Mchakato wa kuimega rasmi ardhi ya Donbass ndani ya Ukraine kuanza tarehe 23 na 27 september

Mchakato wa kuimega rasmi ardhi ya Donbass ndani ya Ukraine kuanza tarehe 23 na 27 september

ngajapo

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2012
Posts
1,782
Reaction score
3,525
Mzee baba Putin alitumia nguvu ya kutosha kuhakikisha kwamba analifagilia mbali kabisa jeshi la Ukraine kwenye ardhi ya Donbass na kherson akilenga kuwasaidia raia wanaoishi maeneo hayo ambao wengi wao ni wa asili ya Kirusi.. baada ya kufanikisha hilo hakutaka tena kuendele kutumia nguvu nyingi.. na amerudisha majeshi yake nyuma kulinda mipaka ya maeneo hayo...kwa sasa kilicho amliwa na watu wa Donbass na kherson ni kupiga kura ya maoni ya kujiunga na urusi haraka iwezekanavyo ili wapate kinga ya kudumu kutoka jeshi la Urusi..(tena sio mbali ni ndani ya siku nne zijazo tarehe 23 na 27 Septemba)...baada ya kuungana hii itakuwa na maana kwamba endapo Ukraine na washirika wake wakiivamia Donbass na kherson basi watakuwa wameivamia Jamhuri ya Urusi..

Russia itakuwa ni rahisi sana kutangaza vita vya kuvamiwa kwa taifa lake ili iwe rahisi kuwa mobilize raia wake hatimaye wakubaliane na maamuzi ya serikari ya kutangaza vita dhidi ya uvamizi...kumbuka Urusi alikuwa anafanya operesheni tu na sio Vita....
wengi wanafikiri counteroffensive itaisaidia Ukraine kurudisha majimbo yake kirahisi lakini kwa mitazamo ya sisi warusi wa Manzese( wavaa kobazi) tunomjua vizuri mzee baba the Putin tunawakumbusha wa magharibi wazee wa upinde wa kwa mtogole kuwa hilo wasahau kabisa ardhi ya Donbass imeshapotea hivyo...

NB: Kura ya maoni itafanyika kuanzia tarehe 23 hadi 27 Septemba, kulingana na viongozi wa LPR na DPR

source RT:

Donbass republics reveal date of vote to join Russia

The referendum will take place from 23 to 27 September, according to LPR and DPR leaders

Referendums to join the Russian Federation will be held in the Lugansk and Donetsk People’s Republics (LPR and DPR) from September 23 to 27, the leaders of the states announced on Tuesday.

LPR head Leonid Pasechnik was the first to sign a law on “holding a public referendum in the republic on the inclusion of the region into the Russian Federation,” after its parliament unanimously supported the move and set a date for the vote.

The LPR’s decision was soon followed by DPR leader Denis Pushilin, who declared that his state would also be holding a similar referendum on the same date. Pushilin said he had already introduced the relevant legislation in the DPR’s parliament.

Russia recognised the two territories as independent in February, but most of the world still regards them as part of Ukraine. However, Kiev lost de facto control of both in 2014, when the local populations rejected the outcome of the Western-backed Maidan coup.

In a letter addressed to the Russian President Vladimir Putin, Pushilin urged the latter to consider incorporating the DPR in the territory of the Russian Federation if people approve the unification during the plebiscite.

“The long-suffering people of Donbass deserve to be part of the Great Country, which they have always considered their Motherland. This event will be the restoration of historical justice, the onset of which millions of Russian people crave,” he wrote.

The announcement of the referendum comes after the civic chamber of the LPR urged republic’s leaders on Monday to “immediately” hold a vote on joining Russia, stating that it was important to expedite the process and hold a vote as soon as possible.

“The events of recent days have shown that the Kiev nationalists have crossed all the red lines,” said the deputy head of the chamber, Lina Vokalova, pointing to the relentless shelling of the LPR’s civilian population.
 
Mzee baba Putin alitumia nguvu ya kutosha kuhakikisha kwamba analifagilia mbali kabisa jeshi la Ukraine kwenye ardhi ya Donbass na kherson akilenga kuwasaidia raia wanaoishi maeneo hayo ambao wengi wao ni wa asili ya Kirusi.. baada ya kufanikisha hilo hakutaka tena kuendele kutumia nguvu nyingi.. na amerudisha majeshi yake nyuma kulinda mipaka ya maeneo hayo...kwa sasa kilicho amliwa na watu wa Donbass na kherson ni kupiga kura ya maoni ya kujiunga na urusi haraka iwezekanavyo ili wapate kinga ya kudumu kutoka jeshi la Urusi..(tena sio mbali ni ndani ya siku nne zijazo tarehe 23 na 27 Septemba)...baada ya kuungana hii itakuwa na maana kwamba endapo Ukraine na washirika wake wakiivamia Donbass na kherson basi watakuwa wameivamia Jamhuri ya Urusi..

Russia itakuwa ni rahisi sana kutangaza vita vya kuvamiwa kwa taifa lake ili iwe rahisi kuwa mobilize raia wake hatimaye wakubaliane na maamuzi ya serikari ya kutangaza vita dhidi ya uvamizi...kumbuka Urusi alikuwa anafanya operesheni tu na sio Vita....
wengi wanafikiri counteroffensive itaisaidia Ukraine kurudisha majimbo yake kirahisi lakini kwa mitazamo ya sisi warusi wa Manzese( wavaa kobazi) tunomjua vizuri mzee baba the Putin tunawakumbusha wa magharibi wazee wa upinde wa kwa mtogole kuwa hilo wasahau kabisa ardhi ya Donbass imeshapotea hivyo...

NB: Kura ya maoni itafanyika kuanzia tarehe 23 hadi 27 Septemba, kulingana na viongozi wa LPR na DPR

source RT:

Donbass republics reveal date of vote to join Russia

The referendum will take place from 23 to 27 September, according to LPR and DPR leaders

Referendums to join the Russian Federation will be held in the Lugansk and Donetsk People’s Republics (LPR and DPR) from September 23 to 27, the leaders of the states announced on Tuesday.

LPR head Leonid Pasechnik was the first to sign a law on “holding a public referendum in the republic on the inclusion of the region into the Russian Federation,” after its parliament unanimously supported the move and set a date for the vote.

The LPR’s decision was soon followed by DPR leader Denis Pushilin, who declared that his state would also be holding a similar referendum on the same date. Pushilin said he had already introduced the relevant legislation in the DPR’s parliament.

Russia recognised the two territories as independent in February, but most of the world still regards them as part of Ukraine. However, Kiev lost de facto control of both in 2014, when the local populations rejected the outcome of the Western-backed Maidan coup.

In a letter addressed to the Russian President Vladimir Putin, Pushilin urged the latter to consider incorporating the DPR in the territory of the Russian Federation if people approve the unification during the plebiscite.

“The long-suffering people of Donbass deserve to be part of the Great Country, which they have always considered their Motherland. This event will be the restoration of historical justice, the onset of which millions of Russian people crave,” he wrote.

The announcement of the referendum comes after the civic chamber of the LPR urged republic’s leaders on Monday to “immediately” hold a vote on joining Russia, stating that it was important to expedite the process and hold a vote as soon as possible.

“The events of recent days have shown that the Kiev nationalists have crossed all the red lines,” said the deputy head of the chamber, Lina Vokalova, pointing to the relentless shelling of the LPR’s civilian population.
Putin mwezi wa pili alideclare kwamba hizo ni nchi huru na akaweka sign kituko kingine anataka Tena wananchi wapige kura hiki ni kituko kingine mbona Putin anakosa kujiamini
 
Mzee baba Putin alitumia nguvu ya kutosha kuhakikisha kwamba analifagilia mbali kabisa jeshi la Ukraine kwenye ardhi ya Donbass na kherson akilenga kuwasaidia raia wanaoishi maeneo hayo ambao wengi wao ni wa asili ya Kirusi.. baada ya kufanikisha hilo hakutaka tena kuendele kutumia nguvu nyingi.. na amerudisha majeshi yake nyuma kulinda mipaka ya maeneo hayo...kwa sasa kilicho amliwa na watu wa Donbass na kherson ni kupiga kura ya maoni ya kujiunga na urusi haraka iwezekanavyo ili wapate kinga ya kudumu kutoka jeshi la Urusi..(tena sio mbali ni ndani ya siku nne zijazo tarehe 23 na 27 Septemba)...baada ya kuungana hii itakuwa na maana kwamba endapo Ukraine na washirika wake wakiivamia Donbass na kherson basi watakuwa wameivamia Jamhuri ya Urusi..

Russia itakuwa ni rahisi sana kutangaza vita vya kuvamiwa kwa taifa lake ili iwe rahisi kuwa mobilize raia wake hatimaye wakubaliane na maamuzi ya serikari ya kutangaza vita dhidi ya uvamizi...kumbuka Urusi alikuwa anafanya operesheni tu na sio Vita....
wengi wanafikiri counteroffensive itaisaidia Ukraine kurudisha majimbo yake kirahisi lakini kwa mitazamo ya sisi warusi wa Manzese( wavaa kobazi) tunomjua vizuri mzee baba the Putin tunawakumbusha wa magharibi wazee wa upinde wa kwa mtogole kuwa hilo wasahau kabisa ardhi ya Donbass imeshapotea hivyo...

NB: Kura ya maoni itafanyika kuanzia tarehe 23 hadi 27 Septemba, kulingana na viongozi wa LPR na DPR

source RT:

Donbass republics reveal date of vote to join Russia

The referendum will take place from 23 to 27 September, according to LPR and DPR leaders

Referendums to join the Russian Federation will be held in the Lugansk and Donetsk People’s Republics (LPR and DPR) from September 23 to 27, the leaders of the states announced on Tuesday.

LPR head Leonid Pasechnik was the first to sign a law on “holding a public referendum in the republic on the inclusion of the region into the Russian Federation,” after its parliament unanimously supported the move and set a date for the vote.

The LPR’s decision was soon followed by DPR leader Denis Pushilin, who declared that his state would also be holding a similar referendum on the same date. Pushilin said he had already introduced the relevant legislation in the DPR’s parliament.

Russia recognised the two territories as independent in February, but most of the world still regards them as part of Ukraine. However, Kiev lost de facto control of both in 2014, when the local populations rejected the outcome of the Western-backed Maidan coup.

In a letter addressed to the Russian President Vladimir Putin, Pushilin urged the latter to consider incorporating the DPR in the territory of the Russian Federation if people approve the unification during the plebiscite.

“The long-suffering people of Donbass deserve to be part of the Great Country, which they have always considered their Motherland. This event will be the restoration of historical justice, the onset of which millions of Russian people crave,” he wrote.

The announcement of the referendum comes after the civic chamber of the LPR urged republic’s leaders on Monday to “immediately” hold a vote on joining Russia, stating that it was important to expedite the process and hold a vote as soon as possible.

“The events of recent days have shown that the Kiev nationalists have crossed all the red lines,” said the deputy head of the chamber, Lina Vokalova, pointing to the relentless shelling of the LPR’s civilian population.
Kumbuka Luhansk leo rami kazi imeanza na kijiji kimoja tayari mikononi mwa Ukrean, wanaume wakitoka Luhansk kazi itamalizia Cremea ndio mwisho wa mapambano hapo tena Russia

Zelensky ana matumaini makubwa by December Ukrean taifa lao linarudi mikononi mwao lotee na dalili ziko wazi Putin tayar ashalegeza baada kichapo alichopata Kharkiv si cha kitoto na bado mizigo inaendelea kutumwa Ukrean kama vile vita inaanza sasa
 
Neither sham "referendums" nor hybrid "mobilization" in Russia will change anything, as Ukraine has every right to liberate its territories and will continue to liberate them.

Ukrainian Foreign Minister Dmytro Kuleba said this on Twitter, Ukrinform reports.

"Sham 'referendums' will not change anything. Neither will any hybrid 'mobilization.' Russia has been and remains an aggressor illegally occupying parts of Ukrainian land. Ukraine has every right to liberate its territories and will keep liberating them whatever Russia has to say," Kuleba said.
 
Putin mwezi wa pili alideclare kwamba hizo ni nchi huru na akaweka sign kituko kingine anataka Tena wananchi wapige kura hiki ni kituko kingine mbona Putin anakosa kujiamini
Wewe ndiye hujaelewa. Hiyo ni nchi huru na kwasababu ni nchi huru inapiga kura kujiunga na Urusi kama ilivyo kua kwa Zanzibar na Tanganyika.
 
Mm mwenyewe team Putin ila Kitu kimoja tu Putin bahiri sana kutoa misaada Africa na ndio maana Vita anaikabili YeYe kama YeYe laiti angekua na ushirikiano na mataifa MENGI ya afrika asingeweza kutwengwa kiasi icho USA waendeleee kutoa Iyo misaada Ukraine nasubilia huo uchaguz LAZIMA iwe kama Crimea Tu viva Putin
 
Neither sham "referendums" nor hybrid "mobilization" in Russia will change anything, as Ukraine has every right to liberate its territories and will continue to liberate them.

Ukrainian Foreign Minister Dmytro Kuleba said this on Twitter, Ukrinform reports.

"Sham 'referendums' will not change anything. Neither will any hybrid 'mobilization.' Russia has been and remains an aggressor illegally occupying parts of Ukrainian land. Ukraine has every right to liberate its territories and will keep liberating them whatever Russia has to say," Kuleba said.
Sasa ulitaka asemeje mkuu? Wewe kaa ngojea kura sio hayo maneno.
 
Wiki iliyopita kiongozi huyo wa Urusi alisema yuko tayari kukutana na rais wa Ukraine, lakini Bw Zelensky hakuwa hivyo.

Alimwambia waziri mkuu wa India anataka kukomesha mapigano "haraka iwezekanavyo".
 
..angeruhusu mchakato huru na wa wazi wa kura ya kujiunga na Russia au la.

..ingependeza kama angekaribisha UMOJA WA MATAIFA kusimamia zoezi hili.

..wanaounga mkono kujiunga na Russia, na wanaopinga, waruhusiwe kufanya KAMPENI kabla ya kura kupigwa.
 
Back
Top Bottom