BUSH BIN LADEN JF-Expert Member Joined Mar 16, 2019 Posts 8,447 Reaction score 19,425 Dec 23, 2021 #21 Kama Lowasa na Ukawa
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Dec 23, 2021 #22 Hakika...
kmbwembwe JF-Expert Member Joined Aug 16, 2012 Posts 10,892 Reaction score 7,780 Dec 27, 2021 #23 sambulugu said: Kwa hiyo akisema kumshukuru Magufuli kwako wewe unaumia? Mawazo yako hayo ya kipimbi tunataka kila mtu awe mayo? Click to expand... Kumshukuru gani magufuli wakati mnafiki tu. Kama kumshukuru angemshukuru kwa kumlipia fine asifungwe jela. Nisisahau.. Pimbi mwenyewe.
sambulugu said: Kwa hiyo akisema kumshukuru Magufuli kwako wewe unaumia? Mawazo yako hayo ya kipimbi tunataka kila mtu awe mayo? Click to expand... Kumshukuru gani magufuli wakati mnafiki tu. Kama kumshukuru angemshukuru kwa kumlipia fine asifungwe jela. Nisisahau.. Pimbi mwenyewe.
UmkhontoweSizwe Platinum Member Joined Dec 19, 2008 Posts 9,454 Reaction score 8,894 Dec 27, 2021 #24 Kweli kabisa, bila Magufuli kusimamia vizuri raslimali zetu tusingejua kuwa #dishlimetilt ni kibaraka wa mabeberu, angeendelea kujificha kwenye kichaka cha uwakili bila kujulikana rangi zake halisi.
Kweli kabisa, bila Magufuli kusimamia vizuri raslimali zetu tusingejua kuwa #dishlimetilt ni kibaraka wa mabeberu, angeendelea kujificha kwenye kichaka cha uwakili bila kujulikana rangi zake halisi.