Picha kila mtu anaweza jitengenezea kichwani. Kabla ya mechi ya Simba na Wydad kuna picha zilikuwa kichwani mwa watu.Lkn nadhani Kuna picha tunaipata
Sahihi mkuu.....lkn Kuna zile zanakua collectively na Kuna zile za individual ( mmoja mmoja)Picha kila mtu anaweza jitengenezea kichwani. Kabla ya mechi ya Simba na Wydad kuna picha zilikuwa kichwani mwa watu.
Tatizo kubwa linaloathiri uchambuzi ni ushabiki.Sahihi mkuu.....lkn Kuna zile zanakua collectively na Kuna zile za individual ( mmoja mmoja)
Mfano sio wote tulikua Simba atapita