Mch. Peter Msigwa: Hayati Magufuli ametufundisha tujue tabia za watu wengi

Magufuli asingecheza na uchaguzi 2020 mpaka kukosa wabunge wa upinzani kabisha, mziki wa katiba mpya usingevuma kama unavyovuma.

Itoshe kusema Magufuli ametuamsha usingizini.
Katiba mpya ni kwa ajili yetu
 
Magufuli asingecheza na uchaguzi 2020 mpaka kukosa wabunge wa upinzani kabisa, mziki wa katiba mpya usingevuma kama unavyovuma.

Itoshe kusema Magufuli ametuamsha usingizini.
Kwani dada sisi wapinzani tunahitaji wabunge tu?
 
yule baba kwa nje alionekana chuma kumbe ndani alikuwa amebakiza figo moja tu

Akina Lema waliokuwa na taarifa za afya yake kila siku walikuwa wakimtabiria mauti kwani walijua hatoboi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…