Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zito anawashushua ccm hapa kuhusu lami. Kajipanga kweli. Kasema iweje serikali isubiri zito awe mbunge ndipo wajenge lami. Walikuwa wapi tangu uhuru??!!
Mchakato ndio huo uko hewani, Zitto anafunika bovu, japo nahisi amewahamashisha mashabiki wake hivyo wamejaa kibao na kumshangilia kimpira mpira ile ya Ziitooo!..Ziitooo! Ziitooo! kelele kibao.
namsaidia kujibuMkuu nina maswali mawili juu yako:-
1. Ni kweli unampango wa kugombea urais mwaka 2015?
2. Vipi mbona haufanyi kampeni za Mgombea urais wa Chadema Dr Slaa?
3. Ni kweli kuwa wewe na Dr Slaa hampikiki chungu kimoja (hamuivi)
Asante.
BNN
namsaidia kujibu
1.hana mpango wa kugombea urais 2015 kwa sababu atakuwa hajatimiza kigezo cha umri
2.anafanya kampeni za chadema, alikuwa kibaha, lindi, mtwara
3.si kweli