Vita Ni akili na mbinu alichoplan Putin kimetimia we jiulize kila operation na Russia unapoteza kwanini upambane na.putin ambaye muda wote anawin Vita
Crimea ilichukuliwa
Kharson ,Donna's inaondoka mpaka anakarabati majengo aliyoyavunja kwa mizinga, hao Askari 300,000 wa nyongeza Ni commando wanaohamia hapo na misilaha yao kulinda sehemu mpya za Russia,
Russia tayari Ni kubwa kuliko Taifa lolote duniani 17millions square kilometres, (USA & China ukikombine ndiyo wanaifikia Russia) na bado anaongeza 15% ya ardhi ya Ukraine Tena yenye minerals, ardhi ya rutuba, bandari muhimu na kubwa, maeneo ya viwanda etc (kwa upuuuzi wa zelewsky ) anayetumiaa na USA , na hapa ndio tumegundua Hawa wazungu hawana akili kabisa,
Viva Putin, ukiwa na akili unaweza kufanya lolote na kufanikiwa,
Kasambaratisha uchumi wa Ulaya vibaya mno, kamdhalilisha USA Kwa kushindwa kusaidia Europe etc
Viva Putin, akili mingi Mwenyezi Mungu akupe umri na afya, Alluta continua