribu kupamba matunda yanaonekana yanang'aa kumbe ni artificial yanayopambwa na watu wachache waliokosa dira.

Uhalisia kama kweli CCM inafanya kazi au rais Magufuli anafanya kazi Aruhusu democracy ichukue mkondo wake, Aruhusu kukosolewa, Aruhusu haki za binadamu,Aruhusu utawala bora siyo hizi debe anazopigiwa na watu waliokosa dira na kutotambua nini maana ya democracy na utawala bora.

“Nikihamia CCM wananchi wa Iringa wachome nyumba yangu na magari yangu. Sikuingia bungeni kwa sababu nataka hela ila nimeingia kwa sababu kuna hoja, kuna agenda na kozi kama chama tunapigania. Mkome kabisa kunipigia simu, mimi sina bei itakayonihamisha CHADEMA,” amesema Msigwa huku akifafanua jinsi watu hao walivyoanza kumrubuni kwa njia ya simu.

“Walianza kunipigia kwa kujifanya marafiki zangu na baadae wakaanza kunipanga na kunirubuni kwamba Mzee ananikubali na wala hana shida na mimi hivyo nikiingia CCM nitapata nafasi, nimewakemea na nimeonya wasinipie simu na sasa hivi wameacha ila naahidi wakinipia tena nitawarekodi niwaanike hadharani” I am not that ‘cheap’ wakatafute wengine.” amesema Msigwa.

Kauli hiyo ya Mhe. Msigwa inakuja ikiwa ni siku chache zimepita tangu aliyekuwa Mbunge wa jimbo Siha, Dkt Godwin Aloyce Mollel (CHADEMA) kujiuzulu nafasi yake na kuhamia CCM.

====

Pia soma: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Chadema msihangaike na huyu kalipwa hela nyingi kuliko kipindi alichokuwa anajidai hawezi kuhamia CCM na kwamba eti endapo angehamia nyumba yake na magari yake yote yachomwe moto.


Tahadhari: Zikianza harakati za uchaguzi ajiandae kisaikoloji inawezekana kabisa mali zake zikachomwa na wananchi.

Msigwa hana 'madhara yoyote kuondoka CDM cha zaidi ameenda kujidhalilisha zaidi na hatainuka kamwe tena kisiasa.

Kalipwa pesa nyingi: Shahidi ni Musukuma na Makala.

Yaani kushindwa uchaguzi wa ndani unalalamika halafu suluhisho ni kuhama?

Anamtishia nani?


Huko alikoenda atakachofanyiwa atajuta milele
 
Utashangaa wananchi wakichoma nyumba yake na gari anaenda mahakamani.
 
Ukiwa na njaa usiwaponde walioshika mpini,kama hauna njaa waponde tu.....Mwafrika na njaa ni kama simu na betri
 
Desemba 17, 2017


Mh. Peter Msigwa mbunge wa Iringa mjini(CHADEMA) amesema kuna watu wanampigiapigia simu na kutaka kumshawishi ahamie chama cha mapinduzi (CCM).

Amesema watu hao wanampigia simu na kumtishia kuwa ni bora achukue hela aweze kujianga na CCM maana 2020 yeye, halima, sugu, mnyika, na Lema hata wafanyeje wataondoka tu.

Amesema kuwa kwanza wanaompigia simu wakome kabisa hana bei na hawezi kuuza heshima aliyopewa na wananchi wa Iringa na wakirudia tena atawarecord ili aweze kusamabaza mitandaoni.

CCM ni kama mti wa mchrismas wanajaribu kupamba matunda yanaonekana yanang'aa kumbe ni artificial yanayopambwa na watu wachache waliokosa dira.

Uhalisia kama kweli CCM inafanya kazi au rais Magufuli anafanya kazi Aruhusu democracy ichukue mkondo wake, Aruhusu kukosolewa, Aruhusu haki za binadamu,Aruhusu utawala bora siyo hizi debe anazopigiwa na watu waliokosa dira na kutotambua nini maana ya democracy na utawala bora.

“Nikihamia CCM wananchi wa Iringa wachome nyumba yangu na magari yangu. Sikuingia bungeni kwa sababu nataka hela ila nimeingia kwa sababu kuna hoja, kuna agenda na kozi kama chama tunapigania. Mkome kabisa kunipigia simu, mimi sina bei itakayonihamisha CHADEMA,” amesema Msigwa huku akifafanua jinsi watu hao walivyoanza kumrubuni kwa njia ya simu.

“Walianza kunipigia kwa kujifanya marafiki zangu na baadae wakaanza kunipanga na kunirubuni kwamba Mzee ananikubali na wala hana shida na mimi hivyo nikiingia CCM nitapata nafasi, nimewakemea na nimeonya wasinipie simu na sasa hivi wameacha ila naahidi wakinipia tena nitawarekodi niwaanike hadharani” I am not that ‘cheap’ wakatafute wengine.” amesema Msigwa.

Kauli hiyo ya Mhe. Msigwa inakuja ikiwa ni siku chache zimepita tangu aliyekuwa Mbunge wa jimbo Siha, Dkt Godwin Aloyce Mollel (CHADEMA) kujiuzulu nafasi yake na kuhamia CCM.

====

Pia soma: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Siasa ni utapeli na uchungaji ni utapeli.
Huyo mwamba ni tapeli square!
 
Desemba 17, 2017


Mh. Peter Msigwa mbunge wa Iringa mjini(CHADEMA) amesema kuna watu wanampigiapigia simu na kutaka kumshawishi ahamie chama cha mapinduzi (CCM).

Amesema watu hao wanampigia simu na kumtishia kuwa ni bora achukue hela aweze kujianga na CCM maana 2020 yeye, halima, sugu, mnyika, na Lema hata wafanyeje wataondoka tu.

Amesema kuwa kwanza wanaompigia simu wakome kabisa hana bei na hawezi kuuza heshima aliyopewa na wananchi wa Iringa na wakirudia tena atawarecord ili aweze kusamabaza mitandaoni.

CCM ni kama mti wa mchrismas wanajaribu kupamba matunda yanaonekana yanang'aa kumbe ni artificial yanayopambwa na watu wachache waliokosa dira.

Uhalisia kama kweli CCM inafanya kazi au rais Magufuli anafanya kazi Aruhusu democracy ichukue mkondo wake, Aruhusu kukosolewa, Aruhusu haki za binadamu,Aruhusu utawala bora siyo hizi debe anazopigiwa na watu waliokosa dira na kutotambua nini maana ya democracy na utawala bora.

“Nikihamia CCM wananchi wa Iringa wachome nyumba yangu na magari yangu. Sikuingia bungeni kwa sababu nataka hela ila nimeingia kwa sababu kuna hoja, kuna agenda na kozi kama chama tunapigania. Mkome kabisa kunipigia simu, mimi sina bei itakayonihamisha CHADEMA,” amesema Msigwa huku akifafanua jinsi watu hao walivyoanza kumrubuni kwa njia ya simu.

“Walianza kunipigia kwa kujifanya marafiki zangu na baadae wakaanza kunipanga na kunirubuni kwamba Mzee ananikubali na wala hana shida na mimi hivyo nikiingia CCM nitapata nafasi, nimewakemea na nimeonya wasinipie simu na sasa hivi wameacha ila naahidi wakinipia tena nitawarekodi niwaanike hadharani” I am not that ‘cheap’ wakatafute wengine.” amesema Msigwa.

Kauli hiyo ya Mhe. Msigwa inakuja ikiwa ni siku chache zimepita tangu aliyekuwa Mbunge wa jimbo Siha, Dkt Godwin Aloyce Mollel (CHADEMA) kujiuzulu nafasi yake na kuhamia CCM.

====

Pia soma: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
alisema Leo na akasisitiza Leo, 2017 sio Leo miaka 7 imepita mngamuuliza tena.!
 
Desemba 17, 2017


Mh. Peter Msigwa mbunge wa Iringa mjini(CHADEMA) amesema kuna watu wanampigiapigia simu na kutaka kumshawishi ahamie chama cha mapinduzi (CCM).

Amesema watu hao wanampigia simu na kumtishia kuwa ni bora achukue hela aweze kujianga na CCM maana 2020 yeye, halima, sugu, mnyika, na Lema hata wafanyeje wataondoka tu.

Amesema kuwa kwanza wanaompigia simu wakome kabisa hana bei na hawezi kuuza heshima aliyopewa na wananchi wa Iringa na wakirudia tena atawarecord ili aweze kusamabaza mitandaoni.

CCM ni kama mti wa mchrismas wanajaribu kupamba matunda yanaonekana yanang'aa kumbe ni artificial yanayopambwa na watu wachache waliokosa dira.

Uhalisia kama kweli CCM inafanya kazi au rais Magufuli anafanya kazi Aruhusu democracy ichukue mkondo wake, Aruhusu kukosolewa, Aruhusu haki za binadamu,Aruhusu utawala bora siyo hizi debe anazopigiwa na watu waliokosa dira na kutotambua nini maana ya democracy na utawala bora.

“Nikihamia CCM wananchi wa Iringa wachome nyumba yangu na magari yangu. Sikuingia bungeni kwa sababu nataka hela ila nimeingia kwa sababu kuna hoja, kuna agenda na kozi kama chama tunapigania. Mkome kabisa kunipigia simu, mimi sina bei itakayonihamisha CHADEMA,” amesema Msigwa huku akifafanua jinsi watu hao walivyoanza kumrubuni kwa njia ya simu.

“Walianza kunipigia kwa kujifanya marafiki zangu na baadae wakaanza kunipanga na kunirubuni kwamba Mzee ananikubali na wala hana shida na mimi hivyo nikiingia CCM nitapata nafasi, nimewakemea na nimeonya wasinipie simu na sasa hivi wameacha ila naahidi wakinipia tena nitawarekodi niwaanike hadharani” I am not that ‘cheap’ wakatafute wengine.” amesema Msigwa.

Kauli hiyo ya Mhe. Msigwa inakuja ikiwa ni siku chache zimepita tangu aliyekuwa Mbunge wa jimbo Siha, Dkt Godwin Aloyce Mollel (CHADEMA) kujiuzulu nafasi yake na kuhamia CCM.

====

Pia soma: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Generation Z, iliwahi kusema, ogopa Mungu na tekinolojia,
 
Back
Top Bottom