Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Mchambuzi ambaye kazi yake ni kusema mchezaji au kocha fulani ni rafiki yangu niliongea naye. Huyo ni maji taka.
Tunataka mchambuzi anayeongelea formations na sababu zake. Wapi makosa yametokea hadi goli kupatikana. Timu ipangwe vipi au kupata matokeo.
Aeleze aina ya sub na potential impact yake.
Sasa wengi wao wamegubikwa na unazi wa timu zao. Utasikia leo lazima tutoke.
Tunataka mchambuzi anayeongelea formations na sababu zake. Wapi makosa yametokea hadi goli kupatikana. Timu ipangwe vipi au kupata matokeo.
Aeleze aina ya sub na potential impact yake.
Sasa wengi wao wamegubikwa na unazi wa timu zao. Utasikia leo lazima tutoke.