Mchambuzi Farhan: Simba wametupiga kwenye jezi

Mchambuzi Farhan: Simba wametupiga kwenye jezi

Hayo ni kwa vilabu imara vyenye uongozi bora na precisely nje huko sio hapa.

Na kwa kasumba hiyo ndio maana madudu huko kwenu hayaishi! Mara pesa za usajili zinapigwa watu wanaleta wachezaji wabovu ili wapige 10% zao.

Kutokana na hayo ndio maana timu inazidi kuyumba maana nani msafi wa kumrushia mawe mwenzie? Mdhamini anapiga kwenye matangazo na ruzuku za mashindano.
Watendaji wanapiga kwenye sajili…

Ripoti gani ya mkutano mkuu ya kueleweka? Kila mwaka deni linazidi kuwa kubwa kuliko lile lililoahidiwa kuwekwa kwenye account kama mauziano ya hisa kukamilisha mchakato mpya ndani ya klabu.

Huu mjadala ni mpana b…
Tutakesha!
Unadhani Yanga madudu hakuna? Yapo mengi sana. Ukiwaza Yanga hakuna madudu utakuwa umejikosea sana b...

Ova
 
Mimi inanisikitisha lile tangazo la nyuma kuna mkono unashika tako, ni fedhea kwa mwanaume hii. Ningekua mchezaji au shabiki wa simba nisingevaa zile jezi
 
Wala hakuna shida ni vile TU tumejawa na fikra duni na kudhani kila kitu lazima kifanane. Mara jezi sijui mbovu mara matangazo na blah blah nyingi. Sasa kama yeye atatoa pesa nyingi Kwa matangazo yake hayo.,mnatakaje?

Kama unaona hizo nyingine ndio nzuri, kanunue hizo. Kila kukicha Simba, Simba. Simba that, Simba this, Simba there! Idiots!

Hamna familia za kulisha huko majumbani. Mnarefuka makende TU kila saa. Be men! Yaani mnageuka wambea ghafla. Sijui mnawezaje kuwa hivyo mlivyo!

Aghaghaaa!
Ahmed Alli mbona una hasira sana mkuu
 
Bila ushabiki, ufafanuzi wahitajika juu ya mkanganyiko huu kwenye jezi mpya.

Wadhamini wamekosekana? Au udhamini wa Mo Extra ni kiasi gani?

Sisi mwaka jana mambo yalikuwa wazi juu ya Haier, mbona kwenu hakuna uwazi?

Mdakuzi
Haya tuambie mdhamini wa yanga wa sasa kaweka kiasi gani?
 
Back
Top Bottom