Mchambuzi ambaye kazi yake ni kusema mchezaji au kocha fulani ni rafiki yangu niliongea naye. Huyo ni maji taka.
Tunataka mchambuzi anayeongelea formations na sababu zake. Wapi makosa yametokea hadi goli kupatikana. Timu ipangwe vipi au kupata matokeo.
Aeleze aina ya sub na potential impact yake.
Sasa wengi wao wamegubikwa na unazi wa timu zao. Utasikia leo lazima tutoke.
Naaam,kwanza pia ni kocha na amecheza mpira na mwl kashasha namuelewa sanaMwl .Tigana Lukinja wa east africa Radio kwanye kipindi cha kipenga extra
Yule sio mchambuzi wa soka, ni mtoa historia ya matukio , vituko na vichekesho vya vinavyohusu soka, timu za soka na wanasoka..Ndo uchambuzi ,utakua mchambuzi gani hujui history zaclub au timu zaTaifa zinachocheza.Dr huchambua mpira nakukatia historian siohawa waleo
Sent using Jamii Forums mobile app
Dr.Leaky hajua technicalities za mpira, alikuwa anatoa historia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
umesema kweli kaka,dr hakuwa anachambua ni stori tuu za wachezaji,yaan hakuna kitu, bora mwl kashasha
George namwelewa sana, sipatagi muda sana wa kusikiliza radio au kuangalia TVs, ila kwa kiasi ninachosikiliza, inatosha kujua kwamba jamaa yuko miles nyingi mbele ya wenzake.
Toka ameondoka Magic sijawahi tena kuisikiliza.
yupo wasafi huko naskia sasa hivi, kafuata malipo mazuri itakuwaGeorge namwelewa sana, sipatagi muda sana wa kusikiliza radio au kuangalia TVs, ila kwa kiasi ninachosikiliza, inatosha kujua kwamba jamaa yuko miles nyingi mbele ya wenzake.
Toka ameondoka Magic sijawahi tena kuisikiliza.
Sio wewe ndo huyo kiemba kweli??Amri Kiemba anajua sana mambo ya kiufundi, kibiashara, na kisaikolojia ktk soka.
Nahisi akiwa kwenye timu nzuri ya ufundi akasikilizwa kama vile Klopp anavyo wasikiliza wasaidizi wake watajenga timu bora sana.
Hiyo kazi ndo anaifanya baba g hapo wasafi msikilize kidogo siku moja utakuja kusema hapaNimejaribu kuwafuatilia wachambuzi wengi waliokuja nyuma ya Dr leaky lakini bado sijaona wakumfikia. Dr leaky anakuchambulia mpira kwa lugha ya kiswahili na kila kitu unakielewa kuanzia formation,na vingine vyote.
Hawa wachambuzi wetu wakisasa wao kwakua wanajua yes na no basi kutwa nzima ni kuchanganya lugha tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
yupo wasafi huko naskia sasa hivi, kafuata malipo mazuri itakuwa