Mchambue marafiki; kuna wa maendeleo na wa misiba na mazishi tu

Mchambue marafiki; kuna wa maendeleo na wa misiba na mazishi tu

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Comrade wetu katika umoja wetu wa wa fanyabiashara za umachinga wakubwa kapata tatizo kubwa la kia afya ya kindeney trans-plant uko Appolo india, medical bill pamoja na vifaa tiba, usafiri wa watu wake wa karibu wawili maladhi pamoja na meals bill imekuja US $95,000 sawa na roughly 210m za shilling za kitanzania, umoja wetu pamoja individual contribution tume toa 110m, mgonjwa atafute 100m kwa marafiki zake.

Sasa huu ni mwezi wa pili ndugu na marafiki zake wamechangia 13m na laki nne tu wakati deadline ya appointment hospitali ni tarehe 3/8. tatizo kubwa, pamoja na phonebook yake kujaa majina ya watu ila wengi wana kipato duni, na hawana roho ya kusaidia mwenzao, kuliko sie watu baki

"Kutoa ni moyo sio utajiri".
 
Kuna classmate wetu mmoja mzawa wa Songea yuko busy hana muda wa kutuona mara nyingi mpaka tumfuate ofisini kwake au awe anapita kwenye ofisi zetu. Sasa siku jamaa yangu akaumwa, sisi wenye muda tukawa tunampigia kuuliza kama amekula na tunampelekea matunda sijui na kumuagizia bodaboda ampelekee chakula. Yeye akasema acheni bangi mabachela hamna uwezo kujua mgonjwa kama hata amekula na kumeza dawa, ukute anamwaga chakula na kutupa dawa.

Akachukua gari nyumbani kwao akampa dereva ampeleke mgonjwa kwao Moshi akauguzwe na mama yake full time. Jamaa alipona after a week, kwenye mzunguko wote huo classmate wetu huyo hakukanyaga kwa mgonjwa wala kumuona.

Niliwahi saidiwa kitu muhimu na mtu ambaye hakutaka nimjue ila nikabahatika kufahamu jina lake. Last year nikawa natazama uapishwaji wa makatibu wakuu wa wizara nikasoma jina lake akiapishwa. Nikafuatilia nikajua ni yeye.
 
Tanzania NI nchi Maskini

Hata hao waliotoa hiyo 13m wamejitahidi Sana. Usiwaseme.

Úkiwa na ndugu 100 went uwezo wa Kutoa Laki mojamoja watatoa 10M
Unaona ilivyokazi kupata Pesa uliyoitaja

Watanzania wengi kipato chako NI kuchangia 10k
Mkuu lla kuna rafiki moja katowa 15m mgine 10 mgine 7, mtu ungetaguta marafiki ws uwezo 5, tu kuliko kua na majina 300 ya marafiki ambao hawawezi kukutatulia tatizo ata la 20m. Umasikini upo hilo sio sili ila na watu wenye pesa wapo.
 
Comrade wetu katika umoja wetu wa wa fanyabiashara za umachinga wakubwa kapata tatizo kubwa la kia afya ya kindeney trans-plant uko Appolo india, medical bill pamoja na vifaa tiba, usafiri wa watu wake wa karibu wawili maladhi pamoja na meals bill imekuja US $95,000 sawa na roughly 210m za shilling za kitanzania, umoja wetu pamoja individual contribution tume toa 110m, mgonjwa atafute 100m kwa marafiki zake....
Sasa hu ni mwezi wa pili ndungu na marafiki zake wamechangia 13m na laki nne tu wakati deadline ya appointment hospitali ni tarehe 3/8. tatizo kubwa, mapoja na phone book yake kujaa majina ya watu ila wengi wana kipato duni ni watumishi "wage earners" michango yao wengi ni 50,000 30,000, 10000, mpaka 100k hamna wa 1m hata moja, kila siku anajisia kua na marafiki wengi kumbe wengi ni waalimu, Nurse police mama tilie machinga wadogo na wakabila lake nk.

Mwenye mwoyo wa kutoa hapa jf kuanzia 100k njoo inbox nikupe details zake na vidhiibitisho zaidi utume hiyo pesa hospitali india moja kwa moja kwenye ac ilio funguliwa kwa ajiri ya matibabu tu sio kwa mtu na sio kwake pia. Chini ya 100k hapana "Kutoa ni mwoyo sio utajiri"
Yeye si mfanyabiashara mkubwa kwanini asimalizie mwenyewe? Mnaona chini ya 100k ndogo basi malizieni wenyewe matajiri.
 
Comrade wetu katika umoja wetu wa wa fanyabiashara za umachinga wakubwa kapata tatizo kubwa la kia afya ya kindeney trans-plant uko Appolo india, medical bill pamoja na vifaa tiba, usafiri wa watu wake wa karibu wawili maladhi pamoja na meals bill imekuja US $95,000 sawa na roughly 210m za shilling za kitanzania, umoja wetu pamoja individual contribution tume toa 110m, mgonjwa atafute 100m kwa marafiki zake....
Sasa hu ni mwezi wa pili ndungu na marafiki zake wamechangia 13m na laki nne tu wakati deadline ya appointment hospitali ni tarehe 3/8. tatizo kubwa, mapoja na phone book yake kujaa majina ya watu ila wengi wana kipato duni ni watumishi "wage earners" michango yao wengi ni 50,000 30,000, 10000, mpaka 100k hamna wa 1m hata moja, kila siku anajisia kua na marafiki wengi kumbe wengi ni waalimu, Nurse police mama tilie machinga wadogo na wakabila lake nk.

Mwenye mwoyo wa kutoa hapa jf kuanzia 100k njoo inbox nikupe details zake na vidhiibitisho zaidi utume hiyo pesa hospitali india moja kwa moja kwenye ac ilio funguliwa kwa ajiri ya matibabu tu sio kwa mtu na sio kwake pia. Chini ya 100k hapana "Kutoa ni mwoyo sio utajiri"
Mbona ameenda kwenye very expensive Hosp.huyo sio Machinga ni Big Trader.

Sisi waswahili tunasubiri ikitokea la kutokea tutachanga jeneza la milioni 10, tutagharimia msiba milioni 30 na kushona Suti/ sare za Mazishi laki mbili mbili.
 
Comrade wetu katika umoja wetu wa wa fanyabiashara za umachinga wakubwa kapata tatizo kubwa la kia afya ya kindeney trans-plant uko Appolo india, medical bill pamoja na vifaa tiba, usafiri wa watu wake wa karibu wawili maladhi pamoja na meals bill imekuja US $95,000 sawa na roughly 210m za shilling za kitanzania, umoja wetu pamoja individual contribution tume toa 110m, mgonjwa atafute 100m kwa marafiki zake....
Sasa hu ni mwezi wa pili ndungu na marafiki zake wamechangia 13m na laki nne tu wakati deadline ya appointment hospitali ni tarehe 3/8. tatizo kubwa, mapoja na phone book yake kujaa majina ya watu ila wengi wana kipato duni ni watumishi "wage earners" michango yao wengi ni 50,000 30,000, 10000, mpaka 100k hamna wa 1m hata moja, kila siku anajisia kua na marafiki wengi kumbe wengi ni waalimu, Nurse police mama tilie machinga wadogo na wakabila lake nk.

Mwenye mwoyo wa kutoa hapa jf kuanzia 100k njoo inbox nikupe details zake na vidhiibitisho zaidi utume hiyo pesa hospitali india moja kwa moja kwenye ac ilio funguliwa kwa ajiri ya matibabu tu sio kwa mtu na sio kwake pia. Chini ya 100k hapana "Kutoa ni mwoyo sio utajiri"
Sema aproch uliyoitumia kuomba mchango ni ya kitoto sana .
 
Back
Top Bottom