kimbomba25
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 1,160
- 2,117
Wangekuwa wanapata kipato kizuri hivi wangebadili maisha yao.Bodaboda hakosi elfu 30 Kwa siku Kwa mwezi laki 9
Na huyo boda yupo Dar anakunywa Pepsi ya baridi, mwalimu umepangiwa machakani Tandahimba unakunywa togwa
Kwa namba uliyoandika hapa, wala hakuna shida.Kwa hiyo kada zingine wanaofanya mtihani? Hivi utawapaje ajira walimu 200 kati ya walimu 2000 bila usahili?
Mkuu embu shauri ni mbinu gani itumike kuchuja watu 30,000 wenye sifa sawa ili kupata watu 2,000 tofauti na hii wanayotumia PSRS.Kwa namba uliyoandika hapa, wala hakuna shida.
Tatizo ni kufanyisha usaili watu 25,000+ kwa ajili ya kupata watu 200.
Kuendesha zoezi hili nchi nzima ni kutumia kodi zetu vibaya.
Na, pia, kulitakiwa kuwe na mfumo unaochuja candidates ili kupata orodha fupi ambao ndiyo watafanyiwa usaili.
Kati ya watu 30,000 wanaotaka ajira nchi nzima ilhali wewe unahitaji watu 300, punguza hadi wafike 2,000.
Simple tu.
Huwa wanatumia mbinu gani kupata short lists za candidates wa kada nyingine?Mkuu embu shauri ni mbinu gani itumike kuchuja watu 30,000 wenye sifa sawa ili kupata watu 2,000 tofauti na hii wanayotumia PSRS.
Hawa jamaa ni miongoni mwa taasisi chache Tanzania ambazo zinaongozwa kwa weledi na utashi nawakubali sanaSaili za utumishi wewe huzijui kwa sababu yamkini wewe ni mwalimu au ni mgeni kabisa! Lakini utumishi toka ianzishwe imewafanya vijana wengi kuajirika sehemu ambazo zililikuwa hazifkiki kwa watoto masikini! Kwa hiyo hoja zako hazina mashiko kabisa! Maana wasio na ajira muda mrefu sio walimu peke yake kumekuwepo na kada zingine hawajaajiriwa toka miaka ya nyuma na wapo wengi sana! Umewahi kuona utumishi wanatangaza kazi kwa kulimit miaka ya kumaliza chuo????kwa uzoefu wangu waliomaliza miaka ya nyuma ndio wengi wanapata kazi utumishi sio kwa sababu ya upendeleo ila ni kwa sababu wana uzoefu na kazi hivyo maswali mengi wanayafaulu kwa sababu maswali yanaulizwa ya kada husika!
Kwa hiyo hoja yako kuwa wangekatia waliomaliza mwisho 2018 alafu wawashindanishe haina mashiko maana hata ukichukua wajinga 1000 ukawafanyia usaili lazima yupo atakayeongoza tu! Mimi nilidhani mtu aliyemaliza miaka ya nyuma ana chance kubwa ya kufaulu usaili kwa sababu ana uzoefu na kazi lakini pia hata kujieleza ni tofauti na mtu aliyemaliza mwaka jana!
Hoja yako kuwa wengine wanafanya usaili wa kuandika na wengine usaili wa mahojiano haina mqshiko, kwanza unaonekana wewe ni mbinafsi na una wivu sana, na inaonekana hujui lengo la mithani ya utumishi! Lengo la mithani ya utumishi ni kutafuta watu sahihi miongoñi mwa wengi!
Kazi ya usaili wa mchujo ni kuchuja watu wabaki wachache hivyo hata wakikatia 90% hawana lawama na hamna sheria inayowakataza kukatia hapo maana ni mchujo!
Kuna kada wanahitajika watu 5 wanaomba watu 10 wewe unahisi kuna haja ya kuwa na mthani wa mchujo au written?????? Lakini wanahitajika watu 5 wanaomba watu 1000 plus utawapataje sasa hao watano lazima utumie hizo njia zote! Mchujo, prct nk ili ubaki na wachache ili uhojiane nao! Hiyo application ipo pia kwenye topic za geography walimu mlitufundisha alafu nyie wenyewe hamtaki kufanyiwa!
Tuache malalamiko yasiyo na maana mtoto wako anaposoma mwambie asome kozi ambazo hazina ushindani mkubwa sokoni! Haiwezekani mwalimu kakomaa na madynamic na principle za newton unataka ulingane naye wewe uliyesoma mambo ya ngoswe na mìchomekeo kibao! Tuache utane
Jinsi unavyosoma kozi ngumu na yenye watu wachache hata kwenye usaili ipo hivyo hivyo! Kuna kada wasailiwa wanaitwa watano na wanahitajika 4 hadi raha sana!
Kozi yangu iliyonipa ajirà, walikuwa wanahitajika watu wawili na tulioitwa usaìli tulikuwa watano tuliofika siku ya usaili tulikuwa 4! Wakati pembeni unaona kada nyingine wanahitajika 2 walioitwa usaili 200+ wewe unafikiri kosa la nani hapo???
Tuwe wazalendo! Utumishi wapo fair 100%
Kabisa mkuu. Haya Ma CCM yanaroho mbaya balaa. Halafu yanaomba ridhaa ya kuongoza nchi Kwa mara nyingine. Nakwambia tofauti na wao wanufaika wa huu mfumo wa ulaghai na wa kidharimu, hakuna atakaempigia kura mgombea wa CCM.Saili ya geo maswali mengi yalikuwa ya kukariri na sio kuelewa tofauti na wale wa diploma wao ulikuwa unaeleweka, nadhani serikali haitaki watu walomaliza zamani tuangalie tu shughuli nyingine za kufanya, hapa nichome tu kadi zao za ccm niingie rasmi chadema niwe mpiga kampeni huko
Mkuu nakuja inboxTupo Ngara Kagera Karibu
Kwahiyo unatoa ushauri wa kitu usichojua?Huwa wanatumia mbinu gani kupata short lists za candidates wa kada nyingine?
Wewe, maHR na hiyo sektetarieti mnazijua mbinu hivyo mimi sina haja ya kuwapa ushauri.Kwahiyo unatoa ushauri wa kitu usichojua?
Mbinu wanayotumia jamaa ni kuwafanyisha usaili wa mchujo waombaji wote waliokidhi vigezo vya kazi husika wanaofaulu ndio wanaenda kwenye Usaili wa mahojiano kwa uwiano wa 3:1.
Sasa wenzentu mnaopinga mnaombwa mtoe mbinu mbadara ambayo itakuwa fair zaidi sio kuishia kukosoa bila kutoa solution.
Umekomaa sana kusema machakan Tandahimba,hvi ushawah kufika Tandahimba huko unakokuita machakani?Bodaboda hakosi elfu 30 Kwa siku Kwa mwezi laki 9
Na huyo boda yupo Dar anakunywa Pepsi ya baridi, mwalimu umepangiwa machakani Tandahimba unakunywa togwa
We nae ccm Ina Wanachama wengi sana usipo piga kula wewe mwingine ata piga ccm dude Moja kubwa sana mizizi yake ipo chini sanaKabisa mkuu. Haya Ma CCM yanaroho mbaya balaa. Halafu yanaomba ridhaa ya kuongoza nchi Kwa mara nyingine. Nakwambia tofauti na wao wanufaika wa huu mfumo wa ulaghai na wa kidharimu, hakuna atakaempigia kura mgombea wa CCM.
sasa mkuu kama hujasoma guidance and counseling umekuwaje mwalimu?.Nakubaliana na wewe na hivyo vyote ninavyo issue ni kuwa utumishi wanatakiwa wakupe mtihani kulingana na course msailiwa alizosoma
Sio fair kumuuliza msailiwa course ambazo hajasoma either subject content au core courses hasa za psychology
Mfano geogaraphy wametoa course ya guidance and councelling tena kwa ku cite na maswali kama according to Elton's theory... ambayo unahitajika kukariri argument za huyo philosopher huku hiyo course si wote wa education tunachukua hasa wa BAED. Watu wa Udom ndio huwa wanasoma iyo course
Sasa tukisema haya kuna kunguni himu kisa anaeyasema haya ni mwalimu na wameshazoea kuburuzwa na utumishi kila kitu wanapinga na kukashifu
sasa mkuu hata weww ungepewa ufanye hilo zoezi ungefanyaje tofauti na kuwafanyia waombaji usaili.Kwa namba uliyoandika hapa, wala hakuna shida.
Tatizo ni kufanyisha usaili watu 25,000+ kwa ajili ya kupata watu 200.
Kuendesha zoezi hili nchi nzima ni kutumia kodi zetu vibaya.
Na, pia, kulitakiwa kuwe na mfumo unaochuja candidates ili kupata orodha fupi ambao ndiyo watafanyiwa usaili.
Kati ya watu 30,000 wanaotaka ajira nchi nzima ilhali wewe unahitaji watu 300, punguza hadi wafike 2,000.
Simple tu.