ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
Mdogo wangu tulia, hamjasema bado, hebu kauaangalie uzi wa wananchi, mweeeBila ushabiki, ufafanuzi wahitajika juu ya mkanganyiko huu kwenye jezi mpya.
Wadhamini wamekosekana? Au udhamini wa Mo Extra ni kiasi gani?
Sisi mwaka jana mambo yalikuwa wazi juu ya Haier, mbona kwenu hakuna uwazi?
Mdakuzi