Mchambue marafiki; kuna wa maendeleo na wa misiba na mazishi tu

Mchambue marafiki; kuna wa maendeleo na wa misiba na mazishi tu

Ndio matajiri mlivyo.
Huyo rafiki yenu inaonekana muda mwingi alikuwa na nyinyi mnakula naye Maisha.
Sio kesi malizieni hiyo Hela.
Huyo Jamaa yenu mliyemchangia zaidi ya Milioni Mia alikuwa na uwezo wa kuwatengeneza watu kama yeye wengi kwenye ukoo wake lakini nasadiki hakufanya hivyo.
Unapangaje kiwango Cha kumchangia mgonjwa?!
Alikumbatia sanaa ukabila undugu na schoolmate, akatudharau sie watu baki alio tukuta mjini tukafanya kazi nae, ni mara ya kwanza tumeweza kujua kwake kama kikundi alikua hajawahi kutupeleka kabla ya kuugua.
 
Comrade wetu katika umoja wetu wa wa fanyabiashara za umachinga wakubwa kapata tatizo kubwa la kia afya ya kindeney trans-plant uko Appolo india, medical bill pamoja na vifaa tiba, usafiri wa watu wake wa karibu wawili maladhi pamoja na meals bill imekuja US $95,000 sawa na roughly 210m za shilling za kitanzania, umoja wetu pamoja individual contribution tume toa 110m, mgonjwa atafute 100m kwa marafiki zake....
Sasa hu ni mwezi wa pili ndungu na marafiki zake wamechangia 13m na laki nne tu wakati deadline ya appointment hospitali ni tarehe 3/8. tatizo kubwa, mapoja na phone book yake kujaa majina ya watu ila wengi wana kipato duni ni watumishi "wage earners" michango yao wengi ni 50,000 30,000, 10000, mpaka 100k hamna wa 1m hata moja, kila siku anajisia kua na marafiki wengi kumbe wengi ni waalimu, Nurse police mama tilie machinga wadogo na wakabila lake nk.

Mwenye mwoyo wa kutoa hapa jf kuanzia 100k njoo inbox nikupe details zake na vidhiibitisho zaidi utume hiyo pesa hospitali india moja kwa moja kwenye ac ilio funguliwa kwa ajiri ya matibabu tu sio kwa mtu na sio kwake pia. Chini ya 100k hapana "Kutoa ni mwoyo sio utajiri"
Mtoa mada iko hivi. Maisha yana nyakati. Siku ukiwa na hela ama nafasi kubwa katika taasisi hata huhitaji kutafuta marafiki wa kukuchangia, wao ndio huwa wanajileta kukuchangia pesa nyingi nyingi tu. Na hii hua si kwa upendo bali kwa matarajio kuwa utawakumbuka siku wakija kwako na maombi binafsi. Wewe huyo huyo ukifulia ama kutumbuliwa hao hao uliodhani na marafiki waliokwisha wahi kukuchangia pesa nyingi hutawaona hata ukiwa na shida ya milioni moja ama ya kufa.
 
Yani wanaomjua wametoa vielf 30 sie tusiomjua ndo tutoe laki laki

Unaomba msaada kwa lugha ya dhihaka eti marafiki wengi mama ntilie, bora uwe nao 5 wa maana kawafate hao sasa, upumbavu tu
Mkuu unatoa kwa ajili ya Mungu wako sio mpaka mtu umjue kabisa, mimi ni mechiangia 2m ila sina vinasaba nae tumekutana tu kwenye hizi kazi mjini, toa mungu atakurudishia mwoyo wakutoa kama unao toa tu.
 
Alikumbatia sanaa ukabila undugu na schoolmate, akatudharau sie watu baki alio tukuta mjini tukafanya kazi nae, ni mara ya kwanza tumeweza kujua kwake kama kikundi alikua hajawahi kutupeleka kabla ya kuugua.
Kamsimange mgonjwa sio waliotoa vielf 30 vyao, adabu huna
 
Mkuu unatoa kwa ajili ya Mungu wako sio mpaka mtu umjue kabisa, mimi ni mechiangia 2m ila sina vinasaba nae tumekutana tu kwenye hizi kazi mjini, toa mungu atakurudishia mwoyo wakutoa kama unao toa tu.
Unamjua si ni mwanakikundi chenu, braza mbinu yako imekaa kimchongo, hamna watu wagumu kutoa hela km humu jf tena ukiongeza na uzi wako ulivyojaa jeuri na dhihaka ukipata hata laki njoo nikuongezee nyingine
 
Mkuu unatoa kwa ajili ya Mungu wako sio mpaka mtu umjue kabisa, mimi ni mechiangia 2m ila sina vinasaba nae tumekutana tu kwenye hizi kazi mjini, toa mungu atakurudishia mwoyo wakutoa kama unao toa tu.
Mkuu unadharau aise bandiko lako naamini nimekera kila aliyelisoma nami nikiwa mmoja wao
 
Mkuu unadharau aise bandiko lako naamini nimekera kila aliyelisoma nami nikiwa mmoja wao
Mkuu lengo sio kukera watu ni kujifunza kitu katika matukio mengine, lazima tujifunze, na mimi nilikereka sanaa baada ya kuona ndugu zake na marafiki hata 15m wameshindwa kufikisha.....
 
Mkuu lengo sio kukera watu ni kujifunza kitu katika matukio mengine, lazima tujifunze, na mimi nilikereka sanaa baada ya kuona ndugu zake na marafiki hata 15m wameshindwa kufikisha.....
Naweza kukubaliana nawe kuwa una hoja una jaribu kujenga lakini bado kutaja watu kwa makundi yaani unaposema polisi mamantilie manesi na walimu umezingua sana kiufupi umetudharau wengine ambao tupo kwenye makundi hayo SIJUI UNAELEWA TAJIRI?????
 
Mkuu tumetoa pesa nyingi zaidi ya 100m usidharau huyu mgonjwa wetu, alikua na marafiki wengi wana ongea ki lugha chao kila wakati, mbona wakati wa kuchanga hatuoni mchango wao, hilo ni somo unaweza kudharau watu wenye uwezo wakukusaidia kwadbb huna vinasaba nao, sasa ona.
Nachelea kusema huna busara. Yaani unaonekana kuwa kwako na vihela unadharau sana wasio na kipato kama chako. Watu wanajaribu kukueleza lakini inaonekana umeshupaza shingo.

Ubaya Ubwela Undungu Umala
 
Naweza kukubaliana nawe kuwa una hoja una jaribu kujenga lakini bado kutaja watu kwa makundi yaani unaposema polisi mamantilie manesi na walimu umezingua sana kiufupi umetudharau wengine ambao tupo kwenye makundi hayo SIJUI UNAELEWA TAJIRI?????
Basi utanisamehe kwa hilo kama kuna kundi nime litaja na limekuumiza, ebu niende ku-edit nitowe huo makundi ya watu, ila na omba mnielewe hoja yangu ya watu kutojua watu muhimu wa kuwa saidia na kukumbatia ndugu na rafiki wasio kua na uwezo na roho ya kutoa.
 
Comrade wetu katika umoja wetu wa wa fanyabiashara za umachinga wakubwa kapata tatizo kubwa la kia afya ya kindeney trans-plant uko Appolo india, medical bill pamoja na vifaa tiba, usafiri wa watu wake wa karibu wawili maladhi pamoja na meals bill imekuja US $95,000 sawa na roughly 210m za shilling za kitanzania, umoja wetu pamoja individual contribution tume toa 110m, mgonjwa atafute 100m kwa marafiki zake....
Sasa hu ni mwezi wa pili ndungu na marafiki zake wamechangia 13m na laki nne tu wakati deadline ya appointment hospitali ni tarehe 3/8. tatizo kubwa, mapoja na phone book yake kujaa majina ya watu ila wengi wana kipato duni, na hawana roho ya kusaidia mwenzao, kuliko sie watu baki "Kutoa ni mwoyo sio utajiri".
Pole sana kwa jamaa. Ila usiwalaumu sana, Wengine tunaishi kwa kubahatisha sana leo hii nikipata hiyo changamoto sioni uwezekano wa kuipata hiyo 210m. Ni Mungu tu anatulinda na kutufichia aibu.
 
Wengine ndio wanategemewa wawavushe ndugu na jamaa kwenye majanga,Sasa wakiumwa ndo inakuwa hivyo....tofauti na familia za kiarabu au kihindi wao cycle Yao ni nzuri karibu wote wana mawe. Sisi huku unakuta ukoo mzima don ni mmoja tu...cha muhimu ni kwamba maisha yanahitaji nidhamu sana hasa namna ya kuishi maana mambo ya kusema Kila mmoja atakufa ni kujifariji.
 
Mkuu usidharau michango ya watu ata 10,000 ni hela pia,Kuna watu ni mabilionea lakini ata kutoa 100k hawezi.
Mimi mwaka juzi niliuguliwa na mwanangu alilazwa Bugando miezi 3 na mimi nilikua nimetumia pesa yote,nilimpigia Kaka yangu wa tumbo moja aniazime siyo anipe,na wakati huo alikuwa ametoka kuuza kiwanja 30 milioni!!
Lakini aliniambia hana,huyo ni ndugu kabisa sembuse mtu baki!
 
Comrade wetu katika umoja wetu wa wa fanyabiashara za umachinga wakubwa kapata tatizo kubwa la kia afya ya kindeney trans-plant uko Appolo india, medical bill pamoja na vifaa tiba, usafiri wa watu wake wa karibu wawili maladhi pamoja na meals bill imekuja US $95,000 sawa na roughly 210m za shilling za kitanzania, umoja wetu pamoja individual contribution tume toa 110m, mgonjwa atafute 100m kwa marafiki zake....
Sasa hu ni mwezi wa pili ndungu na marafiki zake wamechangia 13m na laki nne tu wakati deadline ya appointment hospitali ni tarehe 3/8. tatizo kubwa, mapoja na phone book yake kujaa majina ya watu ila wengi wana kipato duni, na hawana roho ya kusaidia mwenzao, kuliko sie watu baki "Kutoa ni mwoyo sio utajiri".
Daaa Mungu atusaidie
 
Yaani kupata circle ya marafiki wanaoweza kukupa 10 miln ya haraka,sio mafanikio tu nu conection tayari.

Sasa embu tunaomba mbinu ya kuwapata hao marafiki ikiwa wewe binafsi huna hela,maana akina Dr Janabi wana marafiki zao wa kariba ile,akina Mpina wana marafiki aina yao nk.
Kwa mchango gani ? Inategemea na wewe upo level gani kwa sababu kama kipato chako kikubwa utakuwa una'mingle na watu wa juu .

Sisi harusi tu hapa ofisini mchango unagonga mpaka 18 mil tena normal sana .
 
Pole sana kwa jamaa. Ila usiwalaumu sana, Wengine tunaishi kwa kubahatisha sana leo hii nikipata hiyo changamoto sioni uwezekano wa kuipata hiyo 210m. Ni Mungu tu anatulinda na kutufichia aibu.
Mkuu ahasante kwa kweli ukiwa na uhai na afya njema mshukuru sana Mola wako ndo utajiri wenyewe, sio wewe tu, hata mimi nikikubwa na tatizo kama hilo 210m nikiipata ila ntakosa makazi na gari ntauza kila kitu, manaake siwezi kukaa mjini tena loh, kweli "afya ni mali"
 
Mkuu usidharau michango ya watu ata 10,000 ni hela pia,Kuna watu ni mabilionea lakini ata kutoa 100k hawezi.
Mimi mwaka juzi niliuguliwa na mwanangu alilazwa Bugando miezi 3 na mimi nilikua nimetumia pesa yote,nilimpigia Kaka yangu wa tumbo moja aniazime siyo anipe,na wakati huo alikuwa ametoka kuuza kiwanja 30 milioni!!
Lakini aliniambia hana,huyo ni ndugu kabisa sembuse mtu baki!
Kama alikuazima mshukuru sanaa Mungu.wengine ndugu ni mtihani, kutoa pesa sio rahisi.
 
Back
Top Bottom