Mchakato wa kuimega rasmi ardhi ya Donbass ndani ya Ukraine kuanza tarehe 23 na 27 september

Mchakato wa kuimega rasmi ardhi ya Donbass ndani ya Ukraine kuanza tarehe 23 na 27 september

Vlad amejifunika shuka na akajamba akidhania anakomoa watu kumbe anajikomoa yeye mwenyewe. Watu wanajua hila zake na wanamshughulikia si siku nyingi ataenda kukutana na Gobachev huko aliyemdharau.
 
Mzee baba Putin alitumia nguvu ya kutosha kuhakikisha kwamba analifagilia mbali kabisa jeshi la Ukraine kwenye ardhi ya Donbass na kherson akilenga kuwasaidia raia wanaoishi maeneo hayo ambao wengi wao ni wa asili ya Kirusi.. baada ya kufanikisha hilo hakutaka tena kuendele kutumia nguvu nyingi.. na amerudisha majeshi yake nyuma kulinda mipaka ya maeneo hayo...kwa sasa kilicho amliwa na watu wa Donbass na kherson ni kupiga kura ya maoni ya kujiunga na urusi haraka iwezekanavyo ili wapate kinga ya kudumu kutoka jeshi la Urusi..(tena sio mbali ni ndani ya siku nne zijazo tarehe 23 na 27 Septemba)...baada ya kuungana hii itakuwa na maana kwamba endapo Ukraine na washirika wake wakiivamia Donbass na kherson basi watakuwa wameivamia Jamhuri ya Urusi..

Russia itakuwa ni rahisi sana kutangaza vita vya kuvamiwa kwa taifa lake ili iwe rahisi kuwa mobilize raia wake hatimaye wakubaliane na maamuzi ya serikari ya kutangaza vita dhidi ya uvamizi...kumbuka Urusi alikuwa anafanya operesheni tu na sio Vita....
wengi wanafikiri counteroffensive itaisaidia Ukraine kurudisha majimbo yake kirahisi lakini kwa mitazamo ya sisi warusi wa Manzese( wavaa kobazi) tunomjua vizuri mzee baba the Putin tunawakumbusha wa magharibi wazee wa upinde wa kwa mtogole kuwa hilo wasahau kabisa ardhi ya Donbass imeshapotea hivyo...

NB: Kura ya maoni itafanyika kuanzia tarehe 23 hadi 27 Septemba, kulingana na viongozi wa LPR na DPR

source RT:

Donbass republics reveal date of vote to join Russia

The referendum will take place from 23 to 27 September, according to LPR and DPR leaders

Referendums to join the Russian Federation will be held in the Lugansk and Donetsk People’s Republics (LPR and DPR) from September 23 to 27, the leaders of the states announced on Tuesday.

LPR head Leonid Pasechnik was the first to sign a law on “holding a public referendum in the republic on the inclusion of the region into the Russian Federation,” after its parliament unanimously supported the move and set a date for the vote.

The LPR’s decision was soon followed by DPR leader Denis Pushilin, who declared that his state would also be holding a similar referendum on the same date. Pushilin said he had already introduced the relevant legislation in the DPR’s parliament.

Russia recognised the two territories as independent in February, but most of the world still regards them as part of Ukraine. However, Kiev lost de facto control of both in 2014, when the local populations rejected the outcome of the Western-backed Maidan coup.

In a letter addressed to the Russian President Vladimir Putin, Pushilin urged the latter to consider incorporating the DPR in the territory of the Russian Federation if people approve the unification during the plebiscite.

“The long-suffering people of Donbass deserve to be part of the Great Country, which they have always considered their Motherland. This event will be the restoration of historical justice, the onset of which millions of Russian people crave,” he wrote.

The announcement of the referendum comes after the civic chamber of the LPR urged republic’s leaders on Monday to “immediately” hold a vote on joining Russia, stating that it was important to expedite the process and hold a vote as soon as possible.

“The events of recent days have shown that the Kiev nationalists have crossed all the red lines,” said the deputy head of the chamber, Lina Vokalova, pointing to the relentless shelling of the LPR’s civilian population.
Hata bbc swahili leo jion walitangaza hii habar
 
Mzee baba Putin alitumia nguvu ya kutosha kuhakikisha kwamba analifagilia mbali kabisa jeshi la Ukraine kwenye ardhi ya Donbass na kherson akilenga kuwasaidia raia wanaoishi maeneo hayo ambao wengi wao ni wa asili ya Kirusi.. baada ya kufanikisha hilo hakutaka tena kuendele kutumia nguvu nyingi.. na amerudisha majeshi yake nyuma kulinda mipaka ya maeneo hayo...kwa sasa kilicho amliwa na watu wa Donbass na kherson ni kupiga kura ya maoni ya kujiunga na urusi haraka iwezekanavyo ili wapate kinga ya kudumu kutoka jeshi la Urusi..(tena sio mbali ni ndani ya siku nne zijazo tarehe 23 na 27 Septemba)...baada ya kuungana hii itakuwa na maana kwamba endapo Ukraine na washirika wake wakiivamia Donbass na kherson basi watakuwa wameivamia Jamhuri ya Urusi..

Russia itakuwa ni rahisi sana kutangaza vita vya kuvamiwa kwa taifa lake ili iwe rahisi kuwa mobilize raia wake hatimaye wakubaliane na maamuzi ya serikari ya kutangaza vita dhidi ya uvamizi...kumbuka Urusi alikuwa anafanya operesheni tu na sio Vita....
wengi wanafikiri counteroffensive itaisaidia Ukraine kurudisha majimbo yake kirahisi lakini kwa mitazamo ya sisi warusi wa Manzese( wavaa kobazi) tunomjua vizuri mzee baba the Putin tunawakumbusha wa magharibi wazee wa upinde wa kwa mtogole kuwa hilo wasahau kabisa ardhi ya Donbass imeshapotea hivyo...

NB: Kura ya maoni itafanyika kuanzia tarehe 23 hadi 27 Septemba, kulingana na viongozi wa LPR na DPR

source RT:

Donbass republics reveal date of vote to join Russia

The referendum will take place from 23 to 27 September, according to LPR and DPR leaders

Referendums to join the Russian Federation will be held in the Lugansk and Donetsk People’s Republics (LPR and DPR) from September 23 to 27, the leaders of the states announced on Tuesday.

LPR head Leonid Pasechnik was the first to sign a law on “holding a public referendum in the republic on the inclusion of the region into the Russian Federation,” after its parliament unanimously supported the move and set a date for the vote.

The LPR’s decision was soon followed by DPR leader Denis Pushilin, who declared that his state would also be holding a similar referendum on the same date. Pushilin said he had already introduced the relevant legislation in the DPR’s parliament.

Russia recognised the two territories as independent in February, but most of the world still regards them as part of Ukraine. However, Kiev lost de facto control of both in 2014, when the local populations rejected the outcome of the Western-backed Maidan coup.

In a letter addressed to the Russian President Vladimir Putin, Pushilin urged the latter to consider incorporating the DPR in the territory of the Russian Federation if people approve the unification during the plebiscite.

“The long-suffering people of Donbass deserve to be part of the Great Country, which they have always considered their Motherland. This event will be the restoration of historical justice, the onset of which millions of Russian people crave,” he wrote.

The announcement of the referendum comes after the civic chamber of the LPR urged republic’s leaders on Monday to “immediately” hold a vote on joining Russia, stating that it was important to expedite the process and hold a vote as soon as possible.

“The events of recent days have shown that the Kiev nationalists have crossed all the red lines,” said the deputy head of the chamber, Lina Vokalova, pointing to the relentless shelling of the LPR’s civilian population.
nmeishia katikati nkasema siku hz mkoa unaamua kujitenga na kisha nchi jirani inajipa eneo hilo bila tararibu za kimataifa
 
Mzee baba Putin alitumia nguvu ya kutosha kuhakikisha kwamba analifagilia mbali kabisa jeshi la Ukraine kwenye ardhi ya Donbass na kherson akilenga kuwasaidia raia wanaoishi maeneo hayo ambao wengi wao ni wa asili ya Kirusi.. baada ya kufanikisha hilo hakutaka tena kuendele kutumia nguvu nyingi.. na amerudisha majeshi yake nyuma kulinda mipaka ya maeneo hayo...kwa sasa kilicho amliwa na watu wa Donbass na kherson ni kupiga kura ya maoni ya kujiunga na urusi haraka iwezekanavyo ili wapate kinga ya kudumu kutoka jeshi la Urusi..(tena sio mbali ni ndani ya siku nne zijazo tarehe 23 na 27 Septemba)...baada ya kuungana hii itakuwa na maana kwamba endapo Ukraine na washirika wake wakiivamia Donbass na kherson basi watakuwa wameivamia Jamhuri ya Urusi..

Russia itakuwa ni rahisi sana kutangaza vita vya kuvamiwa kwa taifa lake ili iwe rahisi kuwa mobilize raia wake hatimaye wakubaliane na maamuzi ya serikari ya kutangaza vita dhidi ya uvamizi...kumbuka Urusi alikuwa anafanya operesheni tu na sio Vita....
wengi wanafikiri counteroffensive itaisaidia Ukraine kurudisha majimbo yake kirahisi lakini kwa mitazamo ya sisi warusi wa Manzese( wavaa kobazi) tunomjua vizuri mzee baba the Putin tunawakumbusha wa magharibi wazee wa upinde wa kwa mtogole kuwa hilo wasahau kabisa ardhi ya Donbass imeshapotea hivyo...

NB: Kura ya maoni itafanyika kuanzia tarehe 23 hadi 27 Septemba, kulingana na viongozi wa LPR na DPR

source RT:

Donbass republics reveal date of vote to join Russia

The referendum will take place from 23 to 27 September, according to LPR and DPR leaders

Referendums to join the Russian Federation will be held in the Lugansk and Donetsk People’s Republics (LPR and DPR) from September 23 to 27, the leaders of the states announced on Tuesday.

LPR head Leonid Pasechnik was the first to sign a law on “holding a public referendum in the republic on the inclusion of the region into the Russian Federation,” after its parliament unanimously supported the move and set a date for the vote.

The LPR’s decision was soon followed by DPR leader Denis Pushilin, who declared that his state would also be holding a similar referendum on the same date. Pushilin said he had already introduced the relevant legislation in the DPR’s parliament.

Russia recognised the two territories as independent in February, but most of the world still regards them as part of Ukraine. However, Kiev lost de facto control of both in 2014, when the local populations rejected the outcome of the Western-backed Maidan coup.

In a letter addressed to the Russian President Vladimir Putin, Pushilin urged the latter to consider incorporating the DPR in the territory of the Russian Federation if people approve the unification during the plebiscite.

“The long-suffering people of Donbass deserve to be part of the Great Country, which they have always considered their Motherland. This event will be the restoration of historical justice, the onset of which millions of Russian people crave,” he wrote.

The announcement of the referendum comes after the civic chamber of the LPR urged republic’s leaders on Monday to “immediately” hold a vote on joining Russia, stating that it was important to expedite the process and hold a vote as soon as possible.

“The events of recent days have shown that the Kiev nationalists have crossed all the red lines,” said the deputy head of the chamber, Lina Vokalova, pointing to the relentless shelling of the LPR’s civilian population.
sasa kipi kilimpa uhalali kuingia nchi isiyo yake ?
 
Mzee baba Putin alitumia nguvu ya kutosha kuhakikisha kwamba analifagilia mbali kabisa jeshi la Ukraine kwenye ardhi ya Donbass na kherson akilenga kuwasaidia raia wanaoishi maeneo hayo ambao wengi wao ni wa asili ya Kirusi.. baada ya kufanikisha hilo hakutaka tena kuendele kutumia nguvu nyingi.. na amerudisha majeshi yake nyuma kulinda mipaka ya maeneo hayo...kwa sasa kilicho amliwa na watu wa Donbass na kherson ni kupiga kura ya maoni ya kujiunga na urusi haraka iwezekanavyo ili wapate kinga ya kudumu kutoka jeshi la Urusi..(tena sio mbali ni ndani ya siku nne zijazo tarehe 23 na 27 Septemba)...baada ya kuungana hii itakuwa na maana kwamba endapo Ukraine na washirika wake wakiivamia Donbass na kherson basi watakuwa wameivamia Jamhuri ya Urusi..

Russia itakuwa ni rahisi sana kutangaza vita vya kuvamiwa kwa taifa lake ili iwe rahisi kuwa mobilize raia wake hatimaye wakubaliane na maamuzi ya serikari ya kutangaza vita dhidi ya uvamizi...kumbuka Urusi alikuwa anafanya operesheni tu na sio Vita....
wengi wanafikiri counteroffensive itaisaidia Ukraine kurudisha majimbo yake kirahisi lakini kwa mitazamo ya sisi warusi wa Manzese( wavaa kobazi) tunomjua vizuri mzee baba the Putin tunawakumbusha wa magharibi wazee wa upinde wa kwa mtogole kuwa hilo wasahau kabisa ardhi ya Donbass imeshapotea hivyo...

NB: Kura ya maoni itafanyika kuanzia tarehe 23 hadi 27 Septemba, kulingana na viongozi wa LPR na DPR

source RT:

Donbass republics reveal date of vote to join Russia

The referendum will take place from 23 to 27 September, according to LPR and DPR leaders

Referendums to join the Russian Federation will be held in the Lugansk and Donetsk People’s Republics (LPR and DPR) from September 23 to 27, the leaders of the states announced on Tuesday.

LPR head Leonid Pasechnik was the first to sign a law on “holding a public referendum in the republic on the inclusion of the region into the Russian Federation,” after its parliament unanimously supported the move and set a date for the vote.

The LPR’s decision was soon followed by DPR leader Denis Pushilin, who declared that his state would also be holding a similar referendum on the same date. Pushilin said he had already introduced the relevant legislation in the DPR’s parliament.

Russia recognised the two territories as independent in February, but most of the world still regards them as part of Ukraine. However, Kiev lost de facto control of both in 2014, when the local populations rejected the outcome of the Western-backed Maidan coup.

In a letter addressed to the Russian President Vladimir Putin, Pushilin urged the latter to consider incorporating the DPR in the territory of the Russian Federation if people approve the unification during the plebiscite.

“The long-suffering people of Donbass deserve to be part of the Great Country, which they have always considered their Motherland. This event will be the restoration of historical justice, the onset of which millions of Russian people crave,” he wrote.

The announcement of the referendum comes after the civic chamber of the LPR urged republic’s leaders on Monday to “immediately” hold a vote on joining Russia, stating that it was important to expedite the process and hold a vote as soon as possible.

“The events of recent days have shown that the Kiev nationalists have crossed all the red lines,” said the deputy head of the chamber, Lina Vokalova, pointing to the relentless shelling of the LPR’s civilian population.
Juzi Putin aliposema ataka kumaliza vita mapema watu wengi duniani hawakumwelewa isipokuwa China.

Na sasa aja na hii ya kura ya maoni maana tayari alosaini kutambua haya majimbo mwezi February.
 
Kifanyikacho kilitegemewa, ila haitaondoa uhalali wa Ukraine kuendeleza mapambano... Mwisho labda Nukes zitumike
 
Juzi Putin aliposema ataka kumaliza vita mapema watu wengi duniani hawakumwelewa isipokuwa China.

Na sasa aja na hii ya kura ya maoni maana tayari alosaini kutambua haya majimbo mwezi February.
eneo la nchi nyingine haliez kuwa sehem ya nchi nyingine bila idhini ya kimataifa ( umoja wa mataifa )
 
Mzee baba Putin alitumia nguvu ya kutosha kuhakikisha kwamba analifagilia mbali kabisa jeshi la Ukraine kwenye ardhi ya Donbass na kherson akilenga kuwasaidia raia wanaoishi maeneo hayo ambao wengi wao ni wa asili ya Kirusi.. baada ya kufanikisha hilo hakutaka tena kuendele kutumia nguvu nyingi.. na amerudisha majeshi yake nyuma kulinda mipaka ya maeneo hayo...kwa sasa kilicho amliwa na watu wa Donbass na kherson ni kupiga kura ya maoni ya kujiunga na urusi haraka iwezekanavyo ili wapate kinga ya kudumu kutoka jeshi la Urusi..(tena sio mbali ni ndani ya siku nne zijazo tarehe 23 na 27 Septemba)...baada ya kuungana hii itakuwa na maana kwamba endapo Ukraine na washirika wake wakiivamia Donbass na kherson basi watakuwa wameivamia Jamhuri ya Urusi..

Russia itakuwa ni rahisi sana kutangaza vita vya kuvamiwa kwa taifa lake ili iwe rahisi kuwa mobilize raia wake hatimaye wakubaliane na maamuzi ya serikari ya kutangaza vita dhidi ya uvamizi...kumbuka Urusi alikuwa anafanya operesheni tu na sio Vita....
wengi wanafikiri counteroffensive itaisaidia Ukraine kurudisha majimbo yake kirahisi lakini kwa mitazamo ya sisi warusi wa Manzese( wavaa kobazi) tunomjua vizuri mzee baba the Putin tunawakumbusha wa magharibi wazee wa upinde wa kwa mtogole kuwa hilo wasahau kabisa ardhi ya Donbass imeshapotea hivyo...

NB: Kura ya maoni itafanyika kuanzia tarehe 23 hadi 27 Septemba, kulingana na viongozi wa LPR na DPR

source RT:

Donbass republics reveal date of vote to join Russia

The referendum will take place from 23 to 27 September, according to LPR and DPR leaders

Referendums to join the Russian Federation will be held in the Lugansk and Donetsk People’s Republics (LPR and DPR) from September 23 to 27, the leaders of the states announced on Tuesday.

LPR head Leonid Pasechnik was the first to sign a law on “holding a public referendum in the republic on the inclusion of the region into the Russian Federation,” after its parliament unanimously supported the move and set a date for the vote.

The LPR’s decision was soon followed by DPR leader Denis Pushilin, who declared that his state would also be holding a similar referendum on the same date. Pushilin said he had already introduced the relevant legislation in the DPR’s parliament.

Russia recognised the two territories as independent in February, but most of the world still regards them as part of Ukraine. However, Kiev lost de facto control of both in 2014, when the local populations rejected the outcome of the Western-backed Maidan coup.

In a letter addressed to the Russian President Vladimir Putin, Pushilin urged the latter to consider incorporating the DPR in the territory of the Russian Federation if people approve the unification during the plebiscite.

“The long-suffering people of Donbass deserve to be part of the Great Country, which they have always considered their Motherland. This event will be the restoration of historical justice, the onset of which millions of Russian people crave,” he wrote.

The announcement of the referendum comes after the civic chamber of the LPR urged republic’s leaders on Monday to “immediately” hold a vote on joining Russia, stating that it was important to expedite the process and hold a vote as soon as possible.

“The events of recent days have shown that the Kiev nationalists have crossed all the red lines,” said the deputy head of the chamber, Lina Vokalova, pointing to the relentless shelling of the LPR’s civilian population.
Tayari nimeshaalikwa kwenda kuhesabu kura [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Putin mwezi wa pili alideclare kwamba hizo ni nchi huru na akaweka sign kituko kingine anataka Tena wananchi wapige kura hiki ni kituko kingine mbona Putin anakosa kujiamini
We ndio pimbi umeshindwa kuelewa Feb aliyatambua kama mataifa huru kura ya Sasa ni kuyaingiza Russia kama Crimea.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hawaelewi naona

Putin akili mingi sana
duh kumbe vilaza ni wengi , kimataifa hilo eneo litaendelea kuwa sehem ya Ukraine , na huyo Putin anaiundia Urusi matatizo ya baadae , Japan ana eneo lake ndan ya Urusi , pia Finland ana eneo lake ndan ya Urusi , pia Ukraine ina eneo ndan ya Urusi , pia Georgia hivo hivo pia Moldova , hiz nchi zimeizunguka Urusi yaweza ikawa miaka hata 1000 ila Putin anaitengenezea Urusi migogoro ya kudumu , Rus kyiev iliangushwa kwa sabab kama hz ilikuwa ikijitanua dhidi ya majirani hivyo uvamiz wa wamongol ulikuwa mwepes sabab alisaidia na Ottoman empire waliokuwa wakadai maeneo yao , pia Poland waliokuwa wameporwa maeneo yao , pia jamii nyingine za jiran ziliwasaidia wamongol kuiangusha Rus kyiev taifa ambalo miaka 1000 baadae halijawai kunyanyuka tena , the same way Putin anaipeleka Urusi walipotokea Rus Kyiev
 
Back
Top Bottom