deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 521
Simkubali yeyote.. Labda zamani sasahv nafahamunvingi kuliko wao via internet na kufuatilia mwenyewe ligi mbalimbali.
Zamani wakiwa wanachambua hasa dokta lleakey niliwaona noma balaa.
Simkubali yeyote.. Labda zamani sasahv nafahamunvingi kuliko wao via internet na kufuatilia mwenyewe ligi mbalimbali.
Zamani wakiwa wanachambua hasa dokta lleakey niliwaona noma balaa.
Mpaka leo, Dk Leakey ana vitu huvipati kwenye internet.
Binafsi George Ambangile ni fav kwangu.
Dr.Leaky hajua technicalities za mpira, alikuwa anatoa historia tu
Ndo uchambuzi ,utakua mchambuzi gani hujui history zaclub au timu zaTaifa zinachocheza.Dr huchambua mpira nakukatia historian siohawa waleo
Asante kwa kuwa mkweli broMpaka leo, Dk Leakey ana vitu huvipati kwenye internet.
Binafsi George Ambangile ni fav kwangu.
Asante kwa kuwa mkweli bro
George ambangile yule jamaa nimemfollow kote namfuatilia sana, yaani anachambua mechi sio kusimulia Kama kumwembe.
Big up
Hata kuchambua amechambua sana tu, world cup 98, euro 96 zote nilimfatilia alikuwa vizuri tu
Tanzania mchambuzi wa Soka ni mmoja tu Dr.Liky hao wengine ni Makanjanja tu wamejaa wanachambua kwa UshabikiHabari wadau,
kumekuwepo wimbi la wachambuzi wa mpira hasa wa miguu hapa nchini. Je wewe yupi unamkubali, na kwa vigezo gani?
Ainisha hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio hujui huwezi kuchambua kitu kama hukijui Dr Leak ni Mtalaamu ,nyie ndio mnawasikiliza kina Mbwiga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dr.Leaky hajua technicalities za mpira, alikuwa anatoa historia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio hujui huwezi kuchambua kitu kama hukijui Dr Leak ni Mtalaamu ,nyie ndio mnawasikiliza kina Mbwiga,Zembwela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dr .Leak hata gharama za ujenzi wa viwanja anakuambia ukigoogle unakuta sawaDr.Leaky hajua technicalities za mpira, alikuwa anatoa historia tu
Sent using Jamii Forums mobile app