Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Baada ya purukushani za uchaguzi ndani ya chadema Mchungaji Msigwa kaingia zake CCM. Ila tukumbuke 2017 Msigwa alisema akihamia CCM siku yoyote nyumba na magari yake yachomwe moto.
Vipi huko mmeshaenda kuchoma?
Vipi huko mmeshaenda kuchoma?