Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atafilisika sasaNitashangaa iwapo kuna shabiki anamuunga mkono.
Huyu anaua brand ya Simba.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ile visit Tanzania ilikua na tija gani kwa timu??? Kwa miaka minne mfululizo hata mbuni hatupati wakati kunamtu anatoa hela zake kujazia bajeti inapokwama tena kwamapenzi yke!! si bora akae huyo kuliko Tanapa wasioipa hata mwaliko timu kwenda mbuganiHakuna shida Acha mahaba mkuu. Umewahi kuona jezi ina matangazo mawili yanayofanana tena ndani ya sehemu moja. Kama ni jambo la kawaida basi wangweka hata kwa nyuma chini ya kola sio mbele kaka. Fikiria nje ya box
Mo atatokaje Simba wakati alishainu ua timu yenu ya Simba?Simba ni timu yangu ila inaboa Sana. Mo Anaweka Matangazo huku pesa hajatoa. Mpaka MO atoke Simba tutakuwa tumechakaa.
Kila mwaka anatangaza hasara za kuilea simbaMO anapenda sifa Sana. Yani kwa kifupi MO anaitumia Simba kibiashara .
Mwaka huu whizmo anatoa kiasi gani?Bila ushabiki, ufafanuzi wahitajika juu ya mkanganyiko huu kwenye jezi mpya.
Wadhamini wamekosekana? Au udhamini wa Mo Extra ni kiasi gani?
Sisi mwaka jana mambo yalikuwa wazi juu ya Haier, mbona kwenu hakuna uwazi?
Mdakuzi
Alishatoa. FuatiliaMwaka huu whizmo anatoa kiasi gani?
kabisa kaka nikikumbuka simba haijawahi kutengemaa kabisa, nakumbuka Simba ya UKAWA, Kilomoni, Kigwangara tena Kilomon na Kigwangar walianza kuivuruga Simba ikiwa kwenye ubora wake adhamini km wote mpira mwingi, haya hawa wa sasa wamejawa na gubu lakini ukiuliza Mbet kakubaliana nini na Mo kuhusu kumbadili kifuani hakuna mwenye jibu kifuani ni haki ya Mbet ila kwa kanuni za CAF hawekwi ila haimfutii umilikiMashabiki wa Simba wana ugonjwa wa kulalamika.
kabisa ukiona Mo haweki hela ya kutosha leta hela ya ukoo wenu ili jina la ukoo wenu likae pale mbele ila ni mpaka Mbet aridhie piamashabiki maandazi HATUWATAKI.
Ukiona jezi ya utopolo nzuri KANUNUE UVAE
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
😂😂mashabiki maandazi HATUWATAKI.
Ukiona jezi ya utopolo nzuri KANUNUE UVAE
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Wanaishi kishikajiNdio maana wanaita Simba Makolo yaani viongozi wengi, haieleweki timu inaongozwa na Rais wa heshima au Mwenyekiti wa bodi au mwenyekiti wa Klabu au anaongoza CEO?
Timu imeshindwa kuleta wadhamini wapya? Na haieleweki waliopo (ukiacha Mbet) hatujui MO extra analipa bei gani
Au ndiyo Mbuzi wa Bwana mwamedi Kala kwenye shamba la mwamedi
Jose chuo umemaliza ama?Tumewaacha mbali sana...
Hatuna JanjaJanja