Statesmann
JF-Expert Member
- Jul 16, 2019
- 2,344
- 3,461
Mchawi ni information tuSimkubali yeyote.. Labda zamani sasahv nafahamunvingi kuliko wao via internet na kufuatilia mwenyewe ligi mbalimbali.
Zamani wakiwa wanachambua hasa dokta lleakey niliwaona noma balaa.
Nilichogundua kutoa analysis sio ishu. Ishu ni ku represent hiyo analys yako ndo shida.Sawa mkuu
Nilichogundua kutoa analysis sio ishu. Ishu ni ku represent hiyo analys yako ndo shida.
uwasilishaji mpaka watu waelewe ndo soo
Sioni Geof Lea na Shaffih Dauda wakitajwa, kwani wana shida gani wale vijana