Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
" Prof Nabi anngepewa mechi Ile ya Simba vs wydadi basi Ile mechi isingefika hata kwenye matuta, ingeishia dk ya 90 wydadi kafungwa Tena goli sio chini ya Moja" farasi wa vita (2023)
Sababu
Prof Nabi ni bingwa wa kusoma mchezo ( genius) that's y kipindi Cha pili lazima upasuke.
Je!!! unadhani prof Nabi ana vitu Gani special
Sababu
Prof Nabi ni bingwa wa kusoma mchezo ( genius) that's y kipindi Cha pili lazima upasuke.
Je!!! unadhani prof Nabi ana vitu Gani special