Mchambuzi Edgar Kibwana wa CMG kama Kiingereza chako ni cha Kubabaisha kama Changu uwe unatumia Mbinu hii ili Usikikosee na Usishtukiwe kuwa hukijui

Kuna mmoja nimemsikiliza sasa hivi baada ya mpira kumalizika kati ya KMC na AZAM nimekaa na mtoto wangu kasema huyu Mlimila hajui Kiingereza.

Kwenye sport wamejaa wajinga wengi sana Kitenge and Compay.
HAA Kitenge Group Wao Wanaunganisha Tu Hata Kama Haileti Maana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna mmoja nimemsikiliza sasa hivi baada ya mpira kumalizika kati ya KMC na AZAM nimekaa na mtoto wangu kasema huyu Mlimila hajui Kiingereza.

Kwenye sport wamejaa wajinga wengi sana Kitenge and Compay.
Jamani usimwite mtu ni mjinga kwasababu tu hawezi kuongea kingereza kama cha Harry Kane!
 
kwamba amesoma UDOM UNIVERSITY..

Dah brother na wewe hapa umeliwa kichwa na mwalimu Antonnia kwenye module yake ya Communication Skills.
Wee Excel Module ndio nini kwanii??🀠
Mie chuo sijafika mwenzio!
Napasikia tu kwenye Tv na mitandao kama hivi!😁
 
MTU Kama kasoma dumu fagio inamuhitaji miaka 15 tangu amalize chuo kikuu kujua kiingereza Kwa ufasaha
Na bado inaweza isitoshe pia. Kuna wakati nilikuwa naenda kujifunza vitu fulani vya sanaa pale international school of tanganyika, nahisi kama ningefanya vile kwa miaka mitano mfululizo basi sasahivi ningekuwa natema yai kama mtu wa Birmingham πŸ˜‚
 
U
Upo sahihi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…